Uchaguzi 2020 Mbowe anavyomfitini Tundu Lissu, Nyalandu ashinda kura za maoni

Uchaguzi 2020 Mbowe anavyomfitini Tundu Lissu, Nyalandu ashinda kura za maoni

Hii habari kama ni kweli na hao uliwataja asilimia 100 nasadiki maana hata kujitoa Mbowe ni mkakati ili lisu hasipenye ila wanachezea shilingi chooni kama watampitisha Nyarandu nafikiri Lissu atakwenda ACT kushirikiana Membe na ndio itakuwa mwisho chadema
 
Hii habari kama ni kweli na hao uliwataja asilimia 100 nasadiki maana hata kujitoa Mbowe ni mkakati ili lisu hasipenye ila wanachezea shilingi chooni kama watampitisha Nyarandu nafikiri Lissu atakwenda ACT kushirikiana Membe na ndio itakuwa mwisho chadema
Hakuna kitu Kama hicho mkuu ...lazuma majina yatoke matatu kwenda mkutano mkuu...huko ndo utajua kuwa alikuwa anapewa moyo tu ...yaani kipigo atakachopewa nyarandu huenda asibakie chadema...ngoja waje wajumbe kutoka mikoani
 
Ndugu wana bodi.

Kupitia vyanzo vyangu makini vya kimtandao nimepokea taarifa kuwa kamati kuu ya CHADEMA imefanya uamuzi kwa kupiga kura. Uamuzi wa kupendekeza nani awe mpeperusha bendera mkuu wa CHADEMA katika uchaguzi wa mwaka huu 2020. Yaani mgombea Urais.

Ukweli ni kwamba kati ya watu 8 waliorudisha fomu ni watu wawili tu wenye ushindani.
1. Mh Tundu Lissu
2. Mh Lazaro Nyalandu.

Hawa wote ni wenyeji wa mkoa wa Singida na wote ni wajumbe wa kamati kuu ya chadema taifa.

Binafsi nilishitushwa sana kiasi cha kubadilisha mapigo ya moyo wangu baada ya kuona matokeo ya kura za maoni za kamati kuu ya CHADEMA.

Kilichonishitua ni kuona ``think tank`` ya CHADEMA inaamini Mhe Lazaro Nyalandu ni bora kuliko Mhe Tundu Lissu aliyekinga chama kwa damu yake na risasi 16 ambazo mpaka sasa hatujajua Kama kweli zilikuwa zinampiga au malaika walitega migongo yao ndio ikapigwa lisasi kwa niaba yake? Kwasababu mpaka sasa watanzania na wanachadema bado wanajiuliza huyu jamaa aliponaje!!

Bila kutia chumvi yafuatayo ni matokeo ya tatu bora za maoni ya kamati kuu ya CHADEMA

KURA ZA WAGOMBEA URAIS JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

KAMA ZILIVYOPIGWA NA KAMATI KUU YA CHADEMA, DAR ES SALAAM, JULY 22, 2020

*IDADI YA KURA ZILIZOPIGWA - 29*
*KURA ILIYOHARIBIKA - 1*
*IDADI YA KURA HALALI -28*

*Lazaro S. Nyalandu - 28* ( 100%)
*Tundu Antipasi Lissu - 24* (86%)
*Dr. Mayrose K. Majinge - 23* ( 82%)

Haya ndiyo majina yatakayo kwenda Baraza Kuu la CHADEMA.

Baada ya matokeo haya nikaanza upelelezi kujua nini kimejiri Kaka Tundu Lissu azidiwe kura na mh Lazaro Nyalandu.

Uchunguzi wangu umebaini kuwa Mhe Aikael Mbowe na Nduguye Mhe Godbless Lema ndiyo walikua nyuma kuhakikisha kuwa Lazaro Nyalandu anamzidi kura za maoni Mhe Tundu Lissu katika maoni ya Kamati kuu.

Kwa ufupi naambatanisha chat za Whatsapp kati ya Mhe Lema na Mhe Mbowe baada ya matokeo ya kura hizo.

Na nina ushahidi thabiti watu wanne waliomnyima kura Lissu ni wafuatao.

1. Freeman Mbowe.
2. Godbless Lema.
3. Halima Mdee.
4. Esther Bulaya.

Pia nichukue wasaa huu kuwajulisha Mhe Esther Matiko na kaka Patrick Ole Sosopi kuwa makini katika siasa zao ndani ya chadema Mwamba hawatazami kwa jicho rafiki.

Wajumbe wa baraza kuu na mkutano mkuu wa chadema taifa wanaopinga mpango wa Mwamba kumuunga mkono Lazaro Nyarandu na ambao wanamuunga mkono mh Tundu lissu,mjiandae pia kisaikolojia yajayo yanafurahisha.

Sasa nimeanza kuamini kwanini wanachama wa chadema na viongozi wengi walikuwa wanatimkia vyama vya Nccr mageuzi na ccm wakisema Kuna tatizo naona sasa linaanza kuwa dhahiri machoni kwa watanzania na wanachama wa chadema.

Ni wenu.
ujio wa Lissu naona watu wame panick kinyama yaani.

juice ya pilipili kichaa yaja, kaeni tu mkao wa kukimbilia Comoro (sijui kwa mtumbwi au kupiga mbizi mtajaza wenyewe).

habari ni.... Lissu anatinga timu Jumatatu ijayo na ndiye mgombea urais wa coalition ya upinzani kupitia chama chake cha Chadema.

habari ndiyo hiyo!
 
Mbna mie sijaelewa huo muenendo wa upigaji kura, khaaaaah
 
Sasa mleta mada hufikirii kama huyu mtu wakati hayupo kapitwa kwa kura 4 tu. Jee akiwepo mwenyewe itakuwaje?
 
Mchakato ndani ya kamati kuu ndani ya Chadema umekamilika ambapo kamati kuu ya Chama hicho imechagua watu watatu kwenda kwenye baraza kuu la Chama.
Katika kura zilizopigwa ndani ya kamati kuu, Ndugu Nyalandu amepata kura nyingi zaidi kuliko Lissu.

Hata hivyo tafsiri ya kura hizi ni kuwa Kamati kuu ya Chadema ambayo ndiyo uongozi wa Chadema hauamini kuwa Lissu ni mgombea bora kuliko Nyalandu.

Yaani kamati kuu ya Chadema kiufupi haiamini kuwa Ndugu Tundu Lissu anaweza kuwa rais mzuri kuliko ndugu Lazaro Nyalandu.

Hii maana yake ni kwamba Uongozi wa Chadema, umetuma Meseji kwa Wanachadema na Watanzania kuwa, Uongozi huo ungependa ndugu Nyalandu ndiye awe mpeperusha bendera ya chama hicho dhidi ya Rais Magufuli.

Sasa ni jukumu letu sisi wananchi kuanza kujiuliza, kuwa Uongozi wa Chadema umeona kasoro gani kwa Tundu Lissu hadi usiamini kuwa yeye ndiye anayefaa zaidi kuwa mgombea kuliko mwanachama yeyote wa CHADEMA katika waliotia nia?

Huenda uongozi wa Chadema una kitu ulichokiona kwa ndugu Lissu kiasi kwamba kupitia kura zao unatuma meseji kwetu kuwa Lissu si bora kuliko Nyalandu. Je ni kitu gani hicho?

Mimi nafikiri kuwa yule aliyeko jikoni ndiye anayejua joto lililoko huko, Sasa kama Uongozi wa juu wa Chadema haumuoni Lissu kama namba moja, je ni sahihi sisi kuanza kumuona kuwa ni mtu sahihi?

Nadhani maamuzi haya ya kamati kuu ni mawazo ya kutufikirisha sana sisi wapiga kura. Hii ni. meseji ya dhahiri kwetu kutoka kwa uongozi wa CHADEMA kuwa, kwenye uchaguzi huu ujao, miongoni mwa wagombea, uongozi huo unaamini kuwa kuna mtu ndani ya Chadema na nchi hii mwenye sifa zaidi kuliko Lissu anayepaswa kuwa raisi La sivyo kwa nini haukumpa kura nyingi zaidi Lissu kushinda wengine?

Tutafakari!
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Mchakato ndani ya kamati kuu ndani ya Chadema umekamilika ambapo kamati kuu ya Chama hicho imechagua watu watatu kwenda kwenye baraza kuu la Chama.
Katika kura zilizopigwa ndani ya kamati kuu, Ndugu Nyalandu amepata kura nyingi zaidi kuliko Lissu.

Hata hivyo tafsiri ya kura hizi ni kuwa Kamati kuu ya Chadema ambayo ndiyo uongozi wa Chadema hauamini kuwa Lissu ni mgombea bora kuliko Nyalandu.

Yaani kamati kuu ya Chadema kiufupi haiamini kuwa Ndugu Tundu Lissu anaweza kuwa rais mzuri kuliko ndugu Lazaro Nyalandu.

Hii maana yake ni kwamba Uongozi wa Chadema, umetuma Meseji kwa Wanachadema na Watanzania kuwa, Uongozi huo ungependa ndugu Nyalandu ndiye awe mpeperusha bendera ya chama hicho dhidi ya Rais Magufuli.

Sasa ni jukumu letu sisi wananchi kuanza kujiuliza, kuwa Uongozi wa Chadema umeona kasoro gani kwa Tundu Lissu hadi usiamini kuwa yeye ndiye anayefaa zaidi kuwa mgombea kuliko mwanachama yeyote wa CHADEMA katika waliotia nia?

Huenda uongozi wa Chadema una kitu ulichokiona kwa ndugu Lissu kiasi kwamba kupitia kura zao unatuma meseji kwetu kuwa Lissu si bora kuliko Nyalandu. Je ni kitu gani hicho?

Mimi nafikiri kuwa yule aliyeko jikoni ndiye anayejua joto lililoko huko, Sasa kama Uongozi wa juu wa Chadema haumuoni Lissu kama namba moja, je ni sahihi sisi kuanza kumuona kuwa ni mtu sahihi?

Nadhani maamuzi haya ya kamati kuu ni mawazo ya kutufikirisha sana sisi wapiga kura. Hii ni. meseji ya dhahiri kwetu kutoka kwa uongozi wa CHADEMA kuwa unaamini kuwa kuna mtu ndani ya nchi hii mwenye sifa zaidi kuliko Lissu anayepaswa kuwa raisi. La sibyo kwa nini haukumpa kura nyingi. zaidi Lissu kushinda wengine?

Tutafakari!
Ngoja waje wenye Sacco's na mapovu yao!
 
Mchakato ndani ya kamati kuu ndani ya Chadema umekamilika ambapo kamati kuu ya Chama hicho imechagua watu watatu kwenda kwenye baraza kuu la Chama.
Katika kura zilizopigwa ndani ya kamati kuu, Ndugu Nyalandu amepata kura nyingi zaidi kuliko Lissu.

Hata hivyo tafsiri ya kura hizi ni kuwa Kamati kuu ya Chadema ambayo ndiyo uongozi wa Chadema hauamini kuwa Lissu ni mgombea bora kuliko Nyalandu.

Yaani kamati kuu ya Chadema kiufupi haiamini kuwa Ndugu Tundu Lissu anaweza kuwa rais mzuri kuliko ndugu Lazaro Nyalandu.

Hii maana yake ni kwamba Uongozi wa Chadema, umetuma Meseji kwa Wanachadema na Watanzania kuwa, Uongozi huo ungependa ndugu Nyalandu ndiye awe mpeperusha bendera ya chama hicho dhidi ya Rais Magufuli.

Sasa ni jukumu letu sisi wananchi kuanza kujiuliza, kuwa Uongozi wa Chadema umeona kasoro gani kwa Tundu Lissu hadi usiamini kuwa yeye ndiye anayefaa zaidi kuwa mgombea kuliko mwanachama yeyote wa CHADEMA katika waliotia nia?

Huenda uongozi wa Chadema una kitu ulichokiona kwa ndugu Lissu kiasi kwamba kupitia kura zao unatuma meseji kwetu kuwa Lissu si bora kuliko Nyalandu. Je ni kitu gani hicho?

Mimi nafikiri kuwa yule aliyeko jikoni ndiye anayejua joto lililoko huko, Sasa kama Uongozi wa juu wa Chadema haumuoni Lissu kama namba moja, je ni sahihi sisi kuanza kumuona kuwa ni mtu sahihi?

Nadhani maamuzi haya ya kamati kuu ni mawazo ya kutufikirisha sana sisi wapiga kura. Hii ni. meseji ya dhahiri kwetu kutoka kwa uongozi wa CHADEMA kuwa unaamini kuwa kuna mtu ndani ya nchi hii mwenye sifa zaidi kuliko Lissu anayepaswa kuwa raisi. La sibyo kwa nini haukumpa kura nyingi. zaidi Lissu kushinda wengine?

Tutafakari!
Misile nilikiwa nakuheshimu sana lakini leo umeonesha uwezo mdogo wa kung'amua Mambo. Kilichofanywa na Chadema ni camouflage. Yaani Diversion. Ktk maswala ya inteligensia ni aina fulani ya kumpoteza mwelekeo adui adhani A ni B kumbe A ni A tu .
Nadhani umenielewa.
 
Misile nilikiwa nakuheshimu sana lakini leo umronesha uwezo mdogo wa kung'amua Mambo. Kilichofanywa na Chadema ni camoufaage. Yaani Diversion. Ktk maswala ya inteligensia ni aina fulani ya kumpoteza mwelekeo adui adhani A ni B kumbe A ni A tu .
Nadhani umenielewa.
Kwa hiyo mgombea wa saccos lazima afichwe kwanza?
 
Back
Top Bottom