KUB Mbowe ni kama Mandela.Mtetetezi wa haki lazima apate taabu.Ate Yesu apitata tabu sana chini ya mamlaka ya Herode ila historia ikahukumu vingine.Mtoto Aquilina apumuzike kwa amani pema peponi.Nadhani azoee tu, kuna watu wangapi wapo mahabusu kwa kukeuka taratibu za mahakama? Aendelee kusota ili liwe fundisho la kutenganisha uadilifu na uongo
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
😀
Fake news,tuambieni aliyemtwanga risasi Lisu,Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Korosho zetu VP,mbona mnarudisha,si mlisema mnanunua wenyewe,Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Puppet wa EdoHon. Freeman Mbowe is not a puppet like the so called 'Jiwe'
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] akiweka hiyo"h" ndio mjadara utaendelea au?
Hon. Freeman Mbowe is not a puppet like the so called 'Jiwe'
Nyie watu laiti mngejua hasira mnazopandikiza kwa raia mngeacha kupost up upuuzi huu..!!
Mbowe hana sababu ya kumuomba huyo mtu amwangalie yeye kwa jicho la huruma. Isipokuwa huyo Nyapara ndie wa kumuomba Mbowe amwangalie yeye kwa jicho hilo.. Hivi hamjiulizi kitu kidogo tu kama condom kuadimika mitaani, just kifaa cha kufanyia starehe kinaadimika na ku make headline Tanzania nzima..!! Nyie mnakutana kwenye mibaraza ya lumumba mnapapasana kisha mnakenua mnajisikia raha kwa vi elfu kadhaa mnavyopewa kwa muda mfupi kisha vinaisha .
Nawaambia hamjui impact ya upumbavu mnaopumbazwa kwenye mabalaza yenu endeleeni kuchekeshana huko... Mwanga hauko mbali.
BACK TANGANYIKA
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikushauri tu kwa faida yako na kikazi chako.. kumfunga mbowe ni ndoto, nakushauri urudi ukalale upya na ikiwezekana uote kingine sio hicho ulichoandika na kuanza kukipigia debe mwenyewe tena humu..... Mbowe hawezi omba radhi kwa kile asichokijua.... nazan kiasi utanielewa....yeye wala ishu si kunyongwa ishu ni kufungwa kabisa maana anaona kesi hii imemkalia visivyo
Nawe unaamini upuuzi.... kwa kuwa upo lumumba.... endeleaWao hudai rais anaingili Uhuru Wa mihimili mingine,sasa na halo si watamugeuka tena kuwa kaingilia,atulie anyolewe vilivyo,kama ndo ningekuwa sekretari Wa rais, nisingefikisha kwake hiyo taka taka
Sent using Jamii Forums mobile app
We ni shida sana... acha umbeaNdo hapo
Mmmmh... hayahilo ndo kosa yeye alidhani kwamba labda watamuacha kisa ni mkuu wa upinzani,
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL