Uchaguzi 2020 Mbowe anavyomfitini Tundu Lissu, Nyalandu ashinda kura za maoni

Achana na huyu mbwa koko
 
*Lazaro S. Nyalandu - 28* ( 100%)
*Tundu Antipasi Lissu - 24* (86%)
*Dr. Mayrose K. Majinge - 23* ( 82%)

Kura 28. Then hizi asimilia mbona haziadd up?
 
*Lazaro S. Nyalandu - 28* ( 100%)
*Tundu Antipasi Lissu - 24* (86%)
*Dr. Mayrose K. Majinge - 23* ( 82%)

Kura 28. Then hizi asimilia mbona haziadd up?
Walikuwa watu 28. Walipiga kura kila mtu kura anaandika majina ya watu watatu anaaoona wanafaa. Hivyo Nyalandu alipata kura za wajumbe wote. Skiliza hayo mahojiano wameelezea vizuri. Ila nimegundua Nyalandu yupo kwa kazi maalum. Si bure.
 
kura halali 28..
nyalandu 28
lissu 24
mwingne 23

hio hesabu iko sawa kweli? au mim ndio sielewi
Hizo percentage umeziweka vibaya, siku nyingine hakikisha ukiweka percentage jumla yake isizidi 100%.

Inshort umeandika uongo mtupu.

Inategemea na voting system inyotumiwa na CHADEMA. Iwapo wanatumia approval voting system ambapo kila mpiga kura anaweza kuchaguwa watu wawili au watatu, basi idadi ya percentages za wagombea zitazidi 100, ila kama wanatumia one person-one vote, lazima percentages ziwe ni 100.
 
Hizi clip zako kwangu hazichezi, seems your file format is not supported in my Android file format.
Nimefungua hio link ya youtube kwenye simu yangu. Nimeona kweli Nyalandu anasema kuwa alipata kura zote, asilimia 100. Akifuatiwa na Lisu then Myrose. Na Kasema pia wajumbe walipiga kura tatu kila mmoja.

Jamaa anaongea ukweli.
 
Kwenye mgawo wa percentage ndio sijaelewa, huenda nilikimbia hesabu

Ni mwongo tu huyo...

Anasema;

å Idadi ya wapiga kura jumla 29
å Matokeo anasema;
¶ Nyalandu 28
¶ Lisuu 24
¶ MayRose 21

Yaani, kajikamatisha mwenyewe kwa uongo!!
 
hivi kwa mfano lisu amekuwa raisi, mdee atakuwa nani?? bulayo naye atakuwa nani ?? fikiria mnyika mbowe ,huoni ni kituko?? Nyalandu kazi anaiweza na imekamilika akishindwa membe yupo, kuhusu lisu ........
 
Dah, maisha yanaenda kasi sana! Yaani Lissu apitwe kura na Nyarandu tena ndani ya Chadema! Ndio maana sitaki unafiki wa kisiasa.
Kama ni kweli basi hawajitambui. Kusubiri mtu atoke CCM wamsimamishe Urais ni kichekesho, means wenyewe hawajiamini
 
Mleta uzi atakuwa libashite fulani hivi linajiharishia kusikia Mwanasheria msomi Tundu Lissu anarejea Bongo land.
 
Mkubwa thread ni ya kweli. Walipiga kura tatu tatu kila mtu. Sikiliza mahojiano Nyalandu anakiri mwenyewe wakati anahojiwa na Jenerali Ulimwengu.
Mkuu. KAMA ni kweli ni serious matter. Na hakika mark my Words Nyalandu yuko kazini. Time will tell. Not far
 
Mpaka muda huu hao Chadema bado hawajakanusha huenda basi ni kweli. Mungu nisaidie Siasa niwe Mshabiki tu wa kupita na si zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…