Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Kwani wewe uliamini Mbowe angeshinda ubunge? Mbona raia wake walishasema kitambo kuwa hawatamchagua kipindi hiki kutokana na uzwazwa wake.
Inabidi arudi tu kuiba mali za chama chake kabla hakijafa.....chezea Magufuli weyeeee, si aliwaambia upinzani utakufa katika utawala wake.
Mwangalieni zezeta Zitto anavyohaha kila kukicha yuko huku mara kule haelewi anafanya nini. Lipumba na Maalim Seif hivyo hivyo, wanashikana uchawi na hawajitambui.
Inabidi arudi tu kuiba mali za chama chake kabla hakijafa.....chezea Magufuli weyeeee, si aliwaambia upinzani utakufa katika utawala wake.
Mwangalieni zezeta Zitto anavyohaha kila kukicha yuko huku mara kule haelewi anafanya nini. Lipumba na Maalim Seif hivyo hivyo, wanashikana uchawi na hawajitambui.