Mbowe amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA

Hata wakimchagua tena ni madhaifu kwenye chama
 
We ndo x-husband wa josephine? Nikipata jibu ntarudi tena.
 
Hii hoja ingekuwa nzuri kama uchaguzi ujao Mbowe atang'ang'ania madaraka .... ila kwa sasa umewahi mno ukizingatia hiyo heading uliyoweka
 
"Mbowe amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA"!!!??? ....basi angalau kuhalalisha haya maelezo yako yasiyoeleweka malengo yake ungelituambia ni mwenyekiti wa chama gani kingine chochote aliye na sifa. Huyu huyu Mh. Mbowe ndiye ataipa cdm dola muda sio mrefu kwa taarifa yako!
 

ni mmoja kati ya wanasiasa wachache waupinzani wanaojua wanachokifanya.

Umenicot vizuri swala nalojiuliza kwa Mbowe kama wanachadema wanachangia Chama kwa moyo moja vipi Chadema washindwe kuanzisha media Zake?

Kwanini mbowe asimamie hilo kikamilifu. Bila Media CHADEMA KUCHUKUA NCHI 2015 Ni ndoto
 
unataka ugomvi na mzee mtei? hujui kuwa chdm ni mali ya mtei na ukoo wake pamoja na marafiki

Baba Mwenyekiti wa CCM, mke mjumbe wa NEC-CCM, mtoto mjumbe wa NEC-CCM, binadamu mwenyekiti wa CCM................... Hiyo kwao na kwako ni sawa!!
 
Kama Mbowe amepoteza sifa za kuwa mwenyekiti wa CHADEMA basi JK hajawah kuwa na sifa hata moja ya kuwa mwenyekiti wa CCM.
 
Ukishazoea vya nyuma bana vya mbele vitakupa shida sana.


 
Ma.p.umb.av..u. mengine kama huyu William Mshumbusi Mi nikiwaonaga humu wananichafuga sana nafsi yangu mipuuzi wajinga sana!
 
Last edited by a moderator:
mbona sijaona mtu akimwambia mleta mada kua "umetumwa eenh" :smile-big:
 
mwekiti mwingine chadema utarajie baada ya miaka kumi ijayo wala siyo leo,mipango iko wazi kuwa mbowe ataendelea kuwepo sana halafu ukimuondoa mbowe wenye chama utawaambia nini.
 
kunaoja umejaribu kuzipanga lakini bado ushawishi wako upo chini ya kiwango.
Ebu kasome katiba ya chdm kwanza, alafu tafuta historia iliyo kamilika ya chdm ndipo urudi tena kuja kutushawishi.
Karibu tena.
 
mwekiti mwingine chadema utarajie baada ya miaka kumi ijayo wala siyo leo,mipango iko wazi kuwa mbowe ataendelea kuwepo sana halafu ukimuondoa mbowe wenye chama utawaambia nini.

huwa siungani na wanafiki kama wewe tupo kwenye kujenga na C kubomoa Chama.

Najua hata Mbowe mwenyewe anaelewa dhamira nzuri niliyonayo
 
kunaoja umejaribu kuzipanga lakini bado ushawishi wako upo chini ya kiwango.
Ebu kasome katiba ya chdm kwanza, alafu tafuta historia iliyo kamilika ya chdm ndipo urudi tena kuja kutushawishi.
Karibu tena.

Labda umeanza kusoma hoja ukichukulia mimi ni mpinzani wa upinzani ndio maana hukunielewa.

Tunaangalia hoja za kujenga tu hapa
 
Ni maelezo makini sana na inahitaji watu wenye akili huru kuchambua mambo na wenye kuona mbali sana kukuelewa ulichokikusudia.We kweli unaipenda CHADEMA.Watu wenye busara huwa wanasema hivi:Rafiki wa kweli ni yule anayekukosoa na rafiki asiye wa kweli ni yule anayakusifia tu.Bwana Mushumbusi kusema kweli haya mawazo yako ndiyo yalikuwa kichwani mwangu muda mrefu sana sema tu ndani ya CHADEMA kuna utamaduni mpya umejengeka wa watu kutopenda kuona Viongozi wakikosolewa na utahisiwa kama mtu unayetaka kukibomoa Chama kumbe lengo lako ni kukiboresha zaidi Chama ili kiwe Imara zaidi mbele ya safari.Nakubaliana na hoja yako kwa asilimia mia moja na kwa wale wanaokitakia mema Chama hiki cha Kizalendo watachukua hatua stahiki.Ushauri mzuri sana na wenye mawazo yenye vitamin zote muhimu za kuimarisha afya ya Chama chetu.
 

Mkuu usitupeleka huko tafadhali,Hatutaki kukumbuka machungu ya uchaguzi ya uliopita ndani ya Chama ambao ulikaribia kuchafua taaswira nzuri ya Chama chetu na Demokrasia kwa ujumla..Let's move...Let by-gone be by-gone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…