Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Nini maana ya kuwa na mawakala? Kwa nini amekubali matokeo kutangazwa?So kwelii.kwa rafu walizocheza ccm.
Mbowe hajashindwa kihalali..
Hizo kura zihesabiwe Tena na yeye mwenyewe akiwemo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini maana ya kuwa na mawakala? Kwa nini amekubali matokeo kutangazwa?So kwelii.kwa rafu walizocheza ccm.
Mbowe hajashindwa kihalali..
Hizo kura zihesabiwe Tena na yeye mwenyewe akiwemo
Npo na free mind, sifikirii mambo kiushabiki. Ushabiki ndo unakopofusha akili yako. Watu inabidi muandaliwe nifedipine za emergencyUnaruhusiwa kuwa kipofu wa akili, sikuzuii.
We unasema toka 2015 wakati ana zaidi ya miaka 10 ukitia ule mwaka aloshinda Fuya Kimbita hamna alichofany migogoro shamba la KIA ameshindwa.Hakuna chochote anachofanya toka 2015 kazi kubaki Kujaza vyoo vya ikulu tu. Halafu nyie ndio wa kuzibua. Kalivyo kama kanguchiro flani hivi kamebaki kurukaruka hapa na pale eti kana tawala.
Kafe tu ni zigo la mavi
We kumbe tomasoWeka data acha porojo.
Kwamba kituo fulani idadi ya wapiga kura ilikuwa hii matokeo ni haya n.k
Imekula kwenu, watanzania sio jinga jinga. Kajengeni chama sasa.Kwahiyo unaamini Mbowe kashindwa huo uchaguzi!
Mtu aamini propaganda?We kumbe tomaso
Analiangamizaje,kwa kuondoa watu wenye vyeti feki kama wewe serikalini au?Unafurahia Magufuli anavyoliangamiza taifa letu?
Nani kakwambia kutangaza matokeo mpaka upinzani kakubali? Haaaaa.jiulize kwa nn mitandao ilizimwa?Je mpaka wanachakachua mawakala wa Cdm wanakuwa wapi? Kwa nini wakubali kujaza fomu? Kwa nini Mbowe akubali matokeo kutanganazwa?
Kapi ako?..Hako kanguchiro chenu tunakaombea mauti Kafe tu. Tumechoka kuzibua vyoo vya ikulu
Ukiitwa mahakamani,unaweza kutoa ushahidi pasipokuacha shaka?maana tuhuma nzito sana hiziMawakala walizuiliwa na wasimamizi wa uchaguzi kwa muda huku kura za maruhani zikipenyezwa kwenye masanduku, wahusika ni baadhi ya wasimamizi na mawakala wa ccm.mambo hayo yametendeka karibu nchi nzima
Utaratibu ni kuwa lazima wagombea wote wajaze fomu kukubali matokeo. Kama hujaridhika unaacha kujaza japokuwa yanatangazwa tu. Mbona amejaza?Nani kakwambia kutangaza matokeo mpaka upinzani kakubali? Haaaaa.jiulize kwa nn mitandao ilizimwa?
Kwa nin mawakala wamesaini sasa?Nani kakwambia kutangaza matokeo mpaka upinzani kakubali? Haaaaa.jiulize kwa nn mitandao ilizimwa?
Bunge la kumfanya Magufuli kuwa Rais wa maisha.Nawaza Bunge linaenda kuwa la namna gani baada ya 99.6% ya wabunge wa CCM [emoji848] ndani ya Bunge
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app