Tetesi: Mbowe aundiwa zengwe kuhusishwa na dhuluma ya ngono na wabunge viti maalum

Tetesi: Mbowe aundiwa zengwe kuhusishwa na dhuluma ya ngono na wabunge viti maalum

Inayotrend kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu vijana wa mataga na ccm waamua kuigiza sauti ya mbowe na wabunge wa viti maalum kunyanyaswa kingono na mwenyekiti wa chama CHADEMA.

Mkakati huo unahusishwa vijana wa tiss, mataga na steve nyerere kwa kuigiza sauti ya mbowe na wale wabunge wa viti maalum ili kumuhusisha na dhuruna ya ngono na Mambo sasa akitarajiwa kumwita kwa mahojiano ikiwa na lengo la kumchafua kisisiasa kuelekea uchaguzi mkuu 2020.
Watashindana lakini hawatashinda
tapatalk_1590166850924.jpg


Jr[emoji769]
 
Inayotrend kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu vijana wa mataga na ccm waamua kuigiza sauti ya mbowe na wabunge wa viti maalum kunyanyaswa kingono na mwenyekiti wa chama CHADEMA.

Mkakati huo unahusishwa vijana wa tiss, mataga na steve nyerere kwa kuigiza sauti ya mbowe na wale wabunge wa viti maalum ili kumuhusisha na dhuruna ya ngono na Mambo sasa akitarajiwa kumwita kwa mahojiano ikiwa na lengo la kumchafua kisisiasa kuelekea uchaguzi mkuu 2020.
Mungu ndio muamuzi wa yote ila wakumbike Malipo ni hapa hapa dunia japo yatachelewa ila yapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunahasira zetu na uchaguzi yaani kwenye sanduku la kura ndio silaha yetu ya maumivu yote haya, wacha waigize kila rangi
 
Vijana tamaa zinawaponza sana sasa steve nyerere anashndwa kuelewa kwamba hii kitu pia ni risk kwake?
Itamgharimu sana leo wanaona wako salama,wanasahau kuwa siku hazigandi na hao wanaowatuma wataondoka, na kila mtu atabeba msalaba wake
 
Inayotrend kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu vijana wa mataga na ccm waamua kuigiza sauti ya mbowe na wabunge wa viti maalum kunyanyaswa kingono na mwenyekiti wa chama CHADEMA.

Mkakati huo unahusishwa vijana wa tiss, mataga na steve nyerere kwa kuigiza sauti ya mbowe na wale wabunge wa viti maalum ili kumuhusisha na dhuruna ya ngono na Mambo sasa akitarajiwa kumwita kwa mahojiano ikiwa na lengo la kumchafua kisisiasa kuelekea uchaguzi mkuu 2020.
Hakuna watu wajinga kama wale wabunge wawili waliokaa mbele ya kamera na kusoma karatasi waliyoandikiwa na CCM! Kama ingekuwa ni kweli yule msomaji angesema alivyonyanyaswa na si kuonesha walikuwa wanakusanywa kwenye chumba na kuanza kunyanyaswa! Wamejiaibisha wenyewe.
 
Back
Top Bottom