#COVID19 Mbowe baaada ya kutoka mazishi ya kumzika kaka yake aliyekufa kwa Corona alitakiwa ajiweke Lockdown kuepuka kuambukiza wengine

Umesema "alitakiwa" ajiweke lockdown..
ni nani aliyemtaka yeye afanye hivyo?

familia ngapi zimepoteza wapendwa wao kwa corona na hazijajilok down?
Two wrongs don't make it right

Kila aliyekua exposed ni lazima akinge wengine

No exception
 
Two wrongs don't make it right

Kila aliyekua exposed ni lazima akinge wengine

No exception
Mmetumia Polisi imeshindikana,hili la korona ndo kabisa mnaaibika mapema, UVCCM hakuna wenye akili za kujenga hoja
 
Umesema "alitakiwa" ajiweke lockdown..
ni nani aliyemtaka yeye afanye hivyo?

familia ngapi zimepoteza wapendwa wao kwa corona na hazijajilok down?

Kiongozi wa mfano. Afanye kama alivyoondoka bungeni kwenda kujilockdown
 
Kujiisolate= Kujitenga
 
Waliomzika jiwe walikaa lokodauni siku ngapi
Mwahiyo msimamo wa CCM na CHAGGADOMO kuhusu CORONA unafanana?

Hii nchinina wapiga kabobo wengi sana.

Kelele zote za Chadema kuhusu CORONA ni siasa tu, ilimradi wako tofauti na CCM lakini matendo yao ni yale yale.
 
Si ajabu kuna watu wamekupongeza kwa huu ujinga. Eti Mbowe alitakiwa ajiweke lockdown.. usilazimishe kutumia lugha usiyoimudu.
 
Kwa nini mnamuogopa sana Mbowe?
UVCCM ni 🚮🚮
Nawahurumia Chadema na ukoo wa Mbowe Mtoto wa Mbowe kaumwa Corona kaka yake kafa kwa Corona yeye Mbowe Kaenda kuzika mwenye Corona anarudi anendelea kuzurura badala ya kuji lock down. UKOO wakae wamtie pingu wamuweke lock down kwa nguvu asije ambukiza ukoo Corona ukoo wa Mbowe ukaisha
 
Chuki dhidi ya mtu ambaye hata hakujui inakuumiza wewe mwenyewe. Acid uumiza chombo ambacho imewekwa. Hivyo hivyo chuki yako. Ukiendelea nayo itakuuwa. Haitomuua Mbowe. Itakuua wewe. Taratibu gani hizo za kiafya unaongelea? Za UVCCM? Chuki ya aina hiyo hiyo ilimuua mtu tarehe 17 March 2021.
 
Mbowe amepata chanjo...
Mbowe anavaa barakoa..
Anachukua tahadhari kuliko hata wewe...
KWANI KUNA UCHAGUZI UNAKUJA UMEANZA KAMPENI!!!
ACHA SIASA KWENYE MAMBO MUHIMU.
 
Atulie Corona yawezekana kujaa ukooni kwake yeye ndie chanzo kwa kuzurura kwake ukoo uchukue hatua dhidi yake sababu Chadema uwezo huo hawana
 
mbowe ni muuaji kama walivyo wauaji wengine ila bado anazurura kuendeleza mauaji yake na bado watu wanamshangilia kweli?????
 
Mbona mama yenu kutwa kigulu na njia na hajilokiduani?
 
Ulimpima wewe ukajua kuwa ana korona? Wewe ni mke wake?
 
Jamaa anaishi kimagirini sana.
 
Mwanaye alikuwa na Korona mwanzoni mwa 2020 iweje Korona iwe active hadi June 2021?
Yeye Mbowe asiumwe Korona ila awe na uwezo wa kuambukiza wengine tu.?
Mleta mada tafuta hata mume msafisha vidonda awe anakueleza namna haya magonjwa yanavyoambuliza..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…