Mbowe alivyokimbiwa na wafuasi wake ni kama Yesu alivyoachwa solemba na wanafunzi wake akakamatwa na jeshi la Rumi

Mimi acha nipumzike, leo nitakula ugali, mlenda na Samaki wa kuchoma.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Sijakusoma hadi mwisho mkuu 'Robert Heriel'; nimesoma tu kipande cha juu hadi huko kwa Yesu na akina Musa ,Daud na wengineo, halafu nikaona nije huku chini niandike haya kwa sasa.
Nashukuru kwamba sasa ninakuelewa vizuri zaidi wewe ni mtu wa aina gani.
Nitakusoma andiko hili zima kwa uangalifu zaidi nitakapo pata muda. Nikiona kuna la kuongeza nitafanya hivyo; usipo nisoma tena elewa nimejiridhisha iwe hivyo.
 
POLISI MNAWEKA KAMBI KANISA KATOLIKI HAPO MSIMBAZI MNATAFUTA NINI??SAMIA UNATAFUTA KWA WAKATOLIKI?SAMIA ULIKWENDA VATICAN KUFANYA NINI?JE NCHI INAENDESHWA KIDINI?
 
Watanzania ni watu. Usiwa underestimate.
Polisi sio wajinga kufanya wiki nzima HIKI walichokifanya.

Mtu ni mtu Mkuu.
Ukipuuza kidogo mambo huweza kubadilika kwa namna itakayokushangaza
Na ukizangitia kuwa misukule wa mzee Mbowe ni mabomu yasiyo na mwelekeo misguided
 

Uwe na utulivu tuu
Akili yako isiingiliwe na ushabiki na hisia. Tumia akili na Mantiki
 
Huyu mleta uzi hua nasoma aya zake tatu za mwanzo, mbili za kati na mbili za mwisho.

Na mara zote hua nakutana na misinformed paragraphs (labda ambazo sizisomi hua na taarifa sahihi)

Ila dah 😂😂😂
 
Siamini kama utawala wa kidikteta unaweza kutolewa kwa njia ya ballot box au maandamano ya amani.. hata elimu tu ya kawaida ya novel za wakina Chinua achebe zinakataa.

Chadema fikirieni njia mpya na hopefull mnaijua…
 

Siku ya Kiyama, mahakimu na wote wenye mamlaka watasimama mbele ya Mwenyezi Mungu kwa ajili ya hukumu.

Katika Uislamu, Qur'an na Hadithi zinatufundisha kuwa yeyote aliyepewa jukumu la kuhukumu wengine anawajibika kutumia uadilifu. Mahakimu ambao hawakuwa waadilifu au walitumia madaraka yao vibaya watawajibishwa mbele ya Mwenyezi Mungu kwa makosa yao.

Katika Qur'an, Surat Al-Baqarah (2:284), Mwenyezi Mungu anasema:“Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi. Na kama mtaonyesha yaliomo ndani ya nafsi zenu au mtaficha, Mwenyezi Mungu atawatoza hisabu kwa hayo.
Kisha atamsamehe amtakaye na atamwadhibu amtakaye; na Mwenyezi Mungu ni Mwenye uweza wa kila kitu.
”Hii inamaanisha kuwa hakuna kitakachofichika mbele ya Mwenyezi Mungu, hata matendo yaliyofanywa kwa siri. Mahakimu waliohukumu bila haki watahukumiwa kwa matendo yao yote, ya ndani na ya nje.
Pia, Hadithi nyingi za Mtume Muhammad (SAW) zinatilia mkazo hatari ya kutokuwa na uadilifu katika kutoa hukumu. Katika Hadithi iliyopokewa na Imam Muslim, Mtume (SAW) alisema:

“Hakika waamuzi ni wa aina tatu: mmoja atakuwa Peponi na wawili watakuwa Motoni. Yule aliyehukumu kwa haki na kwa ujuzi atakuwa Peponi. Yule aliyehukumu bila ujuzi, na akaonea katika hukumu, atakuwa Motoni.”
(Sunan Abu Dawood, Hadithi 3573)

Hadithi hii inaonyesha kwamba mahakimu ambao hawakufuata haki wataadhibiwa vikali kwa dhuluma zao. Mwenyezi Mungu atahukumu kwa haki kamili, na wale ambao walikiuka haki duniani wataadhibiwa vikali kwa makosa yao.Kwa hivyo, katika Siku ya Kiyama, mahakimu na wale wenye mamlaka watapata hukumu ya haki kwa mujibu wa matendo yao, na wasio waadilifu watawajibishwa kwa dhuluma zao.
 

Kila mtu atawajibishwa kwa alichofanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…