Uchaguzi 2020 Mbowe anavyomfitini Tundu Lissu, Nyalandu ashinda kura za maoni

Uchaguzi 2020 Mbowe anavyomfitini Tundu Lissu, Nyalandu ashinda kura za maoni

Mchakato ndani ya kamati kuu ndani ya Chadema umekamilika ambapo kamati kuu ya Chama hicho imechagua watu watatu kwenda kwenye baraza kuu la Chama.
Katika kura zilizopigwa ndani ya kamati kuu, Ndugu Nyalandu amepata kura nyingi zaidi kuliko Lissu.

Hata hivyo tafsiri ya kura hizi ni kuwa Kamati kuu ya Chadema ambayo ndiyo uongozi wa Chadema hauamini kuwa Lissu ni mgombea bora kuliko Nyalandu.

Yaani kamati kuu ya Chadema kiufupi haiamini kuwa Ndugu Tundu Lissu anaweza kuwa rais mzuri kuliko ndugu Lazaro Nyalandu.

Hii maana yake ni kwamba Uongozi wa Chadema, umetuma Meseji kwa Wanachadema na Watanzania kuwa, Uongozi huo ungependa ndugu Nyalandu ndiye awe mpeperusha bendera ya chama hicho dhidi ya Rais Magufuli.

Sasa ni jukumu letu sisi wananchi kuanza kujiuliza, kuwa Uongozi wa Chadema umeona kasoro gani kwa Tundu Lissu hadi usiamini kuwa yeye ndiye anayefaa zaidi kuwa mgombea kuliko mwanachama yeyote wa CHADEMA katika waliotia nia?

Huenda uongozi wa Chadema una kitu ulichokiona kwa ndugu Lissu kiasi kwamba kupitia kura zao unatuma meseji kwetu kuwa Lissu si bora kuliko Nyalandu. Je ni kitu gani hicho?

Mimi nafikiri kuwa yule aliyeko jikoni ndiye anayejua joto lililoko huko, Sasa kama Uongozi wa juu wa Chadema haumuoni Lissu kama namba moja, je ni sahihi sisi kuanza kumuona kuwa ni mtu sahihi?

Nadhani maamuzi haya ya kamati kuu ni mawazo ya kutufikirisha sana sisi wapiga kura. Hii ni. meseji ya dhahiri kwetu kutoka kwa uongozi wa CHADEMA kuwa, kwenye uchaguzi huu ujao, miongoni mwa wagombea, uongozi huo unaamini kuwa kuna mtu ndani ya Chadema na nchi hii mwenye sifa zaidi kuliko Lissu anayepaswa kuwa raisi La sivyo kwa nini haukumpa kura nyingi zaidi Lissu kushinda wengine?

Tutafakari!
Unafahamu mwaka 2015, Magufuli alikuwa pendekezo namba 3?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchakato ndani ya kamati kuu ndani ya Chadema umekamilika ambapo kamati kuu ya Chama hicho imechagua watu watatu kwenda kwenye baraza kuu la Chama.
Katika kura zilizopigwa ndani ya kamati kuu, Ndugu Nyalandu amepata kura nyingi zaidi kuliko Lissu.

Hata hivyo tafsiri ya kura hizi ni kuwa Kamati kuu ya Chadema ambayo ndiyo uongozi wa Chadema hauamini kuwa Lissu ni mgombea bora kuliko Nyalandu.

Yaani kamati kuu ya Chadema kiufupi haiamini kuwa Ndugu Tundu Lissu anaweza kuwa rais mzuri kuliko ndugu Lazaro Nyalandu.

Hii maana yake ni kwamba Uongozi wa Chadema, umetuma Meseji kwa Wanachadema na Watanzania kuwa, Uongozi huo ungependa ndugu Nyalandu ndiye awe mpeperusha bendera ya chama hicho dhidi ya Rais Magufuli.

Sasa ni jukumu letu sisi wananchi kuanza kujiuliza, kuwa Uongozi wa Chadema umeona kasoro gani kwa Tundu Lissu hadi usiamini kuwa yeye ndiye anayefaa zaidi kuwa mgombea kuliko mwanachama yeyote wa CHADEMA katika waliotia nia?

Huenda uongozi wa Chadema una kitu ulichokiona kwa ndugu Lissu kiasi kwamba kupitia kura zao unatuma meseji kwetu kuwa Lissu si bora kuliko Nyalandu. Je ni kitu gani hicho?

Mimi nafikiri kuwa yule aliyeko jikoni ndiye anayejua joto lililoko huko, Sasa kama Uongozi wa juu wa Chadema haumuoni Lissu kama namba moja, je ni sahihi sisi kuanza kumuona kuwa ni mtu sahihi?

Nadhani maamuzi haya ya kamati kuu ni mawazo ya kutufikirisha sana sisi wapiga kura. Hii ni. meseji ya dhahiri kwetu kutoka kwa uongozi wa CHADEMA kuwa, kwenye uchaguzi huu ujao, miongoni mwa wagombea, uongozi huo unaamini kuwa kuna mtu ndani ya Chadema na nchi hii mwenye sifa zaidi kuliko Lissu anayepaswa kuwa raisi La sivyo kwa nini haukumpa kura nyingi zaidi Lissu kushinda wengine?

Tutafakari!
Missile majibu ya swali lako utapata kuanzia jumatatu pale mwamba atakapoingia na kuanzia tarehe 28 kwenye vikao vikuu vya chama .

Chadema ya sasa ni kama CCM ya 1960’s (TANU) na 1970’s kwa mipango mikakati kabambe.

Usione wako kimya na mengi wanafanyia ndani. Wanajua wanafanya nini na wanaelekea wapi. Wanajua Magu hana uungwaji mkono anaojitapa anao iwe kwenye vyombo vya dola au kwenye serikali na hata Chama chake pia. Sasa kwa kifupi subiri kuona huyu aliyeokolewa na Mungu kwenye risasi 38 anapoenda kukabidhiwa ikulu hapo October 2020
 
Mchakato ndani ya kamati kuu ndani ya Chadema umekamilika ambapo kamati kuu ya Chama hicho imechagua watu watatu kwenda kwenye baraza kuu la Chama.
Katika kura zilizopigwa ndani ya kamati kuu, Ndugu Nyalandu amepata kura nyingi zaidi kuliko Lissu.

Hata hivyo tafsiri ya kura hizi ni kuwa Kamati kuu ya Chadema ambayo ndiyo uongozi wa Chadema hauamini kuwa Lissu ni mgombea bora kuliko Nyalandu.

Yaani kamati kuu ya Chadema kiufupi haiamini kuwa Ndugu Tundu Lissu anaweza kuwa rais mzuri kuliko ndugu Lazaro Nyalandu.

Hii maana yake ni kwamba Uongozi wa Chadema, umetuma Meseji kwa Wanachadema na Watanzania kuwa, Uongozi huo ungependa ndugu Nyalandu ndiye awe mpeperusha bendera ya chama hicho dhidi ya Rais Magufuli.

Sasa ni jukumu letu sisi wananchi kuanza kujiuliza, kuwa Uongozi wa Chadema umeona kasoro gani kwa Tundu Lissu hadi usiamini kuwa yeye ndiye anayefaa zaidi kuwa mgombea kuliko mwanachama yeyote wa CHADEMA katika waliotia nia?

Huenda uongozi wa Chadema una kitu ulichokiona kwa ndugu Lissu kiasi kwamba kupitia kura zao unatuma meseji kwetu kuwa Lissu si bora kuliko Nyalandu. Je ni kitu gani hicho?

Mimi nafikiri kuwa yule aliyeko jikoni ndiye anayejua joto lililoko huko, Sasa kama Uongozi wa juu wa Chadema haumuoni Lissu kama namba moja, je ni sahihi sisi kuanza kumuona kuwa ni mtu sahihi?

Nadhani maamuzi haya ya kamati kuu ni mawazo ya kutufikirisha sana sisi wapiga kura. Hii ni. meseji ya dhahiri kwetu kutoka kwa uongozi wa CHADEMA kuwa, kwenye uchaguzi huu ujao, miongoni mwa wagombea, uongozi huo unaamini kuwa kuna mtu ndani ya Chadema na nchi hii mwenye sifa zaidi kuliko Lissu anayepaswa kuwa raisi La sivyo kwa nini haukumpa kura nyingi zaidi Lissu kushinda wengine?

Tutafakari!
Lissu anapigwa stop kuelekea kuunyemelea Uenyekiti wa CHADEMA. Naamini Mbowe akiachia ngazi, Nyalandu ataachiwa Chama hivyo Lissu anatakiwa akae mbali asigombee Urais. Akigombea Urais anaweza kuwa popular zaidi na hivyo kuongeza nafasi ya urithi kitu ambacho wenye chama hawakitaki: hawamwamini Lissu!
 
Lissu anapigwa stop kuelekea kuunyemelea Uenyekiti wa CHADEMA. Naamini Mbowe akiachia ngazi, Nyalandu ataachiwa Chama hivyo Lissu anatakiwa akae mbali asigombee Urais. Akigombea Urais anaweza kuwa popular zaidi na hivyo kuongeza nafasi ya urithi kitu ambacho wenye chama hawakitaki: hawamwamini Lissu!
Kete pekee mlizobaki nazo CCM juu ya Lissu ni ramli na vitisho vya kumuua.

Na mnalo mwaka huu CCM. Kiongozi wenu alivyotuma watu wakampige risasi Kwa nini hamkumshauri kuwa lile tukio litamuongezea umaarufu Lissu mara 1000 zaidi????

Sasa ndo mpambane na mtu mliyomuongezea umaarufu wenyewe kwa ujinga wenu na wa viongozi wenu.

Mnalo mwaka huu CCM!!
 
Hata hivyo tafsiri ya kura hizi ni kuwa Kamati kuu ya Chadema ambayo ndiyo uongozi wa Chadema hauamini kuwa Lissu ni mgombea bora kuliko Nyalandu.
Basi na iwe hivi:

Lissu akirudi aingie moja kwa moja ACT-Wazalendo na apewe huko nafasi ya kugombea uRais.

Unasemaje juu ya hilo?
 
Ndugu wana bodi.

Kupitia vyanzo vyangu makini vya kimtandao nimepokea taarifa kuwa kamati kuu ya CHADEMA imefanya uamuzi kwa kupiga kura. Uamuzi wa kupendekeza nani awe mpeperusha bendera mkuu wa CHADEMA katika uchaguzi wa mwaka huu 2020. Yaani mgombea Urais.

Ukweli ni kwamba kati ya watu 8 waliorudisha fomu ni watu wawili tu wenye ushindani.
1. Mh Tundu Lissu
2. Mh Lazaro Nyalandu.

Hawa wote ni wenyeji wa mkoa wa Singida na wote ni wajumbe wa kamati kuu ya chadema taifa.

Binafsi nilishitushwa sana kiasi cha kubadilisha mapigo ya moyo wangu baada ya kuona matokeo ya kura za maoni za kamati kuu ya CHADEMA.

Kilichonishitua ni kuona ``think tank`` ya CHADEMA inaamini Mhe Lazaro Nyalandu ni bora kuliko Mhe Tundu Lissu aliyekinga chama kwa damu yake na risasi 16 ambazo mpaka sasa hatujajua Kama kweli zilikuwa zinampiga au malaika walitega migongo yao ndio ikapigwa lisasi kwa niaba yake? Kwasababu mpaka sasa watanzania na wanachadema bado wanajiuliza huyu jamaa aliponaje!!

Bila kutia chumvi yafuatayo ni matokeo ya tatu bora za maoni ya kamati kuu ya CHADEMA

KURA ZA WAGOMBEA URAIS JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

KAMA ZILIVYOPIGWA NA KAMATI KUU YA CHADEMA, DAR ES SALAAM, JULY 22, 2020

*IDADI YA KURA ZILIZOPIGWA - 29*
*KURA ILIYOHARIBIKA - 1*
*IDADI YA KURA HALALI -28*

*Lazaro S. Nyalandu - 28* ( 100%)
*Tundu Antipasi Lissu - 24* (86%)
*Dr. Mayrose K. Majinge - 23* ( 82%)

Haya ndiyo majina yatakayo kwenda Baraza Kuu la CHADEMA.

Baada ya matokeo haya nikaanza upelelezi kujua nini kimejiri Kaka Tundu Lissu azidiwe kura na mh Lazaro Nyalandu.

Uchunguzi wangu umebaini kuwa Mhe Aikael Mbowe na Nduguye Mhe Godbless Lema ndiyo walikua nyuma kuhakikisha kuwa Lazaro Nyalandu anamzidi kura za maoni Mhe Tundu Lissu katika maoni ya Kamati kuu.

Kwa ufupi naambatanisha chat za Whatsapp kati ya Mhe Lema na Mhe Mbowe baada ya matokeo ya kura hizo.

Na nina ushahidi thabiti watu wanne waliomnyima kura Lissu ni wafuatao.

1. Freeman Mbowe.
2. Godbless Lema.
3. Halima Mdee.
4. Esther Bulaya.

Pia nichukue wasaa huu kuwajulisha Mhe Esther Matiko na kaka Patrick Ole Sosopi kuwa makini katika siasa zao ndani ya chadema Mwamba hawatazami kwa jicho rafiki.

Wajumbe wa baraza kuu na mkutano mkuu wa chadema taifa wanaopinga mpango wa Mwamba kumuunga mkono Lazaro Nyarandu na ambao wanamuunga mkono mh Tundu lissu,mjiandae pia kisaikolojia yajayo yanafurahisha.

Sasa nimeanza kuamini kwanini wanachama wa chadema na viongozi wengi walikuwa wanatimkia vyama vya Nccr mageuzi na ccm wakisema Kuna tatizo naona sasa linaanza kuwa dhahiri machoni kwa watanzania na wanachama wa chadema.

Ni wenu.
ATI NAAMBATANISHA CHATI ZAOOOO UNAUMWAKWELI

KSWAUMU NA MAJAN YA MKARATUSI YANAKUHUSU
 
Lisu ni mwanaharakati mzuri sana lakini anakosa vitu Fulani vya kumfanya awe amiri Jeshi Mkuu na mkuu wa nchi.
Ngoja ajiweke vizuri zaidi ili 2025 achukue nchi mana atakua amejiweka vizuri kiutawala na uongozi wa nafasi ya juu kabisa wa nchi.
Anatakiwa kuondokana na siasa za kiharakati arudi kwenye siasa za Sera mbadala.

Nyarandu ana sifa ya kuwa Rais wa nchi.
Hatutaki mtu atakatepanda majukwaani na kuanza kutukana watu au kukejeli watu au kuzusha mambo asiyokuwa na uhakika nayo. Ataharibu uchaguzi na inawezekana Chama kikawekewa mapingamizi mengi au hata kuzuia kuendelea na kampeni na kuonywa Mara kwa Mara.

Kwa maono makubwa pia Lazaro ni zaidi. Lisu ni kiboko kwenye kusimamia sheria. Lakini Rais pia anapaswa kuwa na maono ya mbali zaidi na moyo wa kuipenda jamii bila kujali vyama . Lisu bado kidogo! Akikosa atulie kwanza na ikiwezekana ajitoe na kumuunga mkono Lazaro ili 2025 amalize mchezo.
Una uhakika na haya uliyoandika kwenye mstari nilioukoreza?
Bila shaka ulikuwa na maana ya 'Magufuli' badala ya kumtaja 'Nyalandu' au vipi?

Ushahidi wangu ni hayo mengi uliyoandika huko juu ndani ya bandiko lako hili.
 
Caution For Singles, If You Want Your Relationship To Have A Future-‘Dr Paul Enenche

MAINTAIN THE PURITY OF THE MARRIAGE BED.
A marriage that would have a future must have the bed undefiled. When people have sex before marriage, THEY PRODUCES THREE (3) HARVEST;

1] Lost of Dignity.

-Your values drops in the eyes of the man, in the eyes of the woman..
“If you are a real man, why couldn’t you hold yourself..”
“Girl, you are so cheap like that, I haven’t married you, yet I have had you”

Pre-marital sex lowers respect and dignity.

3 ] It Increases Mutual Suspicion.

-When you did the illegal with the person you haven’t married, there is mutual suspicion, “Are you sure is his office you are coming from?”. “let me see your phone, who texted you”

For one reason or the other, at the back of the mind, THIS MAN THAT COULD DO THIS THING WITH YOU WHEN HE DIDN’T MARRY YOU, ARE YOU SURE HE COULDN’T DO IT WITH ANY OTHER PERSON?….Mutual suspicion!

3] Extramarital Tendency.

-THE SEED OF EXTRAMARITAL SEX, MANY TIMES WILL PRODUCE A HARVEST OF EXTRAMARITAL ISSUES. Where somebody is in the home but still looking outside..

>Pardon me, people can be tempted. That’s not what am referring to…
>The one am referring is, the person that have this seed in his body, a harvest that was planted before marriage..

#Marriage
#Relationship
@Christianschatroom🧍‍♀✝🧍🏿‍♂
 
Naona taarifa za ujio wa Lissu zimeanza kuwatesa baadhi ya watu humu ndani, waliamini Lissu asingekaa arudi tena nchini, sasa bahati mbaya sana kwao, sio tu imethibitika kwamba atarejea, bali zaidi ndie anaenda kuwa mgombea Urais kupitia Chadema.

Hakika hili ni jambo la kushtua sana kwa watesi wa Lissu walioamini walishammaliza kwa zile risasi zao, ila Mungu akawathibitishia yeye ni zaidi yao.

#Lissu2020
 
Hahah Nyalandu?Huyo hata kura elfu 50 nchi nzima hawezi kupata na wakimuweka Nyalandu kugombea urais ndipo nitakapojua rasmi Mbowe ni pandikizi la Ccm kama wakina Mbatia/Mrema.
 
Ndugu wana bodi.

Kupitia vyanzo vyangu makini vya kimtandao nimepokea taarifa kuwa kamati kuu ya CHADEMA imefanya uamuzi kwa kupiga kura. Uamuzi wa kupendekeza nani awe mpeperusha bendera mkuu wa CHADEMA katika uchaguzi wa mwaka huu 2020. Yaani mgombea Urais.

Ukweli ni kwamba kati ya watu 8 waliorudisha fomu ni watu wawili tu wenye ushindani.
1. Mh Tundu Lissu
2. Mh Lazaro Nyalandu.

Hawa wote ni wenyeji wa mkoa wa Singida na wote ni wajumbe wa kamati kuu ya chadema taifa.

Binafsi nilishitushwa sana kiasi cha kubadilisha mapigo ya moyo wangu baada ya kuona matokeo ya kura za maoni za kamati kuu ya CHADEMA.

Kilichonishitua ni kuona ``think tank`` ya CHADEMA inaamini Mhe Lazaro Nyalandu ni bora kuliko Mhe Tundu Lissu aliyekinga chama kwa damu yake na risasi 16 ambazo mpaka sasa hatujajua Kama kweli zilikuwa zinampiga au malaika walitega migongo yao ndio ikapigwa lisasi kwa niaba yake? Kwasababu mpaka sasa watanzania na wanachadema bado wanajiuliza huyu jamaa aliponaje!!

Bila kutia chumvi yafuatayo ni matokeo ya tatu bora za maoni ya kamati kuu ya CHADEMA

KURA ZA WAGOMBEA URAIS JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

KAMA ZILIVYOPIGWA NA KAMATI KUU YA CHADEMA, DAR ES SALAAM, JULY 22, 2020

*IDADI YA KURA ZILIZOPIGWA - 29*
*KURA ILIYOHARIBIKA - 1*
*IDADI YA KURA HALALI -28*

*Lazaro S. Nyalandu - 28* ( 100%)
*Tundu Antipasi Lissu - 24* (86%)
*Dr. Mayrose K. Majinge - 23* ( 82%)

Haya ndiyo majina yatakayo kwenda Baraza Kuu la CHADEMA.

Baada ya matokeo haya nikaanza upelelezi kujua nini kimejiri Kaka Tundu Lissu azidiwe kura na mh Lazaro Nyalandu.

Uchunguzi wangu umebaini kuwa Mhe Aikael Mbowe na Nduguye Mhe Godbless Lema ndiyo walikua nyuma kuhakikisha kuwa Lazaro Nyalandu anamzidi kura za maoni Mhe Tundu Lissu katika maoni ya Kamati kuu.

Kwa ufupi naambatanisha chat za Whatsapp kati ya Mhe Lema na Mhe Mbowe baada ya matokeo ya kura hizo.

Na nina ushahidi thabiti watu wanne waliomnyima kura Lissu ni wafuatao.

1. Freeman Mbowe.
2. Godbless Lema.
3. Halima Mdee.
4. Esther Bulaya.

Pia nichukue wasaa huu kuwajulisha Mhe Esther Matiko na kaka Patrick Ole Sosopi kuwa makini katika siasa zao ndani ya chadema Mwamba hawatazami kwa jicho rafiki.

Wajumbe wa baraza kuu na mkutano mkuu wa chadema taifa wanaopinga mpango wa Mwamba kumuunga mkono Lazaro Nyarandu na ambao wanamuunga mkono mh Tundu lissu,mjiandae pia kisaikolojia yajayo yanafurahisha.

Sasa nimeanza kuamini kwanini wanachama wa chadema na viongozi wengi walikuwa wanatimkia vyama vya Nccr mageuzi na ccm wakisema Kuna tatizo naona sasa linaanza kuwa dhahiri machoni kwa watanzania na wanachama wa chadema.

Ni wenu.
Peleka umbea na uchawi wako CCM achana na bedrooms za watu utakuja kufanyiwa kitu kibaya!
 
Walikuwa watu 28. Walipiga kura kila mtu kura anaandika majina ya watu watatu anaaoona wanafaa. Hivyo Nyalandu alipata kura za wajumbe wote. Skiliza hayo mahojiano wameelezea vizuri. Ila nimegundua Nyalandu yupo kwa kazi maalum. Si bure.
Nyalandu yuko kwny Special Mission huyo na hata Leo Chadema wakimkata na akaondoka chamani hana hata wafuasi wa 3 watakaomfuata maana hana ushawishi wowote ule kwny Chama
 
Huyu taira kaandika utopolp gani humu iv watu kama hawa wanaruhuxiwa vip kuleta uzi wa uzuxhi kam huu et idaiya kura 29 ilio haribika ni moja nyalandu 28.Lisu 24 mwingine23 kalculeti hizo namba uone uzuxhi wako ulovyo.
Huyu anatakiwa akamatwe kwa nguvu halafu akung'untwe viboko kama "salasini na tisa" vya shingoni.Marabook sana huyu mleta "sredi"!😂😂😂😂
 
Demikrasia ndani CHADEMA,apatikane 1,tuwaheshimu.
 
Ndugu wana bodi.

Kupitia vyanzo vyangu makini vya kimtandao nimepokea taarifa kuwa kamati kuu ya CHADEMA imefanya uamuzi kwa kupiga kura. Uamuzi wa kupendekeza nani awe mpeperusha bendera mkuu wa CHADEMA katika uchaguzi wa mwaka huu 2020. Yaani mgombea Urais.

Ukweli ni kwamba kati ya watu 8 waliorudisha fomu ni watu wawili tu wenye ushindani.
1. Mh Tundu Lissu
2. Mh Lazaro Nyalandu.

Hawa wote ni wenyeji wa mkoa wa Singida na wote ni wajumbe wa kamati kuu ya chadema taifa.

Binafsi nilishitushwa sana kiasi cha kubadilisha mapigo ya moyo wangu baada ya kuona matokeo ya kura za maoni za kamati kuu ya CHADEMA.

Kilichonishitua ni kuona ``think tank`` ya CHADEMA inaamini Mhe Lazaro Nyalandu ni bora kuliko Mhe Tundu Lissu aliyekinga chama kwa damu yake na risasi 16 ambazo mpaka sasa hatujajua Kama kweli zilikuwa zinampiga au malaika walitega migongo yao ndio ikapigwa lisasi kwa niaba yake? Kwasababu mpaka sasa watanzania na wanachadema bado wanajiuliza huyu jamaa aliponaje!!

Bila kutia chumvi yafuatayo ni matokeo ya tatu bora za maoni ya kamati kuu ya CHADEMA

KURA ZA WAGOMBEA URAIS JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

KAMA ZILIVYOPIGWA NA KAMATI KUU YA CHADEMA, DAR ES SALAAM, JULY 22, 2020

*IDADI YA KURA ZILIZOPIGWA - 29*
*KURA ILIYOHARIBIKA - 1*
*IDADI YA KURA HALALI -28*

*Lazaro S. Nyalandu - 28* ( 100%)
*Tundu Antipasi Lissu - 24* (86%)
*Dr. Mayrose K. Majinge - 23* ( 82%)

Haya ndiyo majina yatakayo kwenda Baraza Kuu la CHADEMA.

Baada ya matokeo haya nikaanza upelelezi kujua nini kimejiri Kaka Tundu Lissu azidiwe kura na mh Lazaro Nyalandu.

Uchunguzi wangu umebaini kuwa Mhe Aikael Mbowe na Nduguye Mhe Godbless Lema ndiyo walikua nyuma kuhakikisha kuwa Lazaro Nyalandu anamzidi kura za maoni Mhe Tundu Lissu katika maoni ya Kamati kuu.

Kwa ufupi naambatanisha chat za Whatsapp kati ya Mhe Lema na Mhe Mbowe baada ya matokeo ya kura hizo.

Na nina ushahidi thabiti watu wanne waliomnyima kura Lissu ni wafuatao.

1. Freeman Mbowe.
2. Godbless Lema.
3. Halima Mdee.
4. Esther Bulaya.

Pia nichukue wasaa huu kuwajulisha Mhe Esther Matiko na kaka Patrick Ole Sosopi kuwa makini katika siasa zao ndani ya chadema Mwamba hawatazami kwa jicho rafiki.

Wajumbe wa baraza kuu na mkutano mkuu wa chadema taifa wanaopinga mpango wa Mwamba kumuunga mkono Lazaro Nyarandu na ambao wanamuunga mkono mh Tundu lissu,mjiandae pia kisaikolojia yajayo yanafurahisha.

Sasa nimeanza kuamini kwanini wanachama wa chadema na viongozi wengi walikuwa wanatimkia vyama vya Nccr mageuzi na ccm wakisema Kuna tatizo naona sasa linaanza kuwa dhahiri machoni kwa watanzania na wanachama wa chadema.

Ni wenu.
Jumla ya kura halali 28,halafu Nyalandu 28,Lissu 24, na Myrose ngapi????
 
Freeman anachoangalia ni Pesa ni wazi Lazaro ana marafiki wengi sana US ambao wanaweza kumjazia mpunga na asitoe hata mia ya chama kwenye kampeni, Upinzani TAL ni bora sana kwa sasa kuliko wakati wowote ila kwa vile Chair wenu kaweka interest zake mbele kuna possibility atamkata japo nguvu ya umma pia inaweza kuwin na TAL aka vie for presidency
 
Back
Top Bottom