MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Wakina Uhuru Kenyata wakina Joe Biden wamechanjwa ila kitwa nzima wako na BarakoaMbowe aliutangazia umma kuwa yeye keshachanja chanjo ya Corona lakini kila anapoenda barakoa haimtoki
Nimeangalia nchi za wenzetu pia kama ULAYA na Marekani wamechanja lakini kutwa wanavaa vibarakoa!! wana maintain social distance,kunawa maji tiririka nk
Sasa hiyo chanjo ina kazi gani kama sio utapeli
Umeona Mbowe pekee Dunia nzima ndo kachanjwa then anavaa Barakoa?