Mbowe atumia lugha chafu. Amuita DC Ilemela mjinga, hana Wilaya

Mbowe atumia lugha chafu. Amuita DC Ilemela mjinga, hana Wilaya

"Watu wanadai katiba its about our life, RAIS anaita chokochoko, na sasa wameibuka na viongozi wa ajabu mfano kuna DC mjinga mjinga hapa ilemela aliita waandishi wa habari kuwaambia kuwa haruhusu mikutano ya hadhara wilayani kwangu. Wewe una wilaya yako?" @freemanmbowetz https://t.co/dCK06EfnJM
Hivi Tanzania hakuna sheria maalum ya kudhibiti hate speech?
 
Haya ya Kuwatukana Watu Wajinga² inategemea na Aina ya Kiongozi aliewateua Hao waoitwa wajinga², Mbowe ameshajua Kabisa Kwamba Queen [emoji219] Ni Weak so anafanya akitakacho Tu.
 
Waamini ubabe,kutokutenda haki na wasiotaka kufuata sheria katika ubora wenu,ninae muonea ajitokeze kwa niyasemayo.

Hakuna nchi iliyowahi kuendelea duniani bila ubabe na kuvunja sheria....hakuna nchi iliyowahi kuendelea duniani kwa kudekeza watu na kutekeleza kila wakitakacho.....
 
Hakuna nchi iliyowahi kuendelea duniani bila ubabe na kuvunja sheria....hakuna nchi iliyowahi kuendelea duniani kwa kudekeza watu na kutekeleza kila wakitakacho.....
Hiyo ni kwa mataifa chini ya tawala za mikono ya chuma,aka malizia mwenyewe.
 
Hizi chanjo zimepandikizwa vitu vya ajabu sana, Mbowe anawaambia watu ni wajinga eeh?
 
mleta mada wewe ni mjinga zaidi ya huyo dc.
Duh
IMG-20210720-WA0067.jpeg
 
"Watu wanadai katiba its about our life, RAIS anaita chokochoko, na sasa wameibuka na viongozi wa ajabu mfano kuna DC mjinga mjinga hapa ilemela aliita waandishi wa habari kuwaambia kuwa haruhusu mikutano ya hadhara wilayani kwangu. Wewe una wilaya yako?" @freemanmbowetz https://t.co/dCK06EfnJM
Ujinga siyo tusi ni kukosa elewawa jambo fufani
 
"Watu wanadai katiba its about our life, RAIS anaita chokochoko, na sasa wameibuka na viongozi wa ajabu mfano kuna DC mjinga mjinga hapa ilemela aliita waandishi wa habari kuwaambia kuwa haruhusu mikutano ya hadhara wilayani kwangu. Wewe una wilaya yako?" @freemanmbowetz https://t.co/dCK06EfnJM
mbowe ni mwanasiasamalayamalaya mshenzi hana adabu
 
sasa hivi Mbowe anaweza hata kumuita DC mjinga na asifanywe kitu....hahahahahaha...kwahiyo tuendelee tu kuchekacheka dola na watendaji wake wanapovunjiwa heshima?... kuna mahala ukiwaacha sana watu huru huwa na tabia ya kuamini wanaweza kufanya chochote.
Anayetaka heshima awe wa kwanza kuilinda heshima . Tangu Mama aseme neno chokochoko. Kumeibuka dharau kwa watendaji na wateule kwa WaTz wengine.
 
Back
Top Bottom