Tetesi: Mbowe atuma barua ya siri kwa Rais Magufuli kuomba amuangalie kwa jicho la huruma

Tetesi: Mbowe atuma barua ya siri kwa Rais Magufuli kuomba amuangalie kwa jicho la huruma

Nadhani azoee tu, kuna watu wangapi wapo mahabusu kwa kukeuka taratibu za mahakama? Aendelee kusota ili liwe fundisho la kutenganisha uadilifu na uongo
KUB Mbowe ni kama Mandela.Mtetetezi wa haki lazima apate taabu.Ate Yesu apitata tabu sana chini ya mamlaka ya Herode ila historia ikahukumu vingine.Mtoto Aquilina apumuzike kwa amani pema peponi.
 
Kama ni barua ya siri Wewe umeipataje? UMBEYA HUU.
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Fake news,tuambieni aliyemtwanga risasi Lisu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Korosho zetu VP,mbona mnarudisha,si mlisema mnanunua wenyewe,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mtu mzima unaanzisha uzi wa uzushi halafu unakwenda nyumbani watoto wana kupokea na kukupatia pole kwa kazi ngumu ya ujenzi taifa kumbe kazi yako kubwa ni uzushi tu unapata kula yako 🏃🏿
 
Sasa Condom zinahusika vipi ktk issue ya Mbowe? Wee nae kumbe jinga sana wewe
Nyie watu laiti mngejua hasira mnazopandikiza kwa raia mngeacha kupost up upuuzi huu..!!

Mbowe hana sababu ya kumuomba huyo mtu amwangalie yeye kwa jicho la huruma. Isipokuwa huyo Nyapara ndie wa kumuomba Mbowe amwangalie yeye kwa jicho hilo.. Hivi hamjiulizi kitu kidogo tu kama condom kuadimika mitaani, just kifaa cha kufanyia starehe kinaadimika na ku make headline Tanzania nzima..!! Nyie mnakutana kwenye mibaraza ya lumumba mnapapasana kisha mnakenua mnajisikia raha kwa vi elfu kadhaa mnavyopewa kwa muda mfupi kisha vinaisha .

Nawaambia hamjui impact ya upumbavu mnaopumbazwa kwenye mabalaza yenu endeleeni kuchekeshana huko... Mwanga hauko mbali.

BACK TANGANYIKA

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yeye wala ishu si kunyongwa ishu ni kufungwa kabisa maana anaona kesi hii imemkalia visivyo
Nikushauri tu kwa faida yako na kikazi chako.. kumfunga mbowe ni ndoto, nakushauri urudi ukalale upya na ikiwezekana uote kingine sio hicho ulichoandika na kuanza kukipigia debe mwenyewe tena humu..... Mbowe hawezi omba radhi kwa kile asichokijua.... nazan kiasi utanielewa....
 
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL

Muongo mkubwa! Ungekuwa masijala panapohusika hii isingekuwa tetesi.
By the way: 1. hakuna afanyawe masijala anayeweza kuja jianika hapa kama ulivyofanya
2. Idadi ya nyuzi ulizoanzisha hapa zinatosha kuonyesha uko kazini na unalipwa kwa hili. Hivyo, endelea na kazi yako!
 
Back
Top Bottom