Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Achana na huyu mbwa kokoHivi siku hizi JF imekuwa kijiwe au niseme nini? Is this still a reputable forum? Hii thread ni ya uongo na mbaya zaidi hizo asilimia zimewekwa hapo hata mbwa koko hawezi shindwa hesabu hiyo. Wapiga kura 29 moja iharibike halafu eti kila mmoja apate hizo asilimia zilizowekwa hapo? Ama kweli nilijisemea kuwa IF niliyojiunga 2008 just after kufuata kwa Jambo Forum siyo hi ya leo. Kitendo cha kutangaza kaxi waziwazi na kujaza watu wenye utata ndiyo ilikuwa mwisho wa ubora wa Forum hii.
Special ni kuwa wengi hawaamini kuwa hii thread ina ukweli. Hivyo naonyesha kuwa ni legimate! Nothing more!
Nyalandu Kakiri wewe unabisha? Anasema walipiga kila mtu kura tatu tatu.Huo ni uongo. Wajumbe wote hupigia wagombea wote kwa pamoja na mara moja tu
What if ni kweliHuo ni uongo. Wajumbe wote hupigia wagombea wote kwa pamoja na mara moja tu
Walikuwa watu 28. Walipiga kura kila mtu kura anaandika majina ya watu watatu anaaoona wanafaa. Hivyo Nyalandu alipata kura za wajumbe wote. Skiliza hayo mahojiano wameelezea vizuri. Ila nimegundua Nyalandu yupo kwa kazi maalum. Si bure.*Lazaro S. Nyalandu - 28* ( 100%)
*Tundu Antipasi Lissu - 24* (86%)
*Dr. Mayrose K. Majinge - 23* ( 82%)
Kura 28. Then hizi asimilia mbona haziadd up?
kura halali 28..
nyalandu 28
lissu 24
mwingne 23
hio hesabu iko sawa kweli? au mim ndio sielewi
Hizo percentage umeziweka vibaya, siku nyingine hakikisha ukiweka percentage jumla yake isizidi 100%.
Inshort umeandika uongo mtupu.
Kumbe umeelewa acha kukaza ubongoaliyeelewa hapa anieleweshe kilaza mimi,
Yaani wajumbe walewale walipiga kwa kima mtu individually au?
Nimefungua hio link ya youtube kwenye simu yangu. Nimeona kweli Nyalandu anasema kuwa alipata kura zote, asilimia 100. Akifuatiwa na Lisu then Myrose. Na Kasema pia wajumbe walipiga kura tatu kila mmoja.Hizi clip zako kwangu hazichezi, seems your file format is not supported in my Android file format.
Kwenye mgawo wa percentage ndio sijaelewa, huenda nilikimbia hesabu
hivi kwa mfano lisu amekuwa raisi, mdee atakuwa nani?? bulayo naye atakuwa nani ?? fikiria mnyika mbowe ,huoni ni kituko?? Nyalandu kazi anaiweza na imekamilika akishindwa membe yupo, kuhusu lisu ........Ndugu wana bodi.
Kupitia vyanzo vyangu makini vya kimtandao nimepokea taarifa kuwa kamati kuu ya CHADEMA imefanya uamuzi kwa kupiga kura. Uamuzi wa kupendekeza nani awe mpeperusha bendera mkuu wa CHADEMA katika uchaguzi wa mwaka huu 2020. Yaani mgombea Urais.
Ukweli ni kwamba kati ya watu 8 waliorudisha fomu ni watu wawili tu wenye ushindani.
1. Mh Tundu Lissu
2. Mh Lazaro Nyalandu.
Hawa wote ni wenyeji wa mkoa wa Singida na wote ni wajumbe wa kamati kuu ya chadema taifa.
Binafsi nilishitushwa sana kiasi cha kubadilisha mapigo ya moyo wangu baada ya kuona matokeo ya kura za maoni za kamati kuu ya CHADEMA.
Kilichonishitua ni kuona ``think tank`` ya CHADEMA inaamini Mhe Lazaro Nyalandu ni bora kuliko Mhe Tundu Lissu aliyekinga chama kwa damu yake na risasi 16 ambazo mpaka sasa hatujajua Kama kweli zilikuwa zinampiga au malaika walitega migongo yao ndio ikapigwa lisasi kwa niaba yake? Kwasababu mpaka sasa watanzania na wanachadema bado wanajiuliza huyu jamaa aliponaje!!
Bila kutia chumvi yafuatayo ni matokeo ya tatu bora za maoni ya kamati kuu ya CHADEMA
KURA ZA WAGOMBEA URAIS JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
KAMA ZILIVYOPIGWA NA KAMATI KUU YA CHADEMA, DAR ES SALAAM, JULY 22, 2020
*IDADI YA KURA ZILIZOPIGWA - 29*
*KURA ILIYOHARIBIKA - 1*
*IDADI YA KURA HALALI -28*
*Lazaro S. Nyalandu - 28* ( 100%)
*Tundu Antipasi Lissu - 24* (86%)
*Dr. Mayrose K. Majinge - 23* ( 82%)
Haya ndiyo majina yatakayo kwenda Baraza Kuu la CHADEMA.
Baada ya matokeo haya nikaanza upelelezi kujua nini kimejiri Kaka Tundu Lissu azidiwe kura na mh Lazaro Nyalandu.
Uchunguzi wangu umebaini kuwa Mhe Aikael Mbowe na Nduguye Mhe Godbless Lema ndiyo walikua nyuma kuhakikisha kuwa Lazaro Nyalandu anamzidi kura za maoni Mhe Tundu Lissu katika maoni ya Kamati kuu.
Kwa ufupi naambatanisha chat za Whatsapp kati ya Mhe Lema na Mhe Mbowe baada ya matokeo ya kura hizo.
Na nina ushahidi thabiti watu wanne waliomnyima kura Lissu ni wafuatao.
1. Freeman Mbowe.
2. Godbless Lema.
3. Halima Mdee.
4. Esther Bulaya.
Pia nichukue wasaa huu kuwajulisha Mhe Esther Matiko na kaka Patrick Ole Sosopi kuwa makini katika siasa zao ndani ya chadema Mwamba hawatazami kwa jicho rafiki.
Wajumbe wa baraza kuu na mkutano mkuu wa chadema taifa wanaopinga mpango wa Mwamba kumuunga mkono Lazaro Nyarandu na ambao wanamuunga mkono mh Tundu lissu,mjiandae pia kisaikolojia yajayo yanafurahisha.
Sasa nimeanza kuamini kwanini wanachama wa chadema na viongozi wengi walikuwa wanatimkia vyama vya Nccr mageuzi na ccm wakisema Kuna tatizo naona sasa linaanza kuwa dhahiri machoni kwa watanzania na wanachama wa chadema.
Ni wenu.
Binafsi Lissu asipopewa nafasi ya kugombea. Naachana na Chadema rasmi
Kama ni kweli basi hawajitambui. Kusubiri mtu atoke CCM wamsimamishe Urais ni kichekesho, means wenyewe hawajiaminiDah, maisha yanaenda kasi sana! Yaani Lissu apitwe kura na Nyarandu tena ndani ya Chadema! Ndio maana sitaki unafiki wa kisiasa.
Mleta uzi atakuwa libashite fulani hivi linajiharishia kusikia Mwanasheria msomi Tundu Lissu anarejea Bongo land.Duuu....yajayo yanafurahisha....
huu unaweza kuwa uchangonishi.....umetaja majina ya wachaga tu, Bulaya umemweka ili kufukia dhamira yako ovu ya ukabila.
hizo kura zilipigwajepigwaje, maana wajumbe 29, mara mwingine 28, mwingine 24, sijaelewa kabisaaa...
Mkuu. KAMA ni kweli ni serious matter. Na hakika mark my Words Nyalandu yuko kazini. Time will tell. Not farMkubwa thread ni ya kweli. Walipiga kura tatu tatu kila mtu. Sikiliza mahojiano Nyalandu anakiri mwenyewe wakati anahojiwa na Jenerali Ulimwengu.