Watashindana lakini hawatashindaInayotrend kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu vijana wa mataga na ccm waamua kuigiza sauti ya mbowe na wabunge wa viti maalum kunyanyaswa kingono na mwenyekiti wa chama CHADEMA.
Mkakati huo unahusishwa vijana wa tiss, mataga na steve nyerere kwa kuigiza sauti ya mbowe na wale wabunge wa viti maalum ili kumuhusisha na dhuruna ya ngono na Mambo sasa akitarajiwa kumwita kwa mahojiano ikiwa na lengo la kumchafua kisisiasa kuelekea uchaguzi mkuu 2020.
Ila Mwenyekiti wa Kudumu ni kiwembe hatari, muulize Wema na wengineo, jamaa kwa pale kati ni shida...
Mungu ndio muamuzi wa yote ila wakumbike Malipo ni hapa hapa dunia japo yatachelewa ila yapoInayotrend kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu vijana wa mataga na ccm waamua kuigiza sauti ya mbowe na wabunge wa viti maalum kunyanyaswa kingono na mwenyekiti wa chama CHADEMA.
Mkakati huo unahusishwa vijana wa tiss, mataga na steve nyerere kwa kuigiza sauti ya mbowe na wale wabunge wa viti maalum ili kumuhusisha na dhuruna ya ngono na Mambo sasa akitarajiwa kumwita kwa mahojiano ikiwa na lengo la kumchafua kisisiasa kuelekea uchaguzi mkuu 2020.
Natamani ungekuwa ndani ya mawazo Yangu, ungeelewa kusudio langu la kuweka hayo mawazo yangu kwa maandishi.Usilinganishe matured na uncivilized society
Kipindi kile wakasema mtu kajinyea na marehemu mtarajiwa. Hadi leo yupoMiaka yote walikuwa wapi kuyasema? Drama za ccm kipind cha uchaguz wanatia huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwashee ukiachaga bangi unafanana kabisa na sie CDM sijui huko CCM ulifikajeKwani hao wabunge wa viti maalumu ni wanafunzi wa primary au secondary school?
Muuza bar ananyanyaswaje kingono kwa mfano!......kinyume na maumbile au?!!
Post tena vuzur sijakuelewaKipindi kile wakasema mtu kajinyea na marehemu mtarajiwa. Hadi leo yupo
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Umeelewa najua. Unakumbuka uchaguzi 2015 mti wenye matunda ulirushiwa mawe mazito na sasa ni uchaguzi tena!Post tena vuzur sijakuelewa
Sikuelewa muda ule sasa nimeelewaUmeelewa najua. Unakumbuka uchaguzi 2015 mti wenye matunda ulirushiwa mawe mazito na sasa ni uchaguzi tena!
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Okay. Tutasikia mengi kama vile ni mwisho wa dunia.Sikuelewa muda ule sasa nimeelewa
Kweli mkuuOkay. Tutasikia mengi kama vile ni mwisho wa dunia.
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Na huenda ni yeye yeye anafanya huo mchezoKigogo alisema jana na leo yametimia!
Itamgharimu sana leo wanaona wako salama,wanasahau kuwa siku hazigandi na hao wanaowatuma wataondoka, na kila mtu atabeba msalaba wakeVijana tamaa zinawaponza sana sasa steve nyerere anashndwa kuelewa kwamba hii kitu pia ni risk kwake?
Vijana tamaa zinawaponza sana sasa steve nyerere anashndwa kuelewa kwamba hii kitu pia ni risk kwake?
Kama anatumika makusudi kuchafua watu kwanini asiwe at risk mbowe ni brand kubwa unaichafuaje kirahisi upate milage ya KISIASA?
We kiazi cha masika kweli kuongea lugha mpaka shule? Akili imepigwa minyororo💩💩💩💩
Mbowe anavyotema yai vile anaishiaje la pili...vip yule mwingne asiweza kutema yai?
Hakuna watu wajinga kama wale wabunge wawili waliokaa mbele ya kamera na kusoma karatasi waliyoandikiwa na CCM! Kama ingekuwa ni kweli yule msomaji angesema alivyonyanyaswa na si kuonesha walikuwa wanakusanywa kwenye chumba na kuanza kunyanyaswa! Wamejiaibisha wenyewe.Inayotrend kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu vijana wa mataga na ccm waamua kuigiza sauti ya mbowe na wabunge wa viti maalum kunyanyaswa kingono na mwenyekiti wa chama CHADEMA.
Mkakati huo unahusishwa vijana wa tiss, mataga na steve nyerere kwa kuigiza sauti ya mbowe na wale wabunge wa viti maalum ili kumuhusisha na dhuruna ya ngono na Mambo sasa akitarajiwa kumwita kwa mahojiano ikiwa na lengo la kumchafua kisisiasa kuelekea uchaguzi mkuu 2020.