Hata huyo aliyewahi kushika alipewa tu,wala hakukuwahi kuwa na hiyo nafasi na baada yake haijawahi kuwepo tenaCheo hicho hakipo kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata huyo aliyewahi kushika alipewa tu,wala hakukuwahi kuwa na hiyo nafasi na baada yake haijawahi kuwepo tenaCheo hicho hakipo kwa sasa.
😂😂😂 eti mzee Athumani.Ya mzee Athumani kaangukia pua
Pa1 mkuuAsante kwa kuliona hilo mkuu
Ok..Duh!
Umeandika mkuu 'The Palm Beach', nami kwa kiasi kikubwa ningekubaliana nawe kumhusu Mbowe, hadi alipoingia Samia!
Hapana. Labda unafikiria..Mbowe, mbele ya Samia ameyeyuka!
Mimi sioni tofauti na ndiyo maana nimeandika hayo kumhusu..Hebu nieleze kiuhakika: Kisiasa Mbowe na Samia wanatofautiana vipi?
Ndiyo nimesema, tufunulie kutakuwa na mfanano gani...Kazi kubwa iliyobakia sasa ni kwa Samia kulizima kundi lililoko CCM linalotofautiana naye. Akimaliza kazi hiyo, CCM ya Samia na CHADEMA ya Mbowe hawatakuwa na tofauti yoyote.
Mimi sioni hiloNi kazi rahisi tu, baada ya hapo, kueleza watu kwamba wamekubaliana kuwa pamoja, na stori ndefu ndefu sana za kulaza usingizi watu.
Huko CHADEMA ninayeweza kuona shida juu yake kukubaliana na msimamo huo ni Lissu, na pengine Heche.
Tusubiri tuone.Wengine wote watapiga vigelegele kuelekea kwenye umoja wao wa CCM ya Samia, na CHADEMA ya Mbowe.
Akina Kabwe wao tayari wapo huko CCM ya Samia.