Mbowe anaungwa mkono na Wajumbe wapiga kura wengi ndani ya CHADEMA, Lissu anaungwa mkono na umati mkubwa wa wapiga kelele

LISU anaakiki lakini Hana sifa ya kuongoza taasisi
 
wapuuzi sana hawa watu.
umechafukwa sana gentleman?
pole na samahani sana kamanda, ndio Ukweli ulivyo, na itabidi uzoeee tu maana hakuna namna nyingine sasa ๐Ÿ’
 
Kwani mbowe katangaza lini anagombea uwenyekiti wa chadema?
 
Hahaha hizo ni ndoto, zinamuunga mkono kwa nafasi ipi? Mbowe hajatangaza kugombea kaka, kiherehere Cha nn? Wanachadema wataamua kupitia kura muda ukifika
 
Hivi kusini Lindi +Mtwara sio Kanda maana siwasikii viongozi wa chadema tokea huko.
Na wapo upande wa Mwamba VS Lissu.???
Wao wametulia wanasubiri wagombea watie Nia na kuchukua fomu kwanza.Hawataenda kama Kanda, Kila mmoja atampigia mgombea amtakaye, kura ni Siri na ndio demokrasia
 
Haahaa umesema vyema, Kuna kiongozi mkubwa tu wa chadema anasema mtaani kwake alikuwa akipata maoni, wengi wanasema wanataka mabadiliko japo yeye anamuunga mkono mwenyekiti mbowe
 
Shida kubwa kwa chadema hasa uchawa, Mbowe juzi aliropoka hovyo eti miaka 20 ya kukomaa, Ile ilikuwa hoja dhaifu, mtaani wananchi wanadai hivi mbowe akipata urais wa nchi atakubali kukaa miaka mitano?
 
Haahaa umenikumbusha kwa kagame, ushindi 90%
 
Haahaa umesema vyema, Kuna kiongozi mkubwa tu wa chadema anasema mtaani kwake alikuwa akipata maoni, wengi wanasema wanataka mabadiliko japo yeye anamuunga mkono mwenyekiti mbowe
heading ya hoja kuu imebeba uzito mkubwa mno gentleman,

tofautisha actual votes na popularity votes, itakusaiadia sana gentleman ili usiumbuke na kuaibika ๐Ÿ’
 
Shida kubwa kwa chadema hasa uchawa, Mbowe juzi aliropoka hovyo eti miaka 20 ya kukomaa, Ile ilikuwa hoja dhaifu, mtaani wananchi wanadai hivi mbowe akipata urais wa nchi atakubali kukaa miaka mitano?
chadema si kuna uhuru wa kutoa maoni gentleman, mbona kama unababaika na maoni ya kiongozi huyo wa mbozi, hali ya kua Hata lisu aliwahi kusema chaguzi za chadema zinanuka rushwa, ila hiyo haikua shida?

ni vizuri kuheshimu maoni na mitazamo ya wanachadema tofauti tofauti, hakuna haja ya makasiriko ๐Ÿ’
 
Yes na Busara ya collective responsibility anapenda kujijengea ufalme wake binafsi ubinafsi
ni kwamba muungwana ni mbinafsi mno, right?

ni mgonjwa na dhaifu sana kwenye suala la collective responsibilities, na kwamba utawala bora kwake ni kama kituo cha polisi right?๐Ÿ’
 
Mbowe asije jidanganya kubatle na lissu kwenye sanduku la kura, atapata aibu ambayo hajawahi kuipata maisha yake yote. Ushauri kwa mbowe aachie tu kiti ili astaafu kwa heshima ving'ang'anizi wa madaraka wanakuwaga na mwisho mbaya sana.
 
Wao wametulia wanasubiri wagombea watie Nia na kuchukua fomu kwanza.Hawataenda kama Kanda, Kila mmoja atampigia mgombea amtakaye, kura ni Siri na ndio demokrasia
Tutajie hata majina yao tuwajue as kanda zingine tuwajuavo
 
Usichokijua ni Kwamba

Team Mbowe ina watu wazito wachache (Wapiga kura)
Team Lisu ina watu wengi (Wasiopiga kura)

Team Mbowe inauhakika wa Ushindi kwenye box la kupiga kura ndio maana hawana kelele
Team TAL haina watu kwenye kura ndio maana wanalazimisha Mbowe ajitoe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ