Mbowe anapigiwa saluti kama nani? Kwani akipigiwa saluti ndio CHADEMA mnapaishwa kisiasa?

Mbowe anapigiwa saluti kama nani? Kwani akipigiwa saluti ndio CHADEMA mnapaishwa kisiasa?

Salute Zina protocol sio kila lijitu linapigiwa salute. Mtu hata scouts hujawahi kupitia unaleta ubishi eti Limbowe linastahili kupigiwa salute..

Officers na viongozi walio teuliwa na rais ndio wanapigiwa salute..


Polisi na huyo mbowe, wote viazi
Ahaaa
 
Samahani bro....hayo mafunzo ya awali ya kijeshi Upanga Air wings ilikua mwaka gani?
Najua una ufahamu mzuri wa mambo haya. Nilikuwa operation miaka 25 ya JKT. Kwenda TPDF, tulichukuliwa tukiwa JKT. Tulioghairi kuendelea na ajira ya TPDF tulirudi kumalizia mafumzo yetu ya JKT kwenye vikosi vyetu na kuendelea na maisha ya kiraia.

Nilishiriki pia kwenye parade maakum ya miaka 25 ya JKT, lakini pia niliandaa historia iliyotumika kumuaga CDF afande Musuguri kwenye vikosi vya JKT baada ya kupewa nyaraka mbalimbali za maisha ya CDF na kuzipitia, na kisha kuweka historia yote pamoja. Baada ya kuyatekeleza majukumu hayo kwa namna iliyowapendeza, niliondolewa kwenye kazi za kawaida za wenzangu.
 
Back
Top Bottom