Mbowe aondolewe kwa nguvu kama mwenyekiti wa CHADEMA. Amezoea kufanya biashara za kisiasa, hafai

Mbowe aondolewe kwa nguvu kama mwenyekiti wa CHADEMA. Amezoea kufanya biashara za kisiasa, hafai

Angalia mwaka 2015 alipovuta mpunga na kutuuza usiku wa manane na kumkaribisha Lowasa.

Alivuta mpunga Dkt. Slaa akabaki kuduwaa na kuropoka. Prof Safari umeona hiyoooo.

Alishatupiga sana.

Sasa hivi creame yote ya asali analamba yeye.

Kwa hiii kaliba ya Mbowe hafai hata kidogo. Tuitishe mkutano mkuu na kumkataaa. Tumkatae kabisa.
Itisha aasa kikao bwege wewe
 
Straightforward questions:
  • Hivi kwanini Sukuma gang ndiyo wanaumizwa na Mbowe kuwa mwenyekiti CDM ilhali watu/wanachama/supporters wa CDM wanang'ang'ania aendelee?
  • Watu wa CDM wanafaidika nini na Mbowe kuwa mwenyekiti na Sukuma gang wanaathirika nini katika harakati zao za kisiasa Mbowe anapoendelea kuwa mwenyekiti wa CDM?
Who are they?
 
You and your fellow Sukuma gang crew vs CHADEMA members and supporters.
This shit is so obvious kwamba nyinyi mnachukizwa na Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti ilhali watu wa CHADEMA hawataki kabisa aachie kiti.
Tutaweka akiba hiii.

But Mbowe must Go. Awapishe wananchi wa kusini au magharibi waongoze
 
Kwani lazima ubaki ndani ya CHADEMA? Kama yamekushinda nenda ACT TANZANIA, CUF, CHAUMA nk.
 
Wanachama waandamane na kutaka Demokrasia kwenye chama chao. CHADEMA wawe mfano wa DEMOKRASIA
Kama wanachama hawaoni tatizo la kuandamana ili kumtoa Freeman Aikael Mbowe, wewe mamluki kinachokusumbua ni nini?
 
Angalia mwaka 2015 alipovuta mpunga na kutuuza usiku wa manane na kumkaribisha Lowasa.

Alivuta mpunga Dkt. Slaa akabaki kuduwaa na kuropoka. Prof Safari umeona hiyoooo.

Alishatupiga sana.

Sasa hivi creame yote ya asali analamba yeye.

Kwa hiii kaliba ya Mbowe hafai hata kidogo. Tuitishe mkutano mkuu na kumkataaa. Tumkatae kabisa.
Mbowe huko alipo kwa sasa anashukuru Mungu kamletea kichaka cha kujificha (bandari) 😂😂

Alaf alivyokuwa mchawi, hata wewe ulieandika thread hii sasa hivi umekuwa upande wa mabata wake, anakuswageni tu muingie bandani 🤣🤣🤣

Uchaguzi wa kuwa na imani nae utafanyika tena mwaka 2034.
 
Mbowe huko alipo kwa sasa anashukuru Mungu kamletea kichaka cha kujificha (bandari) 😂😂

Alaf alivyokuwa mchawi, hata wewe ulieandika thread hii sasa hivi umekuwa upande wa mabata wake, anakuswageni tu muingie bandani 🤣🤣🤣

Uchaguzi wa kuwa na imani nae utafanyika tena mwaka 2034.
Umerogwa?
 
Angalia mwaka 2015 alipovuta mpunga na kutuuza usiku wa manane na kumkaribisha Lowasa.

Alivuta mpunga Dkt. Slaa akabaki kuduwaa na kuropoka. Prof Safari umeona hiyoooo.

Alishatupiga sana.

Sasa hivi creame yote ya asali analamba yeye.

Kwa hiii kaliba ya Mbowe hafai hata kidogo. Tuitishe mkutano mkuu na kumkataaa. Tumkatae kabisa.
Ndugu kamanda mchomvu,Dudumizi,Comte na marafiki zenu mmerudi upya kwa zile mambo zenu😂😂😂
 
Ndugu kamanda mchomvu,Dudumizi,Comte na marafiki zenu mmerudi upya kwa zile mambo zenu😂😂😂
Kwa sasa Kamanda Asiyechoka ashawekwa ndani ya mfuko wa Mbowe, bila shaka zile harakati zake uchwara za kutaka uongozi mpya ndani ya chama zimekufa kibudu.

Nilimuonya mapema kwamba chama ni cha mkwe wa mwenyekiti, kwahiyo kamanda alienyong'onyea ana option 4 za kuchagua, ambazo ni...

1. Kukubali kuburuzwa na mwenyekiti kama wenzake.
2. Kujiunga na Zito Kabwe.
3. Kukimbilia CCM
4. Kuanzisha chama chake.

Bahati nzuri au mbaya, kamanda mwenyewe kaufyata na kuamua kuburuzwa kama bata wa mwenyekiti.
 
Kwa sasa Kamanda Asiyechoka ashawekwa ndani ya mfuko wa Mbowe, bila shaka zile harakati zake uchwara za kutaka uongozi mpya ndani ya chama zimekufa kibudu.

Nilimuonya mapema kwamba chama ni cha mkwe wa mwenyekiti, kwahiyo kamanda alienyong'onyea ana option 4 za kuchagua, ambazo ni...

1. Kukubali kuburuzwa na mwenyekiti kama wenzake.
2. Kujiunga na Zito Kabwe.
3. Kukimbilia CCM
4. Kuanzisha chama chake.

Bahati nzuri au mbaya, kamanda mwenyewe kaufyata na kuamua kuburuzwa kama bata wa mwenyekiti.
Kijiti kamkabidhi Mr.Dudumizi🤔
 
Angalia mwaka 2015 alipovuta mpunga na kutuuza usiku wa manane na kumkaribisha Lowasa.

Alivuta mpunga Dkt. Slaa akabaki kuduwaa na kuropoka. Prof Safari umeona hiyoooo.

Alishatupiga sana.

Sasa hivi creame yote ya asali analamba yeye.

Kwa hiii kaliba ya Mbowe hafai hata kidogo. Tuitishe mkutano mkuu na kumkataaa. Tumkatae kabisa.
Duu chupa imeamka na chai
 
Angalia mwaka 2015 alipovuta mpunga na kutuuza usiku wa manane na kumkaribisha Lowasa.

Alivuta mpunga Dkt. Slaa akabaki kuduwaa na kuropoka. Prof Safari umeona hiyoooo.

Alishatupiga sana.

Sasa hivi creame yote ya asali analamba yeye.

Kwa hiii kaliba ya Mbowe hafai hata kidogo. Tuitishe mkutano mkuu na kumkataaa. Tumkatae kabisa.
MASWALI:
1. CCM ilihonga?
2. Wewe nawe unataka uingie umeze asali?
3. UVCCM hamna akili,
 
Back
Top Bottom