Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Umejidhalilisha bila sababu yoyote ile!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini hii itafanyika mkuu 'Mulholland'. Sasa hivi kabla ya uchafuzi wa Serikali za mitaa? CCM watakubali hilo?THE WAY FORWARD:
Njia iliyo sahihi zaidi ya kufanya Siasa sahihi kwa hapa Tanzania kwa Sasa ni Moja tu: nayo ni KUDAI NA KUPIGANIA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA ILIYO NZURI.
Kukiwa na dhamira ya dhati kabisa kabisa ya Kudai na Kupigania Katiba Mpya, Nina uhakika kabisa kwamba inaweza ikapatikana hata ndani ya Mwezi mmoja, hiyo inawezekana kabisa.Lini hii itafanyika mkuu 'Mulholland'. Sasa hivi kabla ya uchafuzi wa Serikali za mitaa? CCM watakubali hilo?
Au "THE Way FORWARD" unayo lenga ni huko 2030 na kuendelea?
Toa mapendekezo yako nini kifanyike sasa; hayo ya baadae yatashughulikiwa huko baadae.
Veteran VS Chawa, (lice)Ndio hivyo..
Kwani serikali inaogopa nini?? Kila mmoja alete first eleven yake anayoamini mpira uchezwe..
Tuache woga wa kutaka kucheza na timu pungufu halafu tujisifie..
Lucas Mwashambwa acheni woga njooni uwanjani tucheze game ya wazi,
Najua mshapita maana mgombea akiwa peke yake hata akipigiwa kuro 1 anakuwa ameshindaCCM tupo uwanjani huku wapinzani wakiendelea na malalamiko kama kawaida yao.
kwamba wasio na sifa na vigezo vya uongozi kisheria na kikatiba warudishwe kuinajisi katiba?🤣Ndio hivyo..
Kwani serikali inaogopa nini?? Kila mmoja alete first eleven yake anayoamini mpira uchezwe..
Tuache woga wa kutaka kucheza na timu pungufu halafu tujisifie..
Lucas Mwashambwa acheni woga njooni uwanjani tucheze game ya wazi,
kwamba wasio na sifa na vigezo vya uongozi kisheria na kikatiba warudishwe kuinajisi katiba?🤣
Wewe jamaa ni hopeless kabisa. Unafurahi sana wenzako wanaponyimwa haki wanayostahili. Nimeona na Sadist mwenzako Mwashambwa amelike upuuzi wako.kwamba wasio na sifa na vigezo vya uongozi kisheria na kikatiba warudishwe kuinajisi katiba?🤣
Ndio hivyo..
Kwani serikali inaogopa nini?? Kila mmoja alete first eleven yake anayoamini mpira uchezwe..
Tuache woga wa kutaka kucheza na timu pungufu halafu tujisifie..
Lucas Mwashambwa acheni woga njooni uwanjani tucheze game ya wazi,
mimi ambae sio msimamizi wa uchguzi nitaje sifa za Chadema, right?🤣View attachment 3156104
Huyu nitajie sifa ambazo wa chadema hawana.
Kujitoa hawawezi kwakuwa pengine kuna maslahi wanayapata,kimsingi tumechoka na malalamiko yenu kila siku yasiyo na impact yoyote.ukimshindwa adui yako basi shirikiana nae baaaaaas no more no lessNachotaka kusikia ni kujitoa kwenye uchaguzi huu wa kipumbavu.
Ni kweli mko uwanjani na wachezaji 12, refa wenu, VAR yenu, kila kamati inataka ushindi uwe wenu, kwanini team pinzani isilalamike?CCM tupo uwanjani huku wapinzani wakiendelea na malalamiko kama kawaida yao.
Hakuna kitu government inaogopa ila uwezi achia nchi chama kinanuka rushwa kama chadema ( kwa mujibu wa lissu) yani hii nchi itaendelea kuwa chini ya ccm sana na hakuna kitu mnaweza fanya Zaid ya kulialia mitandaoniNdio hivyo..
Kwani serikali inaogopa nini?? Kila mmoja alete first eleven yake anayoamini mpira uchezwe..
Tuache woga wa kutaka kucheza na timu pungufu halafu tujisifie..
Lucas Mwashambwa acheni woga njooni uwanjani tucheze game ya wazi,
Kaongea point snTaifa lipo tayari kumskiliza
CCM ni wajinga haswaNi kweli mko uwanjani na wachezaji 12, refa wenu, VAR yenu, kila kamati inataka ushindi uwe wenu, kwanini team pinzani isilalamike?