Chizi Jambazi
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,769
- 1,379
YeahHabari za kweli hizo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YeahHabari za kweli hizo?
Sis kuna watu wanafikiria kwa kutumia moyo na hua wanawaza sasa tu bila ya kua na maono ya baadae, siku wakijua umuhimu wa kuhusisha ubongo katika fikra zao it's too late... and unfortunately it's already too late.Wewe cheka tu. Ila utaona jinsi maisha yanakwenda kuwa magumu. Kama upo nje ya nchi jiandae kutuma hela mara tatu ya ulivyokuwa unatuma kwenu.
Haita saidia mzee. Mana hii ni mass uchafuziWeka data acha porojo.
Kwamba kituo fulani idadi ya wapiga kura ilikuwa hii matokeo ni haya n.k
Aise hata aibu huna, tofauti ya kula zote hizo unasema wameiba? Hizo kula karibu 60,000 zimeingiaje bila mawakala wenu kuona? Mkubali matokeo hamna namna.Magufuli ameharibu nchi hii sana, yani hapo wameiba mpaka basi kuonyesha kuwa amemzidi mbali kumbe uongo mtupu.
Imeisha hiyooHabari za kweli hizo?
Hao wa CCM wanakuwaga majimboni linganisha jimbo La Hai na jimbo moja la Monduli ni la CCMTatizo wakishashinda huwa wanasahau majimbo wanataka kuonekana wakitaifa na kimataifa mwenzao Mnyika alisoma alama za nyakati.
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Angekuwa wa maana wangemchagua....Hongera CCM kwa USHINDI.Hao wa ccm wanakuwaga majimboni linganisha jimbo La Hai naJIMMBO MOJANLA CCM KAMA MONDULI
Kwahiyo unaamini Mbowe kashindwa huo uchaguzi!
Kwa hiyo ccm wamekwambia hivyo au sio?Hizo zimetoka kwenye kitengo na ccm ndani kabisaaaa.
Mkuu Salary Slip wewe ni shahidi kuwa CCM kamwe haikujibu tuhuma chafu, kwenye kampeni, za wagombea wa CHADEMA dhidi ya M/Kiti na mgombea wao wa Urais. Iweje leo ulaumu kwa hao viongozi kuingia kwenye kaburi walilolichimba wenuewe!Huu uchaguzi hata CCM wenyewe wanajisikia vibaya kwa jinsi ulivyoendeshwa ila wanajikaza tu kushangilia.
Sawa Yaishe wameshindwa na watashinda na waliobaki wote na bungeni watakuwa wote na katiba wataibadilisha MM NAJIANDAA KWA SELF Sustaining life najua huko mbele kutakuwa uzuri ssnaAngekuwa wa maana wangemchagua....Hongera CCM kwa USHINDI.
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA