Tetesi: Mbowe aundiwa zengwe kuhusishwa na dhuluma ya ngono na wabunge viti maalum

Tetesi: Mbowe aundiwa zengwe kuhusishwa na dhuluma ya ngono na wabunge viti maalum

Inayotrend kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu vijana wa mataga na ccm waamua kuigiza sauti ya mbowe na wabunge wa viti maalum kunyanyaswa kingono na mwenyekiti wa chama CHADEMA.

Mkakati huo unahusishwa vijana wa tiss, mataga na steve nyerere kwa kuigiza sauti ya mbowe na wale wabunge wa viti maalum ili kumuhusisha na dhuruna ya ngono na Mambo sasa akitarajiwa kumwita kwa mahojiano ikiwa na lengo la kumchafua kisisiasa kuelekea uchaguzi mkuu 2020.
Kama ni mahusiano ya kimapenzi na kashfa za uzinzi kwa wenye ndoa, kwa hakika CCM hawapo salama ktk jambo hili. Tutegemee kushuhudia shuhuda luluki za viongozi wa kitaifa kuzaa ama na wake za watu au pia vimada wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa awamu hii ya wapinzani kupigwa risasi, kuuliwa hadharani, kutekwa na kupotezwa. Mpinzani yeyote mwenye tuhuma za ukweli, hauwezi kukwepa jela!.
 
TISS dikteta kajaza wahuni wa KIKOROMIJE ambao hawana sifa ya kuwa hata wafagizi. Baada ya jitihada kubwa ya KUIUA Chadema kwa miaka mitano kushindwa sasa wameamua KUMBAMBIKIA kesi nzito Mbowe kuelekea October 2020 ili muda mwingi awe kortini badala ya kushughulikia kampeni za Chadema na wakati huo huo KUMCHAFUA kwa kiwango cha juu kabisa.

Inayotrend kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu vijana wa mataga na ccm waamua kuigiza sauti ya mbowe na wabunge wa viti maalum kunyanyaswa kingono na mwenyekiti wa chama CHADEMA.

Mkakati huo unahusishwa vijana wa tiss, mataga na steve nyerere kwa kuigiza sauti ya mbowe na wale wabunge wa viti maalum ili kumuhusisha na dhuruna ya ngono na Mambo sasa akitarajiwa kumwita kwa mahojiano ikiwa na lengo la kumchafua kisisiasa kuelekea uchaguzi mkuu 2020.
 
Kuna ujinga pia kwenye mahakama kutumika hovyo na wakiwa wanajua kwamba wanatumika hovyo kwa ajili ya watu. Kesi ya uongo kabisa wana pokea na kupoteza nayo fedha za nchi. Hovyo sana.
 
mimi ni ccm lakini kuna mambo mengine yanazungumzwa kumhusu Mbowe unaona kama ni upuuzi tu,kwa jinsi huyo jamaa anavyowindwa na serikali sidhani kama tuhuma zinazosemwa juu yake huwa zina ukweli.kuanzia ya chacha wangwe mpaka haya yanayosemwa sasa,ina maana basi Mbowe ana akili kuliko vyombo vyetu vya usalama coz hawajapata ushahidi wowote wa kumtia hatiani hadi Leo?
me nadhani tupambane kwa hoja, haya ya kusingiziana hayana maana kivile.

Ki u kweli, Mbowe anaendelea KUWATESA.
 
Sasa hapa umekuja kubisha kitu gani si yupo mbunge aliyezaa nae na anaishi nae kama mkewe,pia yupo Ps wake mule kampanda kampa na ubunge achana na hao wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inayotrend kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu vijana wa mataga na ccm waamua kuigiza sauti ya mbowe na wabunge wa viti maalum kunyanyaswa kingono na mwenyekiti wa chama CHADEMA.

Mkakati huo unahusishwa vijana wa tiss, mataga na steve nyerere kwa kuigiza sauti ya mbowe na wale wabunge wa viti maalum ili kumuhusisha na dhuruna ya ngono na Mambo sasa akitarajiwa kumwita kwa mahojiano ikiwa na lengo la kumchafua kisisiasa kuelekea uchaguzi mkuu 2020.
TISS wa wenzetu wako bize kuiba Siri za uchumi za nchi zingine lengo ni kudaka taarifa za masoko,malighafi, uwekezaji Kisha uzileta kwa matajiri wa nchi zao,wetu wako bize kumuwaza mbowe na zito ili kuuwa upinzani badala ya kuwaza jinsi ya kuuwa umasikini nchini.Tunashindwa kuendelea lawama anatupiwa mzungu
 
Ila Mwenyekiti wa Kudumu ni kiwembe hatari, muulize Wema na wengineo, jamaa kwa pale kati ni shida...
 
Inayotrend kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu vijana wa mataga na ccm waamua kuigiza sauti ya mbowe na wabunge wa viti maalum kunyanyaswa kingono na mwenyekiti wa chama CHADEMA.

Mkakati huo unahusishwa vijana wa tiss, mataga na steve nyerere kwa kuigiza sauti ya mbowe na wale wabunge wa viti maalum ili kumuhusisha na dhuruna ya ngono na Mambo sasa akitarajiwa kumwita kwa mahojiano ikiwa na lengo la kumchafua kisisiasa kuelekea uchaguzi mkuu 2020.
Hii inampaisha badala ya kumfifiisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwajinsi Mbowe anavyoshambuliwa, inamaana Jiwe hakuna cha maana alichofanya kwenye utawala wake kwa miaka 5?. Mfano, hapo ulipo Wilayani kwako kuna kumbukumbu yoyote ya maana inayooneka inayotokana na kodi alizokusanya Jiwe kwa takribani miaka 5 iliyopita ?
Kipaumbele chake ni kupambana na upinzani na sio umasikini wetu.Hii Jamii inapenda Sana Mambo ya ligi ligi za kitoto yaaani mabifu bifu si ya kupewa leseni ya udereva ndio walivo hata kwenye maisha ya mtaani tunawaona.Ni uncivilized.Dunia ya Sasa watu wanakimbizana na exposure za maendeleo wao wako bize kupambana na watu Kisha lawama anatupiwa mzungu tunaposhindwa kuendelea.Eti mzazi kutwa ni kupigana na watoto tu badala ya kukaa na wazazi wenzio muwaze issues.
 
mimi ni ccm lakini kuna mambo mengine yanazungumzwa kumhusu Mbowe unaona kama ni upuuzi tu,kwa jinsi huyo jamaa anavyowindwa na serikali sidhani kama tuhuma zinazosemwa juu yake huwa zina ukweli.kuanzia ya chacha wangwe mpaka haya yanayosemwa sasa,ina maana basi Mbowe ana akili kuliko vyombo vyetu vya usalama coz hawajapata ushahidi wowote wa kumtia hatiani hadi Leo?
me nadhani tupambane kwa hoja, haya ya kusingiziana hayana maana kivile.
We jamaa una akili sana

kIongOzI Wa BaaDae
 
Inayotrend kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu vijana wa mataga na ccm waamua kuigiza sauti ya mbowe na wabunge wa viti maalum kunyanyaswa kingono na mwenyekiti wa chama CHADEMA.

Mkakati huo unahusishwa vijana wa tiss, mataga na steve nyerere kwa kuigiza sauti ya mbowe na wale wabunge wa viti maalum ili kumuhusisha na dhuruna ya ngono na Mambo sasa akitarajiwa kumwita kwa mahojiano ikiwa na lengo la kumchafua kisisiasa kuelekea uchaguzi mkuu 2020.

Hiyo mbona Ni mikakati ya kitoto na inajulikana siku nyingi...! Makonda a.k.a Bashite alijaribu akashindwa na Hawa watashindwa vilevile!
 
Mwisho wa siku hata vilaza watagundua kuwa hizi zote ni propaganda.

Wamekosa maarifa na umakini katika hizi mbinu zao chafu na matokeo yake kila mtu atawadharau na kuwapuuza.
Kukwepa kodi nalo ni propaganda?
 
Back
Top Bottom