Uchaguzi 2020 Mbowe anavyomfitini Tundu Lissu, Nyalandu ashinda kura za maoni

Uchaguzi 2020 Mbowe anavyomfitini Tundu Lissu, Nyalandu ashinda kura za maoni

hivi kwa mfano lisu amekuwa raisi, mdee atakuwa nani?? bulayo naye atakuwa nani ?? fikiria mnyika mbowe ,huoni ni kituko?? Nyalandu kazi anaiweza na imekamilika akishindwa membe yupo, kuhusu lisu ........

Nyalandu hayuko kwenye mahesabu yetu, acha hao wajumbe wampigie kura, lakini mwenye ushawishi kwetu ni Tundu Lissu.
 
Mpaka muda huu hao Chadema bado hawajakanusha huenda basi ni kweli. Mungu nisaidie Siasa niwe Mshabiki tu wa kupita na si zaidi.
Sikiliza haya mahojiano. Dakika za kwanza tu anaelezea kura zilivyopigwa
 
Ndugu wana bodi.

Kupitia vyanzo vyangu makini vya kimtandao nimepokea taarifa kuwa kamati kuu ya CHADEMA imefanya uamuzi kwa kupiga kura. Uamuzi wa kupendekeza nani awe mpeperusha bendera mkuu wa CHADEMA katika uchaguzi wa mwaka huu 2020. Yaani mgombea Urais.

Ukweli ni kwamba kati ya watu 8 waliorudisha fomu ni watu wawili tu wenye ushindani.
1. Mh Tundu Lissu
2. Mh Lazaro Nyalandu.

Hawa wote ni wenyeji wa mkoa wa Singida na wote ni wajumbe wa kamati kuu ya chadema taifa.

Binafsi nilishitushwa sana kiasi cha kubadilisha mapigo ya moyo wangu baada ya kuona matokeo ya kura za maoni za kamati kuu ya CHADEMA.

Kilichonishitua ni kuona ``think tank`` ya CHADEMA inaamini Mhe Lazaro Nyalandu ni bora kuliko Mhe Tundu Lissu aliyekinga chama kwa damu yake na risasi 16 ambazo mpaka sasa hatujajua Kama kweli zilikuwa zinampiga au malaika walitega migongo yao ndio ikapigwa lisasi kwa niaba yake? Kwasababu mpaka sasa watanzania na wanachadema bado wanajiuliza huyu jamaa aliponaje!!

Bila kutia chumvi yafuatayo ni matokeo ya tatu bora za maoni ya kamati kuu ya CHADEMA

KURA ZA WAGOMBEA URAIS JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

KAMA ZILIVYOPIGWA NA KAMATI KUU YA CHADEMA, DAR ES SALAAM, JULY 22, 2020

*IDADI YA KURA ZILIZOPIGWA - 29*
*KURA ILIYOHARIBIKA - 1*
*IDADI YA KURA HALALI -28*

*Lazaro S. Nyalandu - 28* ( 100%)
*Tundu Antipasi Lissu - 24* (86%)
*Dr. Mayrose K. Majinge - 23* ( 82%)

Haya ndiyo majina yatakayo kwenda Baraza Kuu la CHADEMA.

Baada ya matokeo haya nikaanza upelelezi kujua nini kimejiri Kaka Tundu Lissu azidiwe kura na mh Lazaro Nyalandu.

Uchunguzi wangu umebaini kuwa Mhe Aikael Mbowe na Nduguye Mhe Godbless Lema ndiyo walikua nyuma kuhakikisha kuwa Lazaro Nyalandu anamzidi kura za maoni Mhe Tundu Lissu katika maoni ya Kamati kuu.

Kwa ufupi naambatanisha chat za Whatsapp kati ya Mhe Lema na Mhe Mbowe baada ya matokeo ya kura hizo.

Na nina ushahidi thabiti watu wanne waliomnyima kura Lissu ni wafuatao.

1. Freeman Mbowe.
2. Godbless Lema.
3. Halima Mdee.
4. Esther Bulaya.

Pia nichukue wasaa huu kuwajulisha Mhe Esther Matiko na kaka Patrick Ole Sosopi kuwa makini katika siasa zao ndani ya chadema Mwamba hawatazami kwa jicho rafiki.

Wajumbe wa baraza kuu na mkutano mkuu wa chadema taifa wanaopinga mpango wa Mwamba kumuunga mkono Lazaro Nyarandu na ambao wanamuunga mkono mh Tundu lissu,mjiandae pia kisaikolojia yajayo yanafurahisha.

Sasa nimeanza kuamini kwanini wanachama wa chadema na viongozi wengi walikuwa wanatimkia vyama vya Nccr mageuzi na ccm wakisema Kuna tatizo naona sasa linaanza kuwa dhahiri machoni kwa watanzania na wanachama wa chadema.

Ni wenu.
Upumbavu wa na ufitini wa CCM hizi ni propaganda nyeusi tuipoponye nchi yetu tuache fitina na ufitinishaji! Tanzania no taifa la upendo na taifa teule la Mungu tupendane!
 
Mpaka muda huu hao Chadema bado hawajakanusha huenda basi ni kweli. Mungu nisaidie Siasa niwe Mshabiki tu wa kupita na si zaidi.

Wanachofanya hao wajumbe ni haki yao, lakini Nyalandu hana ushawishi wowote kwetu sisi wapiga kura wa ukweli wa upinzani. Hayo maamuzi ya wajumbe ni halali, lakini hayana afya kwa mustakabali wa Cdm.
 
Mpaka muda huu hao Chadema bado hawajakanusha huenda basi ni kweli. Mungu nisaidie Siasa niwe Mshabiki tu wa kupita na si zaidi.
Chadema hawana muda wa kujibu propaganda uchwara za CCM. Siku zote CCM ndo ilikuwa makini kiintelejensia kuviendesha nyama vya upinzani ila Safari hii Chadema ndo wako makini kimedani na wanawaendesha CCM kiintelejensia.
 
Ndugu wana bodi.

Kupitia vyanzo vyangu makini vya kimtandao nimepokea taarifa kuwa kamati kuu ya CHADEMA imefanya uamuzi kwa kupiga kura. Uamuzi wa kupendekeza nani awe mpeperusha bendera mkuu wa CHADEMA katika uchaguzi wa mwaka huu 2020. Yaani mgombea Urais.

Ukweli ni kwamba kati ya watu 8 waliorudisha fomu ni watu wawili tu wenye ushindani.
1. Mh Tundu Lissu
2. Mh Lazaro Nyalandu.

Hawa wote ni wenyeji wa mkoa wa Singida na wote ni wajumbe wa kamati kuu ya chadema taifa.

Binafsi nilishitushwa sana kiasi cha kubadilisha mapigo ya moyo wangu baada ya kuona matokeo ya kura za maoni za kamati kuu ya CHADEMA.

Kilichonishitua ni kuona ``think tank`` ya CHADEMA inaamini Mhe Lazaro Nyalandu ni bora kuliko Mhe Tundu Lissu aliyekinga chama kwa damu yake na risasi 16 ambazo mpaka sasa hatujajua Kama kweli zilikuwa zinampiga au malaika walitega migongo yao ndio ikapigwa lisasi kwa niaba yake? Kwasababu mpaka sasa watanzania na wanachadema bado wanajiuliza huyu jamaa aliponaje!!

Bila kutia chumvi yafuatayo ni matokeo ya tatu bora za maoni ya kamati kuu ya CHADEMA

KURA ZA WAGOMBEA URAIS JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

KAMA ZILIVYOPIGWA NA KAMATI KUU YA CHADEMA, DAR ES SALAAM, JULY 22, 2020

*IDADI YA KURA ZILIZOPIGWA - 29*
*KURA ILIYOHARIBIKA - 1*
*IDADI YA KURA HALALI -28*

*Lazaro S. Nyalandu - 28* ( 100%)
*Tundu Antipasi Lissu - 24* (86%)
*Dr. Mayrose K. Majinge - 23* ( 82%)

Haya ndiyo majina yatakayo kwenda Baraza Kuu la CHADEMA.

Baada ya matokeo haya nikaanza upelelezi kujua nini kimejiri Kaka Tundu Lissu azidiwe kura na mh Lazaro Nyalandu.

Uchunguzi wangu umebaini kuwa Mhe Aikael Mbowe na Nduguye Mhe Godbless Lema ndiyo walikua nyuma kuhakikisha kuwa Lazaro Nyalandu anamzidi kura za maoni Mhe Tundu Lissu katika maoni ya Kamati kuu.

Kwa ufupi naambatanisha chat za Whatsapp kati ya Mhe Lema na Mhe Mbowe baada ya matokeo ya kura hizo.

Na nina ushahidi thabiti watu wanne waliomnyima kura Lissu ni wafuatao.

1. Freeman Mbowe.
2. Godbless Lema.
3. Halima Mdee.
4. Esther Bulaya.

Pia nichukue wasaa huu kuwajulisha Mhe Esther Matiko na kaka Patrick Ole Sosopi kuwa makini katika siasa zao ndani ya chadema Mwamba hawatazami kwa jicho rafiki.

Wajumbe wa baraza kuu na mkutano mkuu wa chadema taifa wanaopinga mpango wa Mwamba kumuunga mkono Lazaro Nyarandu na ambao wanamuunga mkono mh Tundu lissu,mjiandae pia kisaikolojia yajayo yanafurahisha.

Sasa nimeanza kuamini kwanini wanachama wa chadema na viongozi wengi walikuwa wanatimkia vyama vya Nccr mageuzi na ccm wakisema Kuna tatizo naona sasa linaanza kuwa dhahiri machoni kwa watanzania na wanachama wa chadema.

Ni wenu.
Wewe choqo na hao wanaokutuma hizi propaganda mfu mumechemka.
 
Nyalandu hayuko kwenye mahesabu yetu, acha hao wajumbe wampigie kura, lakini mwenye ushawishi kwetu ni Tundu Lissu.
Nyalandu atakuja kurudi CCM siku moja. Huyu siyo mtu aliyezoea kashkash za ''kusulubiwa''.
 
Kijana tulia, Lissu hawazi kupeperusha bendera ya urais hats yeye anajua. Cdm wakikosea kumpitisha Lissu watajutaaa
 
Ndugu wana bodi.

Kupitia vyanzo vyangu makini vya kimtandao nimepokea taarifa kuwa kamati kuu ya CHADEMA imefanya uamuzi kwa kupiga kura. Uamuzi wa kupendekeza nani awe mpeperusha bendera mkuu wa CHADEMA katika uchaguzi wa mwaka huu 2020. Yaani mgombea Urais.

Ukweli ni kwamba kati ya watu 8 waliorudisha fomu ni watu wawili tu wenye ushindani.
1. Mh Tundu Lissu
2. Mh Lazaro Nyalandu.

Hawa wote ni wenyeji wa mkoa wa Singida na wote ni wajumbe wa kamati kuu ya chadema taifa.

Binafsi nilishitushwa sana kiasi cha kubadilisha mapigo ya moyo wangu baada ya kuona matokeo ya kura za maoni za kamati kuu ya CHADEMA.

Kilichonishitua ni kuona ``think tank`` ya CHADEMA inaamini Mhe Lazaro Nyalandu ni bora kuliko Mhe Tundu Lissu aliyekinga chama kwa damu yake na risasi 16 ambazo mpaka sasa hatujajua Kama kweli zilikuwa zinampiga au malaika walitega migongo yao ndio ikapigwa lisasi kwa niaba yake? Kwasababu mpaka sasa watanzania na wanachadema bado wanajiuliza huyu jamaa aliponaje!!

Bila kutia chumvi yafuatayo ni matokeo ya tatu bora za maoni ya kamati kuu ya CHADEMA

KURA ZA WAGOMBEA URAIS JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

KAMA ZILIVYOPIGWA NA KAMATI KUU YA CHADEMA, DAR ES SALAAM, JULY 22, 2020

*IDADI YA KURA ZILIZOPIGWA - 29*
*KURA ILIYOHARIBIKA - 1*
*IDADI YA KURA HALALI -28*

*Lazaro S. Nyalandu - 28* ( 100%)
*Tundu Antipasi Lissu - 24* (86%)
*Dr. Mayrose K. Majinge - 23* ( 82%)

Haya ndiyo majina yatakayo kwenda Baraza Kuu la CHADEMA.

Baada ya matokeo haya nikaanza upelelezi kujua nini kimejiri Kaka Tundu Lissu azidiwe kura na mh Lazaro Nyalandu.

Uchunguzi wangu umebaini kuwa Mhe Aikael Mbowe na Nduguye Mhe Godbless Lema ndiyo walikua nyuma kuhakikisha kuwa Lazaro Nyalandu anamzidi kura za maoni Mhe Tundu Lissu katika maoni ya Kamati kuu.

Kwa ufupi naambatanisha chat za Whatsapp kati ya Mhe Lema na Mhe Mbowe baada ya matokeo ya kura hizo.

Na nina ushahidi thabiti watu wanne waliomnyima kura Lissu ni wafuatao.

1. Freeman Mbowe.
2. Godbless Lema.
3. Halima Mdee.
4. Esther Bulaya.

Pia nichukue wasaa huu kuwajulisha Mhe Esther Matiko na kaka Patrick Ole Sosopi kuwa makini katika siasa zao ndani ya chadema Mwamba hawatazami kwa jicho rafiki.

Wajumbe wa baraza kuu na mkutano mkuu wa chadema taifa wanaopinga mpango wa Mwamba kumuunga mkono Lazaro Nyarandu na ambao wanamuunga mkono mh Tundu lissu,mjiandae pia kisaikolojia yajayo yanafurahisha.

Sasa nimeanza kuamini kwanini wanachama wa chadema na viongozi wengi walikuwa wanatimkia vyama vya Nccr mageuzi na ccm wakisema Kuna tatizo naona sasa linaanza kuwa dhahiri machoni kwa watanzania na wanachama wa chadema.

Ni wenu.
Matapishi kajipange upya..
 
Nyalandu atakuja kurudi CCM siku moja. Huyu siyo mtu aliyezoea kashkash za ''kusulubiwa''.

Tunawaonya wajumbe wa Cdm, kitendo cha kumpitisha Nyalandu badala ya Lissu watakimaliza cdm. Huo mchezo wanaotaka kuucheza hivi sasa utakigharimu hicho chama. Wajue fika wakichemsha kwa mgombea wa urais, hata kwenye ubunge na madiwani wapiga kura wengi wa upinzani hawatajitokeza. Wajue hapa tulipofikia, sisi wafuasi ndio wenye nguvu kuliko kikundi cha watu wachache. Kosa la Lowassa lilipaswa kuwa la mwisho.
 
Kura halali 28

Nyalandu kura 28

Kisu kura 24

Mary kura 23

Mbona haviendani?
 
Hahahah Lisu asubiri 2025 tu,mziki wa magufuli hautouweza Safari hi
 
CCM mlianza na vitisho vya kumzuia Lissu asije Tanzania mkafeli, mkaja na thread za Lissu kukamatwa akifika mkafeli, mkaja na thread za Membe kugombea na sio Lissu mkafeli sasa mnakuja na thread za Mbowe na Lissu.

Nawaambieni Lissu ni mpango wa Mungu. Ni bora mkakaa muda huu kujipanga mtakiendeshaje Chama chenu baada ya Lissu kukabidhiwa nchi na serikali na watanzania hapo October 2020.

Mtake msitake Lissu ndo raisi wenu hapo October 2020.
Ulivyo uma meno sasa rais wa tff
 
Sikiliza haya mahojiano. Dakika za kwanza tu anaelezea kura zilivyopigwa


Duh kumbe hii habari ni ya kweli, sasa naanza kuamini kuwa CHADEMA wamepanga kumpiga chini Lissu, ila ni vyema wakaja na hoja za kujustify uhalali wa kumdrop Lissu.

Professionally, Lissu is unfit to the Presidential job kutokana na kisaikolojia kutokuwa sawa, risasi 36 sio mchezo inahitaji muda kurecover even mentally, mfano ni kwa namna hoja za Lissu ukimsikiliza kwa makini utaona muda wote anazungumzia tukio lile pamoja na kuelezea madhira yake, vigumu kumsikia akiongelea atafanyia nini taifa.

Politically, Lissu ndiyo the right candidate kutokana na influence yake kwa wanachama walio wengi tofauti na hicho kikundi kidogo the so called kamati kuu. Nyalandu ni mzuri na anafit pia kuwa rais professionally ila kisiasa hana ushawishi mkubwa, otherwise chama kitumie nguvu kubwa kumnadi.

Last; kwa maslahi mapana ya chama, Lissu asipopitishwa italeta majeraha makubwa na huenda ikawa ndo downfall ya CHADEMA na the rise of ACT kwani Zitto hacheki na kima yupo kwenye dirisha la usajili kama Lampard na Chelsea msimu huu.
 
Hamtoacha kuweweseka Lissu ni The Greatest
Kama mlishindwa kwa Lowasa, mtaweza kugawana kura wapinzani. Hiki ni kituko cha Mwaka. 2015 wagombea Urais walikuwa wawili wengine walikuwa wasindikizaji tu, sembuse Mwaka 2020 wagombea Magufuli CCM, Membe ACT, Lissu/Nyarandu Chadema, Lipumba CUF, kuna wa NCCR na wasindikizaji wengine.
 
Duh kumbe hii habari ni ya kweli, sasa naanza kuamini kuwa CHADEMA wamepanga kumpiga chini Lissu, ila ni vyema wakaja na hoja za kujustify uhalali wa kumdrop Lissu.

Professionally, Lissu is unfit to the Presidential job kutokana na kisaikolojia kutokuwa sawa, risasi 36 sio mchezo inahitaji muda kurecover even mentally, mfano ni kwa namna hoja za Lissu ukimsikiliza kwa makini utaona muda wote anazungumzia tukio lile pamoja na kuelezea madhira yake, vigumu kumsikia akiongelea atafanyia nini taifa.

Politically, Lissu ndiyo the right candidate kutokana na influence yake kwa wanachama walio wengi tofauti na hicho kikundi kidogo the so called kamati kuu. Nyalandu ni mzuri na anafit pia kuwa rais professionally ila kisiasa hana ushawishi mkubwa, otherwise chama kitumie nguvu kubwa kumnadi.

Last; kwa maslahi mapana ya chama, Lissu asipopitishwa italeta majeraha makubwa na huenda ikawa ndo downfall ya CHADEMA na the rise of ACT kwani Zitto hacheki na kima yupo kwenye dirisha la usajili kama Lampard na Chelsea msimu huu.
Endeleeni kutapa tapa ka kuku aliyechinjwa kichwa ....mnajitekenya na kucheka wenyewe ...kwn hata akiongoza kura za kamati kuu ndo atapitishwa bila mkutano mkuu?? Acheni upimbi bhna
 
Mkuu nimeangalia Id yako ni ya March, nyingi ya id za kuanzia machi mpaka sasa ni za wanaccm, na ziko kwa mpango maalum wa kuitetea ccm wakati wa uchaguzi mkuu, na kuleta sintofahamu na uchonganishi ndani ya cdm.

Tufanye ni kweli usemayo, lakini uchaguzi wowote ni lazima kuwe na wapiga kura, na kila mtu anaweza kumchagua amtakaye au anayemuamini. Hapo kuna kosa gani. Isipokuwa sisi wapiga kura wengi wa upinzani tuna imani na Lisu. Hivyo maamuzi yoyote nje ya Lisu cdm wajue wamepoteza.
Hahahahahahah mkuu Unaangaika na ID na sio content
 
Tunawaonya wajumbe wa Cdm, kitendo cha kumpitisha Nyalandu badala ya Lissu watakimaliza cdm. Huo mchezo wanaotaka kuucheza hivi sasa utakigharimu hicho chama. Wajue fika wakichemsha kwa mgombea wa urais, hata kwenye ubunge na madiwani wapiga kura wengi wa upinzani hawatajitokeza. Wajue hapa tulipofikia, sisi wafuasi ndio wenye nguvu kuliko kikundi cha watu wachache. Kosa la Lowassa lilipaswa kuwa la mwisho.
Toka lini kamati kuu ikampitisha mtu kuwa mgombea wa urais bila mkutano mkuu kamanda??
 
Back
Top Bottom