Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
Ukiwaambia ukwel watakuja na kauli yao ya kutetea dhuluma na wizi...Na ww kweli unaamini eti ameshindwa kwa haki poor you.
utasikia ccm tuna mbinu nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwaambia ukwel watakuja na kauli yao ya kutetea dhuluma na wizi...Na ww kweli unaamini eti ameshindwa kwa haki poor you.
Huwezi jua kwasababu unajua ila unajidai hujui!.Sijajua mnalalamika nin,wakati wenzenu ccm wanahamasisha watu wao wakajiandikishe kwenye daftari la kupiga kura nyie mlikuwa busy na mitandao,haya wamehamasishana wakapige jura nyie mko busy kupost upuuzi kwenye mitandao,leo mmepigwa bao mnalalamika kuibiwa.mawakala wenu si walikuwepo vituoni ama mmeibiwaje?
Uliona ule mkutano wa Lissu Hai? Umeona mikutano ya Mbowe mwenyewe? Kwanini watu walikuwa hata kuhudhuria hawakwenda?Wanaweza, ila sio kwenye mazingira ya uchaguzi huu, kipofu pekee ndii ataamini hilo unalowaza.
Anzia OCD Hai kumwambia Mbowe hatarudi, Ndugai bungeni, kura feki everywhere...no way!.
Hoja dhaifu sana hii, kwamba kwa vile kwenye uchaguzi wa ndani ya chama kila siku anashinda basi hata huu alishaandikiwa mshindi atakuwa yeye tu?Kama last time alishinda why not this time?!
Issue hapa kuna uhuni wa hali ya juu zaidi umefanyika ambao haukutegemewa na mtu yeyote mwenye akili timamu kama ungeweza kutokea Tz.
Katiba Mpya unayoipigia kelele unadhani Chadema peke yao wanaweza kuileta? au kususa nako unadhani panaweza kusaidia chochote? mbona walisusa Znz maisha yakaendelea, wakasusa tena S/M maisha bado yanaendelea?!
Unaruhusiwa kuwa kipofu wa akili, sikuzuii.Hoja dhaifu sana hii, kwamba kwa vile kwenye uchaguzi wa ndani ya chama kila siku anashinda basi hata huu alishaandikiwa mshindi atakuwa yeye tu?
Kwa sababu hii, muwe mnatumia akili kidogo.Uliona ule mkutano wa Lissu Hai? Umeona mikutano ya Mbowe mwenyewe? Kwanini watu walikuwa hata kuhudhuria hawakwenda?
Taarifa za ndani inasema watu wa kitengo wamehusika sana na manipulation of database na kura za maruhani, wametumiwa sana polis, mawakala wa CCM na baadhi ya wasimamizi wa tume wa vituo kupenyeza mzigo. Baadhi ya maeneo wamehongwa mawakala ili wabalance kuraHii gap kubwa Sana si kwa wizi huu
Amenuia Mbowe, Lema, Heche, Sugu, Msigwa, Mdee, Bulaya, Ruge, Peneza, Kishoka wasirudi mjengoni.
Amezomewa sana na wananchi mwaka huu. Walimchoka kwa kula bata Chako ni chako na kuwasahau.Una justify vipi ushindi wa hilo pengo la kura kwenye mazingira ya uchaguzi yaliyogubikwa na utata kila kona ya nchi?
Hata kama walikuwa close last time, hiyo sio sababu this time ashindwe kwa pengo la kura karibia sitini elfu, it's all fake!.
Unao ushahidi? Maana kila kona tarajieni kushindwa.Taarifa za ndani inasema watu wa kitengo wamehusika sana na manipulation of database na kura za maruhani, wametumiwa sana polis, mawakala wa ccm na baadhi ya wasimamizi wa tume wa vituo kupenyeza mzigo.Baadhi ya maeneo wamehongwa mawakala ili wabalance kura
Madhara ya kuwa na wapinzani mnaokula ruzuku? Badala ya kutetea wananchi?Wapo Watu wana shangilia sasa Upinzani kufa ,baadae watajua madhara wakiwa wamesha chelewa.
Hiyo ndo nini? Unauhakika ni Sabaya huyo? Mbowe ana shahada ya kutengeneza kiki, unajuaje hilo movie hajadirect yeye?Kwa sababu hii, muwe mnatumia akili kidogo.View attachment 1615235
Wakati wanaiba mawakala wa CHADEMA walisinzia?Gap ni kubwa Sana wangefanya hata tofauti ya kura angalau 8000 au 13000.Yaani kura za Mbowe zikaribiane na wa ACT? Hapa sayansi ya wizi awakuitendea haki.
Hizo zimetoka kwenye kitengo na CCM ndani kabisaaaa.Unao ushahidi? Maana kila kona tarajieni kushindwa.
Wananchi walishamchoka siku nyingi tu.Hizo zimetoka kwenye kitengo na ccm ndani kabisaaaa.