DOKEZO Mbowe anakwenda kupewa nafasi nyeti ili kuyalinda maridhiano

DOKEZO Mbowe anakwenda kupewa nafasi nyeti ili kuyalinda maridhiano

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hujui kuota wewe...!

Humjui Freeman Mbowe wewe...!

Huyo hawezi kuuza utu wake Kwa shekeli otherwise angeshavutaga hela nyingi miaka mingi iliyopita...

Labda hujui tu. Kwa taarifa yako Iko hivi;

✓ John P. Magufuli alikuwa tayari kumpa Freeman Mbowe hata Uwaziri Mkuu (u - PM) ili mradi aiue CHADEMA lakini FM hakuweza kuuza utu wake...

✓ John P. Magufuli alikuwa hata tayari ampe hazina yote ya nchi hii ili mradi aiue CHADEMA, lakini FM hakuweza kuuza utu wake...

✓ Ndiyo maana jamaa (JPM) alipoona amemshindwa kumnasa kwenye hayo, akaamua kujaribu kuivuruga CHADEMA kwa nunua nunua ya wabunge na madiwani nchi nzima, lakini hata hiyo, Mwamba hakutikisika wala Kununa...

✓ Na mwisho wa siku akamsukia Zengwe la kumpachika na likesi la ugaidi ambayo nayo ili backfire Kwa kishindo...

NOTE: Tanzania hii wapo viongozi wawili tu wa vyama vya siasa pinzani WASIONUNULIKA lakini wakati huohuo wasumbufu wa kufa mtu wa CCM na serikali Yao. Hawa ni FREEMAN MBOWE (FM) na TUNDU LISSU (TL). Hawa kuwadhibiti ni aidha uwaue tu au watafutie uraia wa nchi nyingine huko Burundi...!!!
Hivi umesoma vizuri mkuu? Au akili yako imewahi kwenda habari za kununuana?
Nimesema lengo ni kuwa na serikali yenye sura ya utaifa bila kujali chama, dini wala kabila la mtu.
As long as wewe ni mtanzania na una sifa basi unafaa kupewa nafasi kwa ajili ya kuwatumikia watanzania wenzio.
 
Kwa taarifa hizo ni uzushi. Mh. Mbowe anajua gharama atakayolipa kwa vyama pinzani, chama chake mwenyewe CDM pamoja na wanaounga mkono upinzani.Hawezi kukurupuka unless aachie kitu chake au kuhama chama na kuingia CCM si rahisi kihivyo mtoa mada
Mkuu shuka chini kidogo usome post namba #23 ufafanuzi wote upo kule.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, natumai kila mtu ana afya tele.

Kwa dokezo lililonifikia kutoka kwa mtu ambae siwezi kumtaja, ni kwamba mama anamuandalia kamanda Mbowe nafasi nyeti na muhimu ndani ya serikali yake ili kujenga serikali yenye sura na mtazamo wa kitaifa.

Ikumbukwe kwamba raisi Samia aliwahi kunukuliwa akitamka mwenyewe kwamba serikali yake anayoiunda angependa kuona anashirikiana na wanasiasa wa vyama vingine vya siasa, ili kutengeneza serikali ya kitaifa ambayo haiegemei upande wowote wa chama.

Na katika hili raisi ameanza kuonesha njia kwa kujiweka mbali na siasa za majitaka, ambazo zimekuwa zikiwafaidisha wapuuzi wachache waliopo ndani na nje ya chama chake.

Mungu ilinde Tanzania yetu
Mungu mlinde raisi wetu
Mungu ilinde amani yetu
na kila aliepo ndani ya nchi yetu
Ameen [emoji2969][emoji2969][emoji2969]
Mbwa sana, what if angetaa mikutano ya hadhara na mengineyo. Upuuzi wa namna hii wafikishie wapumbavu wenzio wakiwa wazazi wako waliokuzaa!
 
Habari zenu wana JF wenzangu, natumai kila mtu ana afya tele.

Kwa dokezo lililonifikia kutoka kwa mtu ambae siwezi kumtaja, ni kwamba mama anamuandalia kamanda Mbowe nafasi nyeti na muhimu ndani ya serikali yake ili kujenga serikali yenye sura na mtazamo wa kitaifa.

Ikumbukwe kwamba raisi Samia aliwahi kunukuliwa akitamka mwenyewe kwamba serikali yake anayoiunda angependa kuona anashirikiana na wanasiasa wa vyama vingine vya siasa, ili kutengeneza serikali ya kitaifa ambayo haiegemei upande wowote wa chama.

Na katika hili raisi ameanza kuonesha njia kwa kujiweka mbali na siasa za majitaka, ambazo zimekuwa zikiwafaidisha wapuuzi wachache waliopo ndani na nje ya chama chake.

Mungu ilinde Tanzania yetu
Mungu mlinde raisi wetu
Mungu ilinde amani yetu
na kila aliepo ndani ya nchi yetu
Ameen 🤲🤲🤲
Atawapa ubunge wa Ikulu et eeeh?
 
Hujui kuota wewe...!

Humjui Freeman Mbowe wewe...!

Huyo hawezi kuuza utu wake Kwa shekeli otherwise angeshavutaga hela nyingi miaka mingi iliyopita...

Labda hujui tu. Kwa taarifa yako Iko hivi;

✓ John P. Magufuli alikuwa tayari kumpa Freeman Mbowe hata Uwaziri Mkuu (u - PM) ili mradi aiue CHADEMA lakini FM hakuweza kuuza utu wake...

✓ John P. Magufuli alikuwa hata tayari ampe hazina yote ya nchi hii ili mradi aiue CHADEMA, lakini FM hakuweza kuuza utu wake...

✓ Ndiyo maana jamaa (JPM) alipoona amemshindwa kumnasa kwenye hayo, akaamua kujaribu kuivuruga CHADEMA kwa nunua nunua ya wabunge na madiwani nchi nzima, lakini hata hiyo, Mwamba hakutikisika wala Kununa...

✓ Na mwisho wa siku akamsukia Zengwe la kumpachika na likesi la ugaidi ambayo nayo ili backfire Kwa kishindo...

NOTE: Tanzania hii wapo viongozi wawili tu wa vyama vya siasa pinzani WASIONUNULIKA lakini wakati huohuo wasumbufu wa kufa mtu wa CCM na serikali Yao. Hawa ni FREEMAN MBOWE (FM) na TUNDU LISSU (TL). Hawa kuwadhibiti ni aidha uwaue tu au watafutie uraia wa nchi nyingine huko Burundi...!!!
Point ya mwisho futa uhuni wa kumfunga Mbowe Magufuli hakukubali kamwe.
 
Ndo maana mie mwenzenu haya mambo ya siasa siyatoleagi macho kivile,, mpinzani wa kweli bongo hayupo, narudia tena hayupo, wote wanatafuta vyeo(ulaji) kwa ajili ya wao na familia zao, rejea kwa Edward lowasa, tambwe hiza, dokta mashinji, etc.
Unaonaje ukitutengenezea upinzani wa maana?
 
Kwa dokezo lililonifikia kutoka kwa mtu ambae siwezi kumtaja, ni kwamba mama anamuandalia kamanda Mbowe nafasi nyeti na muhimu ndani ya serikali yake ili kujenga serikali yenye sura na mtazamo wa kitaifa.
Vipi yule msaliti
Mzee wa ubwabwa je
The profesorio naye
Vipi Mapesa
 
Back
Top Bottom