Hahahaaa.......nilidhani Dr Msukuma wa Geita vijijini!
Huwa sitishwi na slogan za wahuni wanaotumia maneno ya mvuto kuwakamata wapumbavu.Wale wale, kwanini mnawakimbia watu wenye akili zao na kwenda kijijini wasiko jitambua? Ndiyo mana jiwe huwa anasema yeye ni Raisi wa wanyonge kwani anajua wenye utimamu watamgalagaza haraka sana. Naamini hata wewe ni mnyonge pia. Omulasil,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe unaamini alizaliwa katika hali ya umaskini vile ili sisi tuendelee kuwa maskini na duni au alizaliwa katika hali ile ili awatoe waliokuwa katika hali ile na kwenda hali nzuri zaidi? kwako sahihi ni lipi? Binafsi najua alikuja ili kutuondoa kwenye unyonge na kuwa mashujaa. Kutuondoa kwenye utumwa na kutuweka huru. unyonge ni utumwa!Siyo kweli, Yesu alizaliwa kwenye hali Duni kwa sababu maalumu, na ndo maisha yake yote aliishi kama mtu wa kawaida na maisha Duni asiyependa makuu, aliishi na masikini, yule ni Mungu iweje ashindwe kutatua tatizo dogo kama hilo la kukosa nafasi kama alitaka kuzaliwa kwenye Hekalu kama Mfalme?
Kwa hiyo wewe unaamini alizaliwa katika hali ya umaskini vile ili sisi tuendelee kuwa maskini na duni au alizaliwa katika hali ile ili awatoe waliokuwa katika hali ile na kwenda hali nzuri zaidi? kwako sahihi ni lipi? Binafsi najua alikuja ili kutuondoa kwenye unyonge na kuwa mashujaa. Kutuondoa kwenye utumwa na kutuweka huru. unyonge ni utumwa!
This can only come from a low mind.Inashangaza mnapenda majengo mazuri mazuri ndo maana mnafanyia mkutano wenu Mlimani City,ila makao makuu yenu sasa hata nyumba ya bibi yangu kule somanda ni nzuri na ina hadhi kuliko makao makuu yenu.Kweli hiki chama ni saccos,mnapenda vizuri ila jengo la chama libaya.Nyumba zenu za kuishi nzuriiiiiiiiiii.
Hamnasera zao ni zipi sasa?
Kweli kabisa hii nchi ni tajiri sana!johnthebaptist, Kumbe rais wetu pia anaposemaga hii nchi ni tajiri tunapaswa kutoa misaada nje kumbe ni kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo wewe unaamini sera za kifukara na kuwahubiria wananchi unyonge zinazosimamiwa na Rais Magufuli?Katika ufunguzi wa mkutano mkuu wa Baraza Kuu la Chama, M/Kiti Mbowe amenukuliwa akisema kuwa "Sera ya CHADEMA ni kuchukia umaskini na kila mwanachama awe na nia hiyo". Yawezekana ikawa dhamira sahihi lakini isiyokuwa na mikakati ya kuondokana na umaskini.
Nalisema hilo kwa sababu, kwa nyakati tofauti, viongozi wote wa chama wamekuwa wakitoa maoni yao kwamba mikakati ya kiuchumi ya Serikali ya CCM ni ya vitu na si watu.
INAFIKIRISHA kuamini kilichomo kwenye Sera hiyo ya CHADEMA.
Fumbo mfumbie mjinga ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sera za ccm ni za ujamaa unaochochea umasikni, kuchukia waliofanikiwa, kuharibu biashara, kuua secta binafsiKwahiyo wewe unaamini sera za kifukara na kuwahubiria wananchi unyonge zinazosimamiwa na Rais Magufuli?
CCM hata wapewe miaka 1000 bado wananchi watakuwa hoi.Sera za ccm ni za ujamaa unaochochea umasikni, kuchukia waliofanikiwa, kuharibu biashara, kuua secta binafsi
Mbowe alipata 0 shuleni ndio maana anaongea vitu vya kuota ,wangekuwa matajiri wa roho wasingejiuza kwa bei ndogo
Mbowe tajiri akaiuza chadema kwa lowasa
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Yesu alizaliwa na kuishi kitajiri basi inabadilisha kila kitu ninachokifahamu na nilichowahi kufundishwa na kukisikia kuhusu yeye, alichokisimamia na alichokifundisha, hata hivyo mimi siyo Mwanatheolojia ila kwangu nilifikiri ilikuwa ni lazima azaliwe kwenye hali Duni tumwamini, sijui lkn mimi siyo Mtaalamu wa Biblia.