Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm huo ndiyo ugonjwa wao yaani kwao mtu kama kibajaj kwao ndiye Think Tanker wapLegend aliekua na file mirembe,labda ligendi taahira
Nani kakudanganya kuwa ugonjwa wa ujinga unadawa?Kwani ukiwa na ugonjwa huponi?
Sukuma gang wote sasa hivi wamelainika utadhani kuku wa kizungu.Sukuma gang walitaka kumtumia Lisu kumshambulia Samia lkn Lisu ameamua kuwa mkweli kwa kuongea ukweli kuwa jiwe alikuwa mwizi. Sukuma gang wamefura. Ama kweli ukweli unauma.
Wacha ubishi wa kijiwe samri wewe JingaCCM haijawahi kutikiswa...waulize viongozi wako.
Hahahahaa umesoma waraka wa jaji Warioba na Mzee Butiku?CCM haijawahi kutikiswa...waulize viongozi wako.
... make a mistake and wait for your enemies to criticize you!Kuna kitabu kimeandikwa na mwanazuoni wa Malawi.kitafute
Pole mjane wa Magufuri historia yake ilishaandikwa kwa mazuri yake na mabaya yake,kama hukuona mabaya yake wale woote waliotendewa vibaya na Magufuri wana haki ya kumsema japo alishakufa.Bila shaka huko aliko Mwenyekiti Mbowe anauma mdomo na kugonga meza kwa maboko anayotoa lissu kwenye majukwaa hivi sasa.
Mwenendo,kauli na maneno ya lissu kwenye majukwaa mbalimbali yanaashiria ameathirika kisaikolojia na inawezekana ana magonjwa mawili kati ya haya....
1-PTSD
2-BDD
magonjwa haya yanamuondolea utulivu wa kiakili na kimwili na hivyo kuwa ni kituko mbele ya jamii.
Ushauri wangu:
Mnyika na Mbowe ni muhimu kufanya intervention ya haraka ya kumsaidia ikibidi kumpeleka hospitali na kumuepusha na mazingira yenye stress.
N.B :Huwezi kumkashifu legend Magufuli mbele ya watanzania ukategemea usikilizwe.
Mikutano imedoda na kiki zimegoma.
SurePole mjane wa Magufuri historia yake ilishaandikwa kwa mazuri yake na mabaya yake,kama hukuona mabaya yake wale woote waliotendewa vibaya na Magufuri wana haki ya kumsema japo alishakufa.
Yaani mnatumia Ruzuku kumsema Magufuli...wahedi kabisa .Fanyeni Siasa za maendeleo sio porojo za kutukana viongozi.Pole mjane wa Magufuri historia yake ilishaandikwa kwa mazuri yake na mabaya yake,kama hukuona mabaya yake wale woote waliotendewa vibaya na Magufuri wana haki ya kumsema japo alishakufa.
Yaani unaumia sana umesahau kuwa Magufuri hakuwa Malaika wala Yesu kwa nini ufiche maovu yake kwa kisingizio cha Viongozi.Yaani mnatumia Ruzuku kumsema Magufuli...wahedi kabisa .Fanyeni Siasa za maendeleo sio porojo za kutukana viongozi.
Hawa ndiyo wanao lazimisha legacy kwa nguvu zao zoteYaani unaumia sana umesahau kuwa Magufuri hakuwa Malaika wala Yesu kwa nini ufiche maovu yake kwa kisingizio cha Viongozi.
DP World supporters mnafikiri hela mlizokula hazitaisha?Hicho ni kikoba cha Mbowe
Utaendelea kuamini kwenye miujizaYaani mnatumia Ruzuku kumsema Magufuli...wahedi kabisa .Fanyeni Siasa za maendeleo sio porojo za kutukana viongozi.
makuwadi ya dpworld lissu kawapiga dawa mpaka akili zimewaruka na bado lissu ongeza dawa haya mapumbavu yapone haraka maana yanaugonjwa bado.Lisu ana ugonjwa wa akili ndiyo maana mbowe aliona mwanya wa kumuua kwa risasi ili afe kwa sababu ya kuropoka kwake ili goma liwe na awamu ya 5. Halafu mbowe gaidi huyu akaja akalipa watu hela wakajifanya usalama wakaenda kutumia deep fake video wakamtumia clip eti Dkt Magufuli aliamrisha auawe, yaani huu mchogo fake lisu kauamini
makuwadi ya dpworld muulize mamayako kama lichama lenu halijayumba huku kanda ya ziwa kwishaa mlichobakisha ni polis tu nguruwe nyinyi.CCM haijawahi kutikiswa...waulize viongozi wako.
makuwadi ya dpworld mwambieni mamayenu arudishe hela za warabu alizohongwa ili kugawa bandari za tanganyika bure nguruwe nyinyi.hata mchumia tumbo tunamuita hivyo hivyo
lissu amewapiga dawa makuwadi ya dpworld hadi mmepata dementia.Kuna hotuba inayoweza kuandikika aliyotoa ??
wanatakiwa wawape dpworld hilo genge lao la ccm ili liendeshe kwa ufanisi.Mpeni Slaa aiongoze ccm yenu nyinyi MACHAWA
nyie makuwad ya dpworld wapeni hilo lichama lenu la majiz ya kura waendeshe kwa weredi bila wiz wa mali za umma.Ushauri wa bure, "Lissu na Mbowe mkae pembeni" Silaa apewe chama.
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app