Mbowe amejitahidi kuifufua CHADEMA ila Lissu ndio kapigia jeneza msumari wa mwisho!

makuwadi ya dpworld lissu kawapiga dawa mpaka akili zimewaruka na bado lissu ongeza dawa haya mapumbavu yapone haraka maana yanaugonjwa bado.
Sisi ndiyo waamuzi lazima mkataba utekelezwe kwa sababu ulishapitishwa na bunge. Nyie ni looser!
 
Sisi ndiyo waamuzi lazima mkataba utekelezwe kwa sababu ulishapitishwa na bunge. Nyie ni looser!
Mbona CCM iliyojaa Majizi wa kila Aina mmeshindwa kuwapa Wawekezaji ili isiendeshwe kwa wizi na hasara za kila mara?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwaka mmoja baadaye matamanio yako yamefika wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…