Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Watarudisha Bunge live litalokuwa na kazi ya kusifu na kutukuza.Nawaza Bunge linaenda kuwa la namna gani baada ya 99.6% ya wabunge wa CC[emoji848] ndani ya Bunge
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
OCD alishasema baada ya kumuibia Siri ya kamati ya ulinziKwahiyo unaamini Mbowe kashindwa huo uchaguzi!
Kesho atakuwa RPC!Mapema Sana OCD alisema hatoshinda
Magufuli lazima abadili katiba.Watarudisha Bunge live litalokuwa na kazi ya kusifu na kutukuza.
Kesho atakuwa RPC!
Alidhani uchaguzi ungekuwa fair, kumbe mlishapiga kura mkajaza kwenye mabegi toka juzi!"Katika masaa sabini na mbili yajayo nitakuwa waziri mkuu" - Freeman Aikael Mbowe.
Njozi za mchana hizo."Katika masaa sabini na mbili yajayo nitakuwa waziri mkuu" - Freeman Aikael Mbowe.
Tulia wewe awapoze kwa lipi? Kwa kupinga Kila kitu?Halafu litakuja na kauli za kinafiki za kuwapoza wapinzani baada ya kuwafanyia hujuma zote hizi.
Seriously?Alidhani uchaguzi ungekuwa fair, kumbe mlishapiga kura mkajaza kwenye mabegi toka juzi!.
Labda sasa Tanzania itakuwa kama Ulaya baada ya wapinzani kutorudi Bungeni.ilan ya chama sera namba moja mbowe asilud bungeni...
Kama last time alishinda why not this time?!Seriously?
Is hΓ© that naive? Or rather, is he that dumb?
Yes, yalikuwa maelekezo toka juu.Yametimia aliyosema OCD.
Yes, he's both πππs hΓ© that naive? Or rather, is he that dumb?
Alipokua anashinda jimbo hilo hapo nyuma utaratibu kama huo ulikua unafanyika?Weka data acha porojo.
Kwamba kituo fulani idadi ya wapiga kura ilikuwa hii matokeo ni haya n.k
πππ"Katika masaa sabini na mbili yajayo nitakuwa waziri mkuu" - Freeman Aikael Mbowe.