Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
Kweli mkuu na siku CCM ikitoka madarakani ndo mwisho wake maan hawajaandaliwa kuwa wapinzani....Spirit never die, ataondoka upinzani utarudi, anajidanganya tu na mihasira yake.
Ona hoja za vijana wake unakaa unawaza hivi siku wakiwa wapinzani wataendelea na hoja zao za kutetea dhambi au wote wataunga mkono jitihada upinzani uwe kwa Chaumma