Mbowe anapigiwa saluti kama nani? Kwani akipigiwa saluti ndio CHADEMA mnapaishwa kisiasa?

Mbowe anapigiwa saluti kama nani? Kwani akipigiwa saluti ndio CHADEMA mnapaishwa kisiasa?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Alafu mbona hana ukakamavu kama sisi tuliopitia Jkt?
20230529_212103.jpg
 
Hao polisi wenye sifa ya kula rushwa nao unaona wamefanya kitu cha maana? Nyie CCM ndio mnaona kupigiwa salute ni kitu cha maana.
Uchaguzi wa 2020 ulipigwa vibaya. Jipange 2025
 
Back
Top Bottom