The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,967
- 4,267
Alifika bei.Dr Mashinji miguu juu, siasa imemshinda mapema sana.
Hawezi kushindwa siasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alifika bei.Dr Mashinji miguu juu, siasa imemshinda mapema sana.
Hivi umesoma vizuri mkuu? Au akili yako imewahi kwenda habari za kununuana?Hujui kuota wewe...!
Humjui Freeman Mbowe wewe...!
Huyo hawezi kuuza utu wake Kwa shekeli otherwise angeshavutaga hela nyingi miaka mingi iliyopita...
Labda hujui tu. Kwa taarifa yako Iko hivi;
✓ John P. Magufuli alikuwa tayari kumpa Freeman Mbowe hata Uwaziri Mkuu (u - PM) ili mradi aiue CHADEMA lakini FM hakuweza kuuza utu wake...
✓ John P. Magufuli alikuwa hata tayari ampe hazina yote ya nchi hii ili mradi aiue CHADEMA, lakini FM hakuweza kuuza utu wake...
✓ Ndiyo maana jamaa (JPM) alipoona amemshindwa kumnasa kwenye hayo, akaamua kujaribu kuivuruga CHADEMA kwa nunua nunua ya wabunge na madiwani nchi nzima, lakini hata hiyo, Mwamba hakutikisika wala Kununa...
✓ Na mwisho wa siku akamsukia Zengwe la kumpachika na likesi la ugaidi ambayo nayo ili backfire Kwa kishindo...
NOTE: Tanzania hii wapo viongozi wawili tu wa vyama vya siasa pinzani WASIONUNULIKA lakini wakati huohuo wasumbufu wa kufa mtu wa CCM na serikali Yao. Hawa ni FREEMAN MBOWE (FM) na TUNDU LISSU (TL). Hawa kuwadhibiti ni aidha uwaue tu au watafutie uraia wa nchi nyingine huko Burundi...!!!
Mkuu shuka chini kidogo usome post namba #23 ufafanuzi wote upo kule.Kwa taarifa hizo ni uzushi. Mh. Mbowe anajua gharama atakayolipa kwa vyama pinzani, chama chake mwenyewe CDM pamoja na wanaounga mkono upinzani.Hawezi kukurupuka unless aachie kitu chake au kuhama chama na kuingia CCM si rahisi kihivyo mtoa mada
Akaongoze uviko 20Apewe ubunge wa kuteuliwa
Leo naona unamuongelea mbowe vizuri afu mama kawatukana kawaita chawaHabari njema sana hii. Ikimpendeza mama amteue Mbowe kuwa mwenyekiti wa bodi ya parole.
Hata kwa dawa sintothubutu kumtaja, maana nikimtaja hatokuwa ananiletea zingine za uvunguni kama hizi.Huyo mtu aliyekudokeza na kusema huwezi mtaja ipo siku utamtaja kwa lazima
Aache kukutisha huyu naeHata kwa dawa sintothubutu kumtaja, maana nikimtaja hatokuwa ananiletea zingine za uvunguni kama hizi.
Haswaa, bila shaka mama anajua ni wapi anapofaa kumuweka.Habari njema sana hii. Ikimpendeza mama amteue Mbowe kuwa mwenyekiti wa bodi ya parole.
Mbwa sana, what if angetaa mikutano ya hadhara na mengineyo. Upuuzi wa namna hii wafikishie wapumbavu wenzio wakiwa wazazi wako waliokuzaa!Habari zenu wana JF wenzangu, natumai kila mtu ana afya tele.
Kwa dokezo lililonifikia kutoka kwa mtu ambae siwezi kumtaja, ni kwamba mama anamuandalia kamanda Mbowe nafasi nyeti na muhimu ndani ya serikali yake ili kujenga serikali yenye sura na mtazamo wa kitaifa.
Ikumbukwe kwamba raisi Samia aliwahi kunukuliwa akitamka mwenyewe kwamba serikali yake anayoiunda angependa kuona anashirikiana na wanasiasa wa vyama vingine vya siasa, ili kutengeneza serikali ya kitaifa ambayo haiegemei upande wowote wa chama.
Na katika hili raisi ameanza kuonesha njia kwa kujiweka mbali na siasa za majitaka, ambazo zimekuwa zikiwafaidisha wapuuzi wachache waliopo ndani na nje ya chama chake.
Mungu ilinde Tanzania yetu
Mungu mlinde raisi wetu
Mungu ilinde amani yetu
na kila aliepo ndani ya nchi yetu
Ameen [emoji2969][emoji2969][emoji2969]
Ndo hapo hata mimi nimemshangaa, kama yeye ni wa kitengo ameshindwaje kujua habari nyeti kama hii.Aache kukutisha huyu nae
Atawapa ubunge wa Ikulu et eeeh?Habari zenu wana JF wenzangu, natumai kila mtu ana afya tele.
Kwa dokezo lililonifikia kutoka kwa mtu ambae siwezi kumtaja, ni kwamba mama anamuandalia kamanda Mbowe nafasi nyeti na muhimu ndani ya serikali yake ili kujenga serikali yenye sura na mtazamo wa kitaifa.
Ikumbukwe kwamba raisi Samia aliwahi kunukuliwa akitamka mwenyewe kwamba serikali yake anayoiunda angependa kuona anashirikiana na wanasiasa wa vyama vingine vya siasa, ili kutengeneza serikali ya kitaifa ambayo haiegemei upande wowote wa chama.
Na katika hili raisi ameanza kuonesha njia kwa kujiweka mbali na siasa za majitaka, ambazo zimekuwa zikiwafaidisha wapuuzi wachache waliopo ndani na nje ya chama chake.
Mungu ilinde Tanzania yetu
Mungu mlinde raisi wetu
Mungu ilinde amani yetu
na kila aliepo ndani ya nchi yetu
Ameen 🤲🤲🤲
Point ya mwisho futa uhuni wa kumfunga Mbowe Magufuli hakukubali kamwe.Hujui kuota wewe...!
Humjui Freeman Mbowe wewe...!
Huyo hawezi kuuza utu wake Kwa shekeli otherwise angeshavutaga hela nyingi miaka mingi iliyopita...
Labda hujui tu. Kwa taarifa yako Iko hivi;
✓ John P. Magufuli alikuwa tayari kumpa Freeman Mbowe hata Uwaziri Mkuu (u - PM) ili mradi aiue CHADEMA lakini FM hakuweza kuuza utu wake...
✓ John P. Magufuli alikuwa hata tayari ampe hazina yote ya nchi hii ili mradi aiue CHADEMA, lakini FM hakuweza kuuza utu wake...
✓ Ndiyo maana jamaa (JPM) alipoona amemshindwa kumnasa kwenye hayo, akaamua kujaribu kuivuruga CHADEMA kwa nunua nunua ya wabunge na madiwani nchi nzima, lakini hata hiyo, Mwamba hakutikisika wala Kununa...
✓ Na mwisho wa siku akamsukia Zengwe la kumpachika na likesi la ugaidi ambayo nayo ili backfire Kwa kishindo...
NOTE: Tanzania hii wapo viongozi wawili tu wa vyama vya siasa pinzani WASIONUNULIKA lakini wakati huohuo wasumbufu wa kufa mtu wa CCM na serikali Yao. Hawa ni FREEMAN MBOWE (FM) na TUNDU LISSU (TL). Hawa kuwadhibiti ni aidha uwaue tu au watafutie uraia wa nchi nyingine huko Burundi...!!!
Huu uzi ungekuwa sio wangu ningekushushia kitu kizito ambacho hukuwahi kukumbana nacho.Mbwa sana, what if angetaa mikutano ya hadhara na mengineyo. Upuuzi wa namna hii wafikishie wapumbavu wenzio wakiwa wazazi wako waliokuzaa!
Unaonaje ukitutengenezea upinzani wa maana?Ndo maana mie mwenzenu haya mambo ya siasa siyatoleagi macho kivile,, mpinzani wa kweli bongo hayupo, narudia tena hayupo, wote wanatafuta vyeo(ulaji) kwa ajili ya wao na familia zao, rejea kwa Edward lowasa, tambwe hiza, dokta mashinji, etc.
Just be patient mkuu, time will tellHapo umemsingizia Mbowe. Pamoja na udhaifu wake ila sio kwenye vyeo.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Huyo kijana kajiandikia tu bila kujua wala kusoma anachoandika.Point ya mwisho futa uhuni wa kumfunga Mbowe Magufuli hakukubali kamwe.
Vipi yule msalitiKwa dokezo lililonifikia kutoka kwa mtu ambae siwezi kumtaja, ni kwamba mama anamuandalia kamanda Mbowe nafasi nyeti na muhimu ndani ya serikali yake ili kujenga serikali yenye sura na mtazamo wa kitaifa.
Sihitaji hizo mambo, kazi yangu ya udalali inanitosha sana, kifupi sina wito wa siasa, lkn hainizuii kusema pale nnapona kuna magumashi.Unaonaje ukitutengenezea upinzani wa maana?