#COVID19 Mbowe baaada ya kutoka mazishi ya kumzika kaka yake aliyekufa kwa Corona alitakiwa ajiweke Lockdown kuepuka kuambukiza wengine

#COVID19 Mbowe baaada ya kutoka mazishi ya kumzika kaka yake aliyekufa kwa Corona alitakiwa ajiweke Lockdown kuepuka kuambukiza wengine

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Mbowe alipotoka kumzika kaka yake aliyekufa kwa Corona alitakiwa kujiweka Lockdown kunusuru wengine badala ya kuendelea kuzurura kwenye mikusanyiko ya watu.

Corona inaonyesha imepiga kambi kwenye familia ya Mbowe sababu mwanawe Mbowe aliumwa Corona kwa mujibu wa Mbowe mwenyewe.

Baada ya hapo Mbowe alienda Kenya kwenye uzinduzi wa kitabu cha Tundu Lisu .Kenya kumejaa COrona kama yote,Aliporudi toka Kenya hakukaa akatangaza kuwa kaka yake kafariki kwa Corona HATUJUI NANI ALIMPA HIYO CORONA TETESI zipo kuwa yawezekana Mbowe alipoenda kumsalimia alikuja nayo toka Kenya akamwambukiza kaka yake.

Ushauri wangu kwake aache kuzurura aji lock down kuepusha madhara kwa wengine sababu katokea kenya kwenye Corona na katokea kuzika mtu mwenye Corona.

Wote mliogiusana na Mbowe au kuwa karibu naye nendeni mkapime Corona na kajiwekeni Lockdown kwa gharama zenu.
 
Umesema "alitakiwa" ajiweke lockdown..
ni nani aliyemtaka yeye afanye hivyo?
Hakutakiwa asubiri mtu amtake aji Lock down
Kama mtu responsible kwenye jamii yeye mwenyewe alitakiwa kuchukua hiyo hatua bila mtu kumwambia

Kama hataki niwatake watu wakae naye mbali bomu hilo
 
UNAWASHWA wewe, ina maana marehemu wa Ccorona , anamubukiza walio hai, ingekuwa hivyo fmilia ya nanii jiwe ingekuwa leo? ya mahiga? ya nanii..
 
UNAWASHWA wewe, ina maana marehemu wa Ccorona , anamubukiza walio hai, ingekuwa hivyo fmilia ya nanii jiwe ingekuwa leo? ya mahiga? ya nanii..
Ushahidi tafadhali kuwa walikufa kwa corona
 
Mkuu siyo lockdown..... Sema alitakiwa kujiisolate.

Hata hivyo isolation inafanya kama alikuwa directed in contact. Sasa hilo hujathibitisha zaidi ya kupiga lamli tu. Pia kwa mtu aliyechanjwa kama Mbawe hauhitaji kuwa isolated unless ameonesha signs za ugonjwa....!!
Mazishi ya mfa Corona asingehudhuria hapo sawa
 
Hiyo Lockdown ni kwa Mbowe tuu yaani kwa akili yako aliezika wiki mbili hizi ni Mbowe peke yake...
Nimeongelea MBowe sababu nina ushahidi kutoka kwake mwenyewe kuwa alienda kuzika kaka yake aliyrekufa kwa Corona LAKINI KAMA WAPO WENGINE WA JI LOCKDOWN UPESI NA WATU WAKAE NAO MBALI ni mabomu ya Corona hayo
 
Nimeongelea MBowe sababu nina ushahidi kutoka kwake mwenyewe kuwa alienda kuzika kaka yake aliyrekufa kwa Corona LAKINI KAMA WAPO WENGINE WA JI LOCKDOWN UPESI NA WATU WAKAE NAO MBALI ni mabomu ya Corona hayo
Umesahau kuwa Mbowe alichanjwa Dubai.
 
Mkuu siyo lockdown..... Sema alitakiwa kujiisolate.

Hata hivyo isolation inafanya kama alikuwa directed in contact. Sasa hilo hujathibitisha zaidi ya kupiga lamli tu. Pia kwa mtu aliyechanjwa kama Mbawe hauhitaji kuwa isolated unless ameonesha signs za ugonjwa....!!
Kakataaa watu kwenda kwenye msiba wa kaka yake kwa sababu ya corona, ila amekatisha msiba kwenda kwenye kongamano.
 
Hakutakiwa asubiri mtu amtake aji Lock down
Kama mtu responsible kwenye jamii yeye mwenyewe alitakiwa kuchukua hiyo hatua bila mtu kumwambia

Kama hataki niwatake watu wakae naye mbali bomu hilo
Tumeamua kuwapuuza nyie misukule ya marehemu dhalim dikteta yule .
 
Kakataaa watu kwenda kwenye msiba wa kaka yake kwa sababu ya corona, ila amekatisha msiba kwenda kwenye kongamano.
Ni ajabu

watu wote kwenye hilo kongamano wakapime Corona na wa ji Lock down hii issue ni serious
 
Mbowe alipotoka kumzika kaka yake aliyekufa kwa Corona alitakiwa kujiweka Lockdown kunusuru wengine badala ya kuendelea kuzurura kwenye mikusanyiko ya watu

Corona inaonyesha imepiga kambi kwenye familia ya Mbowe sababu mwanawe Mbowe aliumwa Corona kwa mujibu wa Mbowe mwenyewe

Baada ya hapo Mbowe alienda Kenya kwenye uzinduzi wa kitabu cha Tundu Lisu .Kenya kumejaa COrona kama yote,Aliporudi toka Kenya hakukaa akatangaza kuwa kaka yake kafariki kwa Corona HATUJUI NANI ALIMPA HIYO CORONA TETESI zipo kuwa yawezekana Mbowe alipoenda kumsalimia alikuja nayo toka Kenya akamwambukiza kaka yake

Ushauri wangu kwake aache kuzurura aji lock down kuepusha madhara kwa wengine sababu katokea kenya kwenye Corona na katokea kuzika mtu mwenye Corona

Wote mliogiusana na Mbowe au kuwa karibu naye nendeni mkapime Corona na kajiwekeni Lockdown kwa gharama zenu
CCM mlishasema Corona haipo ni uongo wa wazungu, sasa Corona ipi unazungumzia?
 
Mbowe alipotoka kumzika kaka yake aliyekufa kwa Corona alitakiwa kujiweka Lockdown kunusuru wengine badala ya kuendelea kuzurura kwenye mikusanyiko ya watu

Corona inaonyesha imepiga kambi kwenye familia ya Mbowe sababu mwanawe Mbowe aliumwa Corona kwa mujibu wa Mbowe mwenyewe

Baada ya hapo Mbowe alienda Kenya kwenye uzinduzi wa kitabu cha Tundu Lisu .Kenya kumejaa COrona kama yote,Aliporudi toka Kenya hakukaa akatangaza kuwa kaka yake kafariki kwa Corona HATUJUI NANI ALIMPA HIYO CORONA TETESI zipo kuwa yawezekana Mbowe alipoenda kumsalimia alikuja nayo toka Kenya akamwambukiza kaka yake

Ushauri wangu kwake aache kuzurura aji lock down kuepusha madhara kwa wengine sababu katokea kenya kwenye Corona na katokea kuzika mtu mwenye Corona

Wote mliogiusana na Mbowe au kuwa karibu naye nendeni mkapime Corona na kajiwekeni Lockdown kwa gharama zenu
Kwa nini mnamuogopa sana Mbowe?
UVCCM ni 🚮🚮
 
Back
Top Bottom