Uchaguzi 2020 Mbowe ashindwa kutetea Ubunge wake katika Jimbo la Hai

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Amenuia Mbowe, Lema, Heche, Sugu, Msigwa, Mdee, Bulaya, Ruge, Peneza, Kishoka wasirudi mjengoni.
mkuu, inaumiza sana , yani mtu unaiba hadi inapitiliza ..dhuluma haiwezi kuwafikisha mahali popote
 
Tofauti ya kura elfu 60 ni kubwa Sana, hapa mbowe akiri kuwa muda umemtupa mkono,

Lakini si mara ya kwanza mbowe kushindwa vibaya,

Hata 2005 kwa kura za Urais alipata kura laki sita tu.

Kifupi ni kuwa Mbowe analazimisha kubakia madarakani Chadema.
 
Maskini Mbowe, wale body guard wake wenye miwani ya kuchomelea milango na v8 ya kambi ya upinzani bungeni ndio basi tena, sijuhi anarudi kwenye kazi yake awali? Siasa bwana,
 


🀣🀣🀣
 
Miaka 5 iliopita kuna changamoto za APA na pale ila walijitahidi kwa namna moja, lakini nkiangalia upinzani ni bora ccm iendelee milele na milele,

Walahi tena na mimi nakwambia afadhali ccm ya Magufuli kuliko upinzani wa Lissu.

Yaani kama wabunge wa upinzani walishindwa kumpongeza magufuli kwa namana anavyodili na miradi ya maendeleo, basi hawatapata rais wa aina ya magufuli tena.
 
kufanya kosa sio kosa bali kurudia kosa ndo kosa....
2015 tulibelieve badala ya kufanya reasoning na yalikuwa maamuzi mazuri kwa kipind hicho maan tulipata positive impact
positive kwako kwangu huwezi mchukua fisadi ukamleta kwenye chama ilimradi ushinde uchaguzi. tunaichukia ccm kwasababu ya ufisadi alafu huyo fisadi mnamkaribisha tena. mimi uchaguzi huu sikupiga kura kwa kukataa upuuzi huu
 
Walahi tena na mimi nakwambia afadhali ccm ya Magufuli kuliko upinzani wa Lissu.

Yaani kama wabunge wa upinzani walishindwa kumpongeza magufuli kwa namana anavyodili na miradi ya maendeleo, basi hawatapata rais wa aina ya magufuli tena.

Ni bora tupate tu chama kipya cha upinzani, watu wenye akili
 
hakuna mkosi wowote. Iko wapi ushindani wa haki itoshe kusema nimeshindwa. Kwenye mpira ni mchezo wa wazi najua sikufanya poa. ila kwenye uchaguzi niko vizuri na imara
 
Ni bora tupate tu chama kipya cha upinzani, watu wenye akili
🀣🀣🀣🀣
Nimecheka sana walahi....duuh...
"Eti bora tupate chama kipya cha upinzani wenye akili " πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Dharau hizi walah
 
Tatizo la wanasiasa wa upinzani hawajui kusoma alama za nyakati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…