DOKEZO Mbowe anakwenda kupewa nafasi nyeti ili kuyalinda maridhiano

DOKEZO Mbowe anakwenda kupewa nafasi nyeti ili kuyalinda maridhiano

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Habari zenu wana JF wenzangu, natumai kila mtu ana afya tele.

Kwa dokezo lililonifikia kutoka kwa mtu ambae siwezi kumtaja, ni kwamba mama anamuandalia kamanda Mbowe nafasi nyeti na muhimu ndani ya serikali yake ili kujenga serikali yenye sura na mtazamo wa kitaifa.

Ikumbukwe kwamba raisi Samia aliwahi kunukuliwa akitamka mwenyewe kwamba serikali yake anayoiunda angependa kuona anashirikiana na wanasiasa wa vyama vingine vya siasa, ili kutengeneza serikali ya kitaifa ambayo haiegemei upande wowote wa chama.

Na katika hili raisi ameanza kuonesha njia kwa kujiweka mbali na siasa za majitaka, ambazo zimekuwa zikiwafaidisha wapuuzi wachache waliopo ndani na nje ya chama chake.

Mungu ilinde Tanzania yetu
Mungu mlinde raisi wetu
Mungu ilinde amani yetu
na kila aliepo ndani ya nchi yetu
Ameen 🤲🤲🤲
Haiwezi kutokea, ikitokea tu ,naamuru malaika wa pembe zote za Dunia kutoa adhabu kali juu yake ,kufukuzwa ndani ya chama ndani ya masaa 7 ,acheni mchezo Mara moja
 
Haiwezi kutokea, ikitokea tu ,naamuru malaika wa pembe zote za Dunia kutoa adhabu kali juu yake ,kufukuzwa ndani ya chama ndani ya masaa 7 ,acheni mchezo Mara moja
Mkuu majibu ya comment yako yapo katika post namba #23 panda juu kidogo uisome utaelewa sababu ya kuteuliwa kwake.
 
Huwezi kunikalisha kimya wewe kama nani,, au imekuuma kusema hakuna mpinzani wa kweli,, ndio wote janja janja wanatufuta vyeo na wale na familia zao,, mfano dokta mashinji, nusrat hanje, Edward lowasa, tambwe hiza, etc.
😂😂😂 mkuu nikiangalia avatar yako kama namuona mzee senga vile hahahaha.
 
Huwezi kunikalisha kimya wewe kama nani,, au imekuuma kusema hakuna mpinzani wa kweli,, ndio wote janja janja wanatufuta vyeo na wale na familia zao,, mfano dokta mashinji, nusrat hanje, Edward lowasa, tambwe hiza, etc.
Nasema tena, tuundie upinzani unaoiuta wa maana. Huwezi kaa kimya, usitupigie kelele.
 
Mkuu Mbowe ni mwanachama, na mwenyekiti KWa Mjibu wa SHERIA ya chama, ila chama ni Cha watanzania , apewe cheo na kuteuliwa na kukubali KWa vigezo vipi, sio Mbowe huyu,haiwezi tokea
Ok mkuu lets wait to see, ikitokea akateuliwa, what's gonna do!
 
Hujui kuota wewe...!

Humjui Freeman Mbowe wewe...!

Huyo hawezi kuuza utu wake Kwa shekeli otherwise angeshavutaga hela nyingi miaka mingi iliyopita...

Labda hujui tu. Kwa taarifa yako Iko hivi;

✓ John P. Magufuli alikuwa tayari kumpa Freeman Mbowe hata Uwaziri Mkuu (u - PM) ili mradi aiue CHADEMA lakini FM hakuweza kuuza utu wake...

✓ John P. Magufuli alikuwa hata tayari ampe hazina yote ya nchi hii ili mradi aiue CHADEMA, lakini FM hakuweza kuuza utu wake...

✓ Ndiyo maana jamaa (JPM) alipoona amemshindwa kumnasa kwenye hayo, akaamua kujaribu kuivuruga CHADEMA kwa nunua nunua ya wabunge na madiwani nchi nzima, lakini hata hiyo, Mwamba hakutikisika wala Kununa...

✓ Na mwisho wa siku akamsukia Zengwe la kumpachika na likesi la ugaidi ambayo nayo ili backfire Kwa kishindo...

NOTE: Tanzania hii wapo viongozi wawili tu wa vyama vya siasa pinzani WASIONUNULIKA lakini wakati huohuo wasumbufu wa kufa mtu wa CCM na serikali Yao. Hawa ni FREEMAN MBOWE (FM) na TUNDU LISSU (TL). Hawa kuwadhibiti ni aidha uwaue tu au watafutie uraia wa nchi nyingine huko Burundi...!!!
yoga em uje my kipenzi wangu.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, natumai kila mtu ana afya tele.

Kwa dokezo lililonifikia kutoka kwa mtu ambae siwezi kumtaja, ni kwamba mama anamuandalia kamanda Mbowe nafasi nyeti na muhimu ndani ya serikali yake ili kujenga serikali yenye sura na mtazamo wa kitaifa.

Ikumbukwe kwamba raisi Samia aliwahi kunukuliwa akitamka mwenyewe kwamba serikali yake anayoiunda angependa kuona anashirikiana na wanasiasa wa vyama vingine vya siasa, ili kutengeneza serikali ya kitaifa ambayo haiegemei upande wowote wa chama.

Na katika hili raisi ameanza kuonesha njia kwa kujiweka mbali na siasa za majitaka, ambazo zimekuwa zikiwafaidisha wapuuzi wachache waliopo ndani na nje ya chama chake.

Mungu ilinde Tanzania yetu
Mungu mlinde raisi wetu
Mungu ilinde amani yetu
na kila aliepo ndani ya nchi yetu
Ameen [emoji2969][emoji2969][emoji2969]
Kwanini Mbowe na sio ZITTO CHEYO SELASINI AU DUNI ?
 
Ingekuwa na ladha zaidi ingeletwa na Mrs badala ya Mr kwasabu katika maelezo mhabarishaji hajamtaja mtu wake nyeti aliyempa dokezo
 
Hujui kuota wewe...!

Humjui Freeman Mbowe wewe...!

Huyo hawezi kuuza utu wake Kwa shekeli otherwise angeshavutaga hela nyingi miaka mingi iliyopita...

Labda hujui tu. Kwa taarifa yako Iko hivi;

✓ John P. Magufuli alikuwa tayari kumpa Freeman Mbowe hata Uwaziri Mkuu (u - PM) ili mradi aiue CHADEMA lakini FM hakuweza kuuza utu wake...

✓ John P. Magufuli alikuwa hata tayari ampe hazina yote ya nchi hii ili mradi aiue CHADEMA, lakini FM hakuweza kuuza utu wake...

✓ Ndiyo maana jamaa (JPM) alipoona amemshindwa kumnasa kwenye hayo, akaamua kujaribu kuivuruga CHADEMA kwa nunua nunua ya wabunge na madiwani nchi nzima, lakini hata hiyo, Mwamba hakutikisika wala Kununa...

✓ Na mwisho wa siku akamsukia Zengwe la kumpachika na likesi la ugaidi ambayo nayo ili backfire Kwa kishindo...

NOTE: Tanzania hii wapo viongozi wawili tu wa vyama vya siasa pinzani WASIONUNULIKA lakini wakati huohuo wasumbufu wa kufa mtu wa CCM na serikali Yao. Hawa ni FREEMAN MBOWE (FM) na TUNDU LISSU (TL). Hawa kuwadhibiti ni aidha uwaue tu au watafutie uraia wa nchi nyingine huko Burundi...!!!
Samahani mkuu Lisu na Mbowe wale wale wa 2015 kumpa kuwania uraisi mwana ccm waliyemuuimba ni fisadi kwa miaka kumi, ndio hawa hawa ambao hawanunuliki!?
labda Slaa tu.
 
Back
Top Bottom