KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
LOoo!Kwani hao wabunge wa viti maalumu ni wanafunzi wa primary au secondary school?
Muuza bar ananyanyaswaje kingono kwa mfano!......kinyume na maumbile au?!!
Acha nishangae tu!.
Wakati mwingine huwa unarudisha akili yako kichwani!