Mbowe anaungwa mkono na Wajumbe wapiga kura wengi ndani ya CHADEMA, Lissu anaungwa mkono na umati mkubwa wa wapiga kelele

Mbowe anaungwa mkono na Wajumbe wapiga kura wengi ndani ya CHADEMA, Lissu anaungwa mkono na umati mkubwa wa wapiga kelele

Friends, ladies and gentlemen.

Kwa kifupi kabisa, ukipima kwa jicho la rohoni kabisa, numbers of votes zinamfavor chairman Mbowe, huku useless mass popularity ikimfavor vice chairman Lisu, ikiwa uchaguzi wa ndani wa chadema utafanyika mwaka huu 2024 au 2025.

There is no way Lissu can beat Mbowe in the ballot box, because Mbowe has real numbers, than Lisu has.

Uchaguzi ni mchakato unaozingatia na kutegemea zaidi numbers kwa washindani ili kushinda.

Ni dhahiri kanda za Pwani, Nyasa, Victoria na Kaskazini ni ngome imara za mwenyekiti wa sasa wa chadema Taifa, na tayari katika ujumla wake zimejipambanua kumuunga mkono.

Kanda ya kati, nadhani sote tunafahamu uhasama kati ya Lissu na Kigaila. Ni majirani wasioelewana hawa.Tuchukulie kanda hiyo itakua imegawanyika.

Kanda ya Viktoria kwa kamanda Ezekia Wenje, kama kawaida Taifa zima linafahamu, huyo ndie makamu mwenyekiti wa chadema Taifa ajae, ambae pia anamuunga mkono Dr. Freeman Aikaeli Mbowe kua mwenyekiti wa chadema Taifa.

Nguvu ya Ezekia Wenje kisiasa ndani ya chadema, imemlazimisha na kumtoa mtu maarufu sana ulingoni kwenye kinyang'anyiro cha uongozi wa chama Taifa.

Kanda za Serengeti, Magharibi, Kusini n.k ni kama wanatafuta platforms na namna ya kujipambanua wako upande wa Mbowe au Lisu.

Kwa ujumla, mizizi ya mwenyekiti wa chadema Taifa wa sasa ni mirefu, imara na imejikita sana ndani ya chadema. Kuing’oa yahitajika mipango mikakati ya kisayansi, Lakini pia nguvu, bongo kali, ushawishi wa hali na mali na jitihada za ziada. Asilimia kubwa ya viongozi wa chadema wa kanda, mikoa na wilaya wanatokana na mapendekezo na baraka za mwenyekiti wa chadema wa sasa.

Kwa maoni na mtazamo wako kisiasa, kati ya kanda 10 za kiutawala zilizopo chadema, unadhani ni kanda zipi zinanaweza kuunga mkono azma ya Tundu Lisu kua mwenyekiti wa chadema Taifa badala ya Freeman Mbowe?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Ni sawa na sababu kubwa ni kwamba mbowe ana uwezo kifedha wakati kiasi hana.lkn kuna haja gani kuendelea kukivuruga chama kisa mbowe abaki kwenye uenyekiti?kwa nini asiwaachie chama vijana yeye akawashauri.kwa mtaji hatutegemei cdm kuja kuwa chama mbadala hata siku.watanzania wa sasa si jana wanaelewa sana kilicho chini ya kapeti.rudisheni imani ya chama kwa wananchi.achaneni kuchaguana kisa fulani ana uwezo.kama ndivyo chama kitapoteza mwelekeo.
 
Ni sawa na sababu kubwa ni kwamba mbowe ana uwezo kifedha wakati kiasi hana.lkn kuna haja gani kuendelea kukivuruga chama kisa mbowe abaki kwenye uenyekiti?kwa nini asiwaachie chama vijana yeye akawashauri.kwa mtaji hatutegemei cdm kuja kuwa chama mbadala hata siku.watanzania wa sasa si jana wanaelewa sana kilicho chini ya kapeti.rudisheni imani ya chama kwa wananchi.achaneni kuchaguana kisa fulani ana uwezo.kama ndivyo chama kitapoteza mwelekeo.
Gentleman,
wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema, ndio pekee wenye fursa na nafasi ya kuamua ni ama MBOWE au LISU kua mwenyekiti wa chadema iliyogawanyika Taifa :pedroP:
 
Bahati mbaya sana kwa na makundi au mitandao sio sehemu ya mfumo wake wa maisha! Wajumbe wapime waamue na mambo yataendelea! Hayo mambo ya mitandao ya kikanda na kuhonga wajumbe yapo ccm, simba hana na hayataki!
ndiyo hivyo hivyo na wajumbe wa mkutano mkuu taifa nao hawamtaki :pedroP:
 
Labda kama wajumbe wa chadema hamnazo kama wa ccm, una mpigiaje kura mtu kakaa madarakani over 20yrs? Kipi hajafanya in 20 yrs atakacho kifanya in 5yrs? Kumbe ujinga wa wajumbe sio ccm tu bali hadi vyama vingine, Lissu kushinda hii kitu hahitaji hata campaign, it long overdue kwa Mbowe, hiyo tu ni disqualification peke yake, Mtawaambia nini vyama vingine kuwa democracy ilihali Mbowe yuko madarakani mile na mile ? Aii kwani yeye ni nani? Msifanye Tz au chadema ya mtu mmoja tu.
 
Labda kama wajumbe wa chadema hamnazo kama wa ccm, una mpigiaje kura mtu kakaa madarakani over 20yrs? Kipi hajafanya in 20 yrs atakacho kifanya in 5yrs? Kumbe ujinga wa wajumbe sio ccm tu bali hadi vyama vingine, Lissu kushinda hii kitu hahitaji hata campaign, it long overdue kwa Mbowe, hiyo tu ni disqualification peke yake, Mtawaambia nini vyama vingine kuwa democracy ilihali Mbowe yuko madarakani mile na mile ? Aii kwani yeye ni nani? Msifanye Tz au chadema ya mtu mmoja tu.
eti huhitaji kampeni :pedroP:

inahitaji huruma tu right?

miaka 20 si alikua anachaguliwa kwa kura ama?:BASED:
 
Haya mtafiti. Ila mnamuogopa sana Lissu kwasababu mnajua muziki wake.
sure anaogopwa na kila mtu,

coz hakuna anachoweza gentleman, ni huruma sana aise,

nadhani hicho ndicho wengi wa wajumbe wanafikiria kwamba akapumzike tu kwasababu ataweza nini sasa?:BASED:
 
Friends, ladies and gentlemen.

Kwa kifupi kabisa, ukipima kwa jicho la rohoni kabisa, numbers of votes zinamfavor chairman Mbowe, huku useless mass popularity ikimfavor vice chairman Lisu, ikiwa uchaguzi wa ndani wa chadema utafanyika mwaka huu 2024 au 2025.

There is no way Lissu can beat Mbowe in the ballot box, because Mbowe has real numbers, than Lisu has.

Uchaguzi ni mchakato unaozingatia na kutegemea zaidi numbers kwa washindani ili kushinda.

Ni dhahiri kanda za Pwani, Nyasa, Victoria na Kaskazini ni ngome imara za mwenyekiti wa sasa wa chadema Taifa, na tayari katika ujumla wake zimejipambanua kumuunga mkono.

Kanda ya kati, nadhani sote tunafahamu uhasama kati ya Lissu na Kigaila. Ni majirani wasioelewana hawa.Tuchukulie kanda hiyo itakua imegawanyika.

Kanda ya Viktoria kwa kamanda Ezekia Wenje, kama kawaida Taifa zima linafahamu, huyo ndie makamu mwenyekiti wa chadema Taifa ajae, ambae pia anamuunga mkono Dr. Freeman Aikaeli Mbowe kua mwenyekiti wa chadema Taifa.

Nguvu ya Ezekia Wenje kisiasa ndani ya chadema, imemlazimisha na kumtoa mtu maarufu sana ulingoni kwenye kinyang'anyiro cha uongozi wa chama Taifa.

Kanda za Serengeti, Magharibi, Kusini n.k ni kama wanatafuta platforms na namna ya kujipambanua wako upande wa Mbowe au Lisu.

Kwa ujumla, mizizi ya mwenyekiti wa chadema Taifa wa sasa ni mirefu, imara na imejikita sana ndani ya chadema. Kuing’oa yahitajika mipango mikakati ya kisayansi, Lakini pia nguvu, bongo kali, ushawishi wa hali na mali na jitihada za ziada. Asilimia kubwa ya viongozi wa chadema wa kanda, mikoa na wilaya wanatokana na mapendekezo na baraka za mwenyekiti wa chadema wa sasa.

Kwa maoni na mtazamo wako kisiasa, kati ya kanda 10 za kiutawala zilizopo chadema, unadhani ni kanda zipi zinanaweza kuunga mkono azma ya Tundu Lisu kua mwenyekiti wa chadema Taifa badala ya Freeman Mbowe?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Sasa mboga mboga unasemea ya chadema how..?
 
Back
Top Bottom