Mbowe alisema kachanjwa chanjo ya Corona, mbona anaendelea kuvaa barakoa? Nchi walizochanja nao wanaendelea kuvaa barakoa

Mbowe alisema kachanjwa chanjo ya Corona, mbona anaendelea kuvaa barakoa? Nchi walizochanja nao wanaendelea kuvaa barakoa

Mbowe aliutangazia umma kuwa yeye keshachanja chanjo ya Corona lakini kila anapoenda barakoa haimtoki

Nimeangalia nchi za wenzetu pia kama ULAYA na Marekani wamechanja lakini kutwa wanavaa vibarakoa!! wana maintain social distance,kunawa maji tiririka nk

Sasa hiyo chanjo ina kazi gani kama sio utapeli
Yaani wabongo kwa ujuaji katika suala hili la corona. Aliechanja full in maana ameshapiga shot mbili. Nadhani ya kwanza na ya pili zinapishana muda usiozidi mwezi (not so sure exactly). Lakini waliochanja shot ya kwanza pekee wakisubiri ya pili, bado wanaendelea kujikinga maana hawajamaliza dozi.

Ukigoogle tuu utagundua kwa mfano marekani imeanza kuondosha suala la mask/distance kwa watu waliochanjwa. e.g 'No masks for the vaccinated': What the latest US mask guidance means.

Sasa sijuwi mkuu huu uzi unajadili nini ? Au unaogopa shindano ?
 
Mbowe aliutangazia umma kuwa yeye keshachanja chanjo ya Corona lakini kila anapoenda barakoa haimtoki

Nimeangalia nchi za wenzetu pia kama ULAYA na Marekani wamechanja lakini kutwa wanavaa vibarakoa!! wana maintain social distance,kunawa maji tiririka nk

Sasa hiyo chanjo ina kazi gani kama sio utapeli
Kwahiyo ukipima ngoma majibu yakaja negative basi uendelee peku peku bila zana kisa iko negative?
 
Toa maelezo ,au na ww ukuelewa?
Hivi ina maana hujasikia sababu ni kwanini hata watu waliochanja wanaendelea kuvaa barakoa au unajitoa ufahamu? Kama hujasikia na hujui sababu mpaka sasa wakati maelezo yameshatolewa mara nyingi na hata kama uta-google dakika moja utakuwa umeshapata sababu basi wewe huna tofauti na kima kiakili.
 
Mbowe aliutangazia umma kuwa yeye keshachanja chanjo ya Corona lakini kila anapoenda barakoa haimtoki

Nimeangalia nchi za wenzetu pia kama ULAYA na Marekani wamechanja lakini kutwa wanavaa vibarakoa!! wana maintain social distance, kunawa maji tiririka nk

Sasa hiyo chanjo ina kazi gani kama sio utapeli
Nilitaka kukuelimisha ila naona kama nitapoteza tu muda.
 
Mbowe yeye ni kujipendekeza kwa wazungu.Mmesahau JM alipofunga shule akaacha miskiti na makanisa wakang'ang'ana afunge na kuwe na lockdown
sasa hivyi anaamini corona ipo TZ ila anawakusanya wafuasi wake na hawana barakoa.
Ni maigizo tu.
 
Mbowe aliutangazia umma kuwa yeye keshachanja chanjo ya Corona lakini kila anapoenda barakoa haimtoki

Nimeangalia nchi za wenzetu pia kama ULAYA na Marekani wamechanja lakini kutwa wanavaa vibarakoa!! wana maintain social distance, kunawa maji tiririka nk

Sasa hiyo chanjo ina kazi gani kama sio utapeli
Huenda anavaa ili kuwalinda wazee wake, ikiwa hawajapata chanjo.
 
Ndugu zangu,

Ninasoma hapa gazeti ofisini kwangu namuona Mbowe amevaa barakoa huku akisalimiana kwa kushikana mikono na wenyeji wake. Hii ndio protokali ya kupambana na Corona?

Itoshe tu kusema hadaa hii haikubaliki.


IMG_20210531_111835.jpeg
 
Baada ya hapo anakwenda kujipiga sanitizer bibie! Unajua korona inavyombukiza lakini?

Anyway, uliwahi kumkanya mwendazake? Mwisho wa siku kwa ujinga wake ikamfyeka
 
Leo hii ndio mmejua kuwa Corona ipo,mbona juzijuzi tu mlikuwa kukanusha uwepo wa corona na mkawa mnasema Maombi ya Magufuli yameiondoa
 
Back
Top Bottom