Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hhaha leo ndio anazungumzia protocali ya Corona, hahahaha shenzi kweli hawa jamaaLeo hii ndio mmejua kuwa Corona ipo,mbona juzijuzi tu mlikuwa kukanusha uwepo wa corona na mkawa mnasema Maombi ya Magufuli yameiondoa