Mbowe atumia lugha chafu. Amuita DC Ilemela mjinga, hana Wilaya

Hivi Tanzania hakuna sheria maalum ya kudhibiti hate speech?
 
Haya ya Kuwatukana Watu Wajinga² inategemea na Aina ya Kiongozi aliewateua Hao waoitwa wajinga², Mbowe ameshajua Kabisa Kwamba Queen [emoji219] Ni Weak so anafanya akitakacho Tu.
 
Waamini ubabe,kutokutenda haki na wasiotaka kufuata sheria katika ubora wenu,ninae muonea ajitokeze kwa niyasemayo.

Hakuna nchi iliyowahi kuendelea duniani bila ubabe na kuvunja sheria....hakuna nchi iliyowahi kuendelea duniani kwa kudekeza watu na kutekeleza kila wakitakacho.....
 
Hakuna nchi iliyowahi kuendelea duniani bila ubabe na kuvunja sheria....hakuna nchi iliyowahi kuendelea duniani kwa kudekeza watu na kutekeleza kila wakitakacho.....
Hiyo ni kwa mataifa chini ya tawala za mikono ya chuma,aka malizia mwenyewe.
 
Hizi chanjo zimepandikizwa vitu vya ajabu sana, Mbowe anawaambia watu ni wajinga eeh?
 
Ujinga siyo tusi ni kukosa elewawa jambo fufani
 
mbowe ni mwanasiasamalayamalaya mshenzi hana adabu
 
Anayetaka heshima awe wa kwanza kuilinda heshima . Tangu Mama aseme neno chokochoko. Kumeibuka dharau kwa watendaji na wateule kwa WaTz wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…