Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Hii sentensi yako ya mwisho ,umenifunza kitu Mimi kama think tank wa Kijiji chetu lazima nijitafakari nisije walisha watu habari isiyotakiwa ,hakika Leo wazee walinipa kazi ngumu Sana ,maana Mimi nawaaminisha Mbowe Yuko Arusha ,Mara mmoja anasema hapana mbona kwenye redio wamesema amekamatwa Dar .Nafikiri aliandika vile ili kuwakatisha tamaa waandamanaji wa DSM kuwa kiongozi wao amekimbia Sasa wao wabaki au waende kufanya nini?
ππ Wabongo kwa kudaka vitu kama vilivyo ni mafundi
Fikiria haki inapambaniwa wakati wengine ni haki freeee
Ndio maana ni project nzuri sanaπππ kichwa kimoja
Wewe fikiria ujengaji wa miji ya Ulaya
Fikiria utekelezaji wa vijiji vya ujamaa na community
Fikiria watu wanataka kutekeleza jambo zuri sana saizi
Kwa sababu natakiwa kufa kabla yako tuunganishwe vichwa na tusubiri daktari atutenganishe
Ni jambo jema mmefanya makubwa duniani - Tunajitutumua bure kwa lazima hapa
View attachment 3104412
Hii sentensi yako ya mwisho ,umenifunza kitu Mimi kama think tank wa Kijiji chetu lazima nijitafakari nisije walisha watu habari isiyotakiwa ,hakika Leo wazee walinipa kazi ngumu Sana ,maana Mimi nawaaminisha Mbowe Yuko Arusha ,Mara mmoja anasema hapana mbona kwenye redio wamesema amekamatwa Dar .
Fasta nazama JF nakuta kweli mwamba kadakwa ,basi hapo nikawapanga ameletwa na ndege mwingine akabisha yaani shetani aliamka na mm ili nidharirike ila nashukuru nimeilinda heshima yangu vilivyo
Hapa duniani Hakuna Maandamano mabaya Kama 'Maandamano ya rohoni.' Hayo ni maandamano mabaya Sana kuliko aina yoyote ile ya maandamo ambayo unayoyajua wewe.Sasa Okonkwo yeye falsafa yake inahusu individual. Hiyo falsafa haiwezi kutumika kwenye masuala ya Dola.
Dola inahitaji mfumo wa Simba, teamwork au taasisi.
Dola ikiwa na umoja ni ngumu kuidondosha hata kwa huo mtutu qa bunduki.
Dola ili idondoke jambo kubwa kuliko yote na mpasuko kutokea ndani.
Wenye akili hilo ndio hulifanyia kazi zaidi ili waendelee kudumu kwa muda mrefu
Wananchi hata muwape wote bunduki hawawezi kufanya Chochote kwa sababu hawana teamwork, hawana falsafa inayowaunganisha, hivyo ni rahisi kuwagawanya na kuwatawala.
Ni kweli..
Bado ubaya wa ccm haujafikia kiasi cha watu kuandamana kwa hiyari.
Kila jambo ni hatua kwa hatua, sisi hatua hiyo bado hatujaifikia.
Polisi wasingetisha, umatu ungetoka nje ila na wao wameona wasitoe roophole ya watu kufanya yao kweli.
Hapa duniani Hakuna Maandamano mabaya Kama 'Maandamano ya rohoni.' Hayo ni maandamano mabaya Sana kuliko aina yoyote ile ya maandamo ambayo unayoyajua wewe.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ KEYBOARD WARRIORTupo tayari watuue wote Samia must Go
View attachment 3104401
Namkubali sana mbowe, ni mtu mwenye strategies na plans za kutosha, na cha ziada ni mtu mwenye commitment kwenye mambo anavyo amini, sijamfikiria kama ni kiongozi kwenye nyanja ya uraisi ila ni mtu ambae ukimuelewa na kumtumia unaweza fika mbali
Wabongo ni wanafki sana hata rafiki zako inabidi uwe nao makini mnoπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ KEYBOARD WARRIOR
Wabongo ni wanafki sana hata rafiki zako inabidi uwe nao makini mno
Wewe ulikuwa wapi wakati huo? Si ulikuwa umejificha uvunguni huko? Porojo tu ndio kazi mnayoweza ma CHADEMA na utapeli wenu.Sasa unalinda bata na kunguru kwa mitutu Mizito mizito difenda elfu nautitiri wa mitutu Mwamba KAIBUKA KIJASUSI Kama ninja mbele uwanja wa Mapambano
Ahahahahah ukiwa bongo unatakiwa uwe na akili kama 3 hivi na uweze ku swap akili hizo kadri ya uhitaji.Wabongo ni wanafki sana hata rafiki zako inabidi uwe nao makini mno
Acha kuwakosea heshima majirani. Wako kilomita nyigi mbele yetu.Tanzania hakuna mazwazwa wa kutumika Kwa maslahi ya kina Mbowe na Mabeberu.
Huwa nawapa mfano mzuri sana,Gen Z zaidi ya 40 wameuwawa,wamevunjwa miguu na wengine wamepotea.
Walichopata hakuna sana sana Ruto Kawateua Wapinzani kwenye barabza lake na Kodi zile zile walizolalamikiwa zimerejeshwa π€£π€£
Kwa kama siasa inakupa ugali ukaandamane at your cost maana ndio kazi Yako sio Mimi niache kulima matikiti nije kuandamana Sina ujinga huo.
Wewe ulikuwa wapi wakati huo? Si ulikuwa umejificha uvunguni huko? Porojo tu ndio kazi mnayoweza ma CHADEMA na utapeli wenu.
Km zipi hizo walizo mbele?Acha kuwakosea heshima majirani. Wako kilomita nyigi mbele yetu.
Tafuta mifano ya humu humu tu, hata wewe unaweza kutoa mfano wa kizazi ulichopo kama kimefeli au kufaulu katika majukumu yake.
Mimi siyo chawa bali ni msema kweli.Mbona wewe unataka kumtapeli Makonda, Tulia na Samia kwa kujifanya Chawa wao(kwamba unawakubali) kumbe ni kwaajili ya maslahi yako binafsi?
Na hatusemi.
Unafikiri hao Viongozi unaowafanyia uchawa hawajui kuwa uchawa ni utapeli?ππ
Daaa,hii yenyewe hii