Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,408
- 4,392
Kwani hao wabunge wa viti maalumu ni wanafunzi wa primary au secondary school?
Muuza bar ananyanyaswaje kingono kwa mfano!......kinyume na maumbile au?!!
CCM naichukia ila Rais namkubali sana sasa sijui nitamtengaje na hili dubuwasha, hawa wanaounda Zengwe la Mbowe kuwanyanyasa kingono maana yake walikuwa wanabakwa na Mhe au shida ni nini?