Uchaguzi 2020 Mbowe ashindwa kutetea Ubunge wake katika Jimbo la Hai

Uchaguzi 2020 Mbowe ashindwa kutetea Ubunge wake katika Jimbo la Hai

Labda sasa Tanzania itakuwa kama Ulaya baada ya wapinzani kutorudi Bungeni.
Kuna kauli moja niliwai kuisikia hata wakati tupo kwenye mfumo wa chama kimoja wakina Anna Makinda na wengine ndani ya bunge waliteuliwa kuwa wapinzani...

Magufuli hapendi kupingwa toka moyoni yaani ukimpinga tu kosa...

Zile hoja za wapinzani zinamfanya akose usingizi yeye anataka kusikia tu kila siku ooh Yesu, hakuna kama yeye, yeye ni chaguo la watanzania nk

In short, figisu nyingi zimetumika kuhakikisha miiba mikali kwao hairudi bungeni.

Hii ilianza kipindi cha nunua nunua, kauli yake ya atahakikisha upinzani kabla ya 2020 umefutika na hata kwenye uchaguzi nguvu iliyotumika kwa baadhi ya majimbo ya upinzani kama Kawe na Hai ni kubwa. Kawe wamekamata kura feki za kutosha.

Kikubwa upinzani ni imani ambayo haiwezi futwa...
 
Ngoja waamke vijana wa Lumumba na kauli zao za kutetea dhambi..
 
Kina Mbowe waliweka msisitizo kuwa safari hii hawawezi kususia uchaguzi!

Maamuzi hayo walifanya baada ya kujiridhisha kuwa Tume yetu inasimamia chaguzi kwa uhuru na haki.

Hivyo matokeo yoyote yanayotangazwa kwenye uchaguzi huu ni HALALI!

Tuvumiliane tu!
CCM kimebaki chama cha midomoni tu kwa waimba taarabu kama wewe.

Huko field hamna kitu ni kujaza kura feki tu.
 
Kama last time alishinda why not this time?!

Issue hapa kuna uhuni wa hali ya juu zaidi umefanyika ambao haukutegemewa na mtu yeyote mwenye akili timamu kama ungeweza kutokea Tz.

Katiba Mpya unayoipigia kelele unadhani Chadema peke yao wanaweza kuileta? au kususa nako unadhani panaweza kusaidia chochote? mbona walisusa Znz maisha yakaendelea, wakasusa tena S/M maisha bado yanaendelea?!
Haya, endeleeni kuuguza maumivu. Yatapona tu.
 
Kina Mbowe waliweka msisitizo kuwa safari hii hawawezi kususia uchaguzi!

Maamuzi hayo walifanya baada ya kujiridhisha kuwa Tume yetu inasimamia chaguzi kwa uhuru na haki.

Hivyo matokeo yoyote yanayotangazwa kwenye uchaguzi huu ni HALALI!

Tuvumiliane tu!
Hehehee haya.

Maumivu yakizidi wanywe panado..
 
Kama last time alishinda why not this time?!

Issue hapa kuna uhuni wa hali ya juu zaidi umefanyika ambao haukutegemewa na mtu yeyote mwenye akili timamu kama ungeweza kutokea Tz.

Katiba Mpya unayoipigia kelele unadhani Chadema peke yao wanaweza kuileta? au kususa nako unadhani panaweza kusaidia chochote? mbona walisusa Znz maisha yakaendelea, wakasusa tena S/M maisha bado yanaendelea?!
Ila kwa graph ya 2015 Mbowe kushinda Hai ilikua 50/50
 
Ila kwa graph ya 2015 mbowe kushinda Hai ilikua 50/50
Una justify vipi ushindi wa hilo pengo la kura kwenye mazingira ya uchaguzi yaliyogubikwa na utata kila kona ya nchi?

Hata kama walikuwa close last time, hiyo sio sababu this time ashindwe kwa pengo la kura karibia sitini elfu, it's all fake!.
 
Back
Top Bottom