Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Unashabikia propaganda za kipumbav,only a fool can buy this crap!Magufuli hiyo barua aiweke kwenye dustbin haraka sana, Mbowe kasahau kutofautisha mihimili?
CCM na ndugu zao waendelee kuandamwa na ajali na vifo,wengine tutaendelea kusherehekea tu!Karma is a bitchAbakie hukohuko tu maisha yanaendelea kuwa mazuri bila wauza ngada
Iweke hapa ili upate credit vizuri!aiyo kila siri ni siri upande mwingine waweza kuivujisha makusudi ili upate credit
Wewe ndiye afisa masijara wa barua za siri za Magufuli?Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Unaambiwaje jambo la kijinga nawe unaliamini na kulishikia bango bila hata ushahidi?Kiufupi unafanywa wewe mjinga bila hata kujitambua,only a fool can buy that crap!!!!!Wao hudai rais anaingili Uhuru Wa mihimili mingine,sasa na halo si watamugeuka tena kuwa kaingilia,atulie anyolewe vilivyo,kama ndo ningekuwa sekretari Wa rais, nisingefikisha kwake hiyo taka taka
Sent using Jamii Forums mobile app
huo ni ujinga wa mbowe badala ya kuandika barua kwa jaji mkuu au mahakamani anaipeleka kusiko husika, ndo maana nasema hakuna changes zozote zitatokea maana hata Magufuli hana la kufanya kwa ishu ya MboweAhaaa!!! Sasa nimeelewa. Kumbe raisi anaweza kuingilia kesi inayoendelea na kusababisha watu kupewa nafuu? Sasa anamwambia jaji muache ameniomba nimhurumie au anafanyaje? Kumbe raisi anaweza kubadilisha muelekeo wa kesi? Aisee kumbe Uhuru wa mahakama uko kwa kiwango hicho?
Hivi mtu mwingine akianzisha thread "MAHAKAMA HAZINA UHURU NA ZINAINGILIWA NA MIIMILI MINGINE" Wewe utakomenti nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaaa,yuko zamu kiwanda cha propaganda pale lumumba!Kawahi posho yoko mapema kwa ku post ujinga huu
Nampongeza kigwangalla kwa machungu anayopitia,ingependeza zaidi kama angelata pigo lingine chap chap!Pia Mwigulu imekuwa bahati mbaya,siku nyingine watavuka punda 8,inshallah tutasema RIP!una uhakika huyo aliyeko ubeljijiiii atapona kabisaa? hakuna cha karma, mwaka huu vifo vingi itakuwa upande wa upinzani
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Yeye mwenyewe atakuwa anashangaa akipanda karandinga mitaani watu wanapiga maisha kama kawaida hakuna mwenye habari naye atajijua na familia yake.Abakie hukohuko tu maisha yanaendelea kuwa mazuri bila wauza ngada
yeye wala ishu si kunyongwa ishu ni kufungwa kabisa maana anaona kesi hii imemkalia visivyo
Source yeye mwenyeweSource ya habari yako na pia kama kuna evidence yoyote. Please weka hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jiwe haipiti siku bila kumuombea majanga kama magonjwa,ajali na kifo!Inshallah maombi yangu yafanyiwe wepesi asitoboe mpaka 2023!Chezea jela,ujinga alioufanya wa kujifanya amelazwa kumbe yuko nje umoja wa ulaya Belgium akipanga na Lissu kulisaliti taifa is Unacceptable
Sent using Jamii Forums mobile app
wala mkuu rais hana nia mbaya na upinzani, ila wapinzani ndo wanadeka sana na kuvunja sheria makusudi ili wakiguswa na mahakama ionekane zimetumwa na MagufuliUmeamini tukisema kwamba mahakama huwa zinatii zinachoagizwa na rais? Muambie rais asimkubalie bali amfunge ili aonekane ni rais asiyetaka mzaha. Akimaliza hapo avifute vyama vya upinzani, sambamba na kujiongezea muda wa kukaa madarakani.
Lumumba kiwanda cha propaganda na uzushi mnapenda kulishana sana ujinga!Source yeye mwenyewe