Tetesi: Mbowe aundiwa zengwe kuhusishwa na dhuluma ya ngono na wabunge viti maalum

Aisee umeandika point wapambane kwa hoja siyo kudharirishana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jpm sio size ya hawa manyumbu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhe! Inamaana mbowe ndokawatowa bikira!🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
We CCM wapi wewe? Acha uongo.
 
Mara mauaji wa diwani ifakara mara ngono, si wamejenga madaraja na madege buana....wanaogopa nn sasa?
 
This won't do them to their betterment!Wawe makini.Kama wanataka kwenda waendapo na waende.That cheap politics haitawagomboa na ujinga wao.😎
 
Hizo tuhuma ni za kweli
Amezaa mpaka na.mbunge mke wa mtu
 
Kawadanganye wanasaccos wenzio!
 
CCM ni waovu sana na hiyo TISS yao. Hivi vyombo polis , TISS wapo kwa ajiri ya kuitumikia CCM na si Taifa. So sad
 
Hizo tuhuma ni za kweli
Amezaa mpaka na.mbunge mke wa mtu
katika waliojiuzulu hakuna mke wa mtu , taarifa zenu za kuzusha basi ziwe na ukweli hata wa kutengeneza basi , wanafiki wakubwa nyie !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…