Mbowe anapigiwa saluti kama nani? Kwani akipigiwa saluti ndio CHADEMA mnapaishwa kisiasa?

Mbowe anapigiwa saluti kama nani? Kwani akipigiwa saluti ndio CHADEMA mnapaishwa kisiasa?

Alafu mbona hana ukakamavu kama sisi tuliopitia Jkt?View attachment 2639702
Mbowe ameitwa Ikulu kuongea na Rais wa nchi yako halafu wew kibwetele ulioko huko Nanyumbu unauliza kwa nini anapigiwa sarut?
Ngoja tukupe elimu wew kidampa Saluti ni heshima tuu ya kijeshi anaye pewa kiongozi yeyote ktk jamii na ni wajibu wao kuitoa.
Lakini kwakuwa ccm imewafanya ninyi kuwa mazuzu ya kudumu unaona kuwa ni kitu cha kipekee sana Ujinga wenu ninyi Mazuzu utaondolewa na katiba mpyaa.
 
Mbowe ameitwa Ikulu kuongea na Rais wa nchi yako halafu wew kibwetele ulioko huko Nanyumbu unauliza kwa nini anapigiwa sarut?
Ngoja tukupe elimu wew kidampa Saluti ni heshima tuu ya kijeshi anaye pewa kiongozi yeyote ktk jamii na ni wajibu wao kuitoa.
Lakini kwakuwa ccm imewafanya ninyi kuwa mazuzu ya kudumu unaona kuwa ni kitu cha kipekee sana Ujinga wenu ninyi Mazuzu utaondolewa na katiba mpyaa.
Tuwekee kifungu cha Pgo. Kuitwa ikulu hata Mwijaku huwa anaenda ikulu.
 
Nafasi aliyonayo
Kila sehemu kuna watu ambao police anatakiwa kuwapa salute mfano india police ...............The police have to salute the President, Vice President, Governor, central and state ministers, DGP, ADGP, IG, DIG, judges of Supreme Court and High Courts, District police chiefs, officials in SP rank, Unit Commandant Collector, sessions judges, officers in the field rank at Army (in uniform), magistrates, commissioned officers in the force and officers from the ranks of SI.




Ukienda huko hong kong

Soma humu
 

Attachments

Kila sehemu kuna watu ambao police anatakiwa kuwapa salute mfano india police ...............The police have to salute the President, Vice President, Governor, central and state ministers, DGP, ADGP, IG, DIG, judges of Supreme Court and High Courts, District police chiefs, officials in SP rank, Unit Commandant Collector, sessions judges, officers in the field rank at Army (in uniform), magistrates, commissioned officers in the force and officers from the ranks of SI.




Ukienda huko hong kong

Soma humu
Huku kwetu ikoje?
 
Back
Top Bottom