Mbowe: Halima Mdee na Wenzake waache mambo ya Kihuni

Mbowe: Halima Mdee na Wenzake waache mambo ya Kihuni

Angalau miongoni mwao namfahamu Stella Fiyao.Mpambanaji na mjenga hoja.Kwa ujumla Hana makuu huyu mama kutoka Tunduma Songwe.Ameipambania CDM Kwa muda mrefu huku akipitia magumu mengi Sana.CDM itakuwa imepoteza mtu muhimu Sana.

Mtu mzima na akili zake anafuataje mkumbo.. ni kwa muada gani alikuwa anafuata mkumbo? mpaka amefukuzwa ndio amejua?
 
Ajabu ina maana Mh. Mbowe ni agent wa kutafutia watu kazi mpaka nje ya nchi??? Dah hakika uzi wa yoga umeumbua huu umoja kifisadi. Mbowe si mtu wa kumkabidhi nchi ataiuza
Wewe ni mpumbavu wa muda wote, kwenye maisha kama nduguyo akiwa anapitia nyakati ngumu unaweza kumtafutia namna ya kuweza ku-survive na hicho ndicho alichotaka kukifanya Mbowe!
 
Wewe ni mpumbavu wa muda wote, kwenye maisha kama nduguyo akiwa anapitia nyakati ngumu unaweza kumtafutia namna ya kuweza ku-survive na hicho ndicho alichotaka kukifanya Mbowe!
Mbowe ni wakala wa mabeberu, yaani kwa ufupi ni jizi na fisadi halifai kabisa hata kuwa kiongozi wa upinzani lilitakiwa lifungwe na lifie jela huko. Akija rais mwingine tutashauri kesi ianze upya ili lihukumiwe kunyongwa likipatikana na hatia
 
Ajabu ina maana Mh. Mbowe ni agent wa kutafutia watu kazi mpaka nje ya nchi??? Dah hakika uzi wa yoga umeumbua huu umoja kifisadi. Mbowe si mtu wa kumkabidhi nchi ataiuza
Mh ndo uelewa ulipo ishia nn mbona unaiza swali alaf unajijibu mwenyewe na kutoa fikra zako kuna maana gani ya kuuliza swali sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halima ana lake jambo. Mwache alitekeleze
Political life ya infamous 19 has come to an abrupt end, wakiomba hifidha ccm watakua hawana hadhi zaidi ya viumbe vimekatwa mikia. Ushauri wafanye biashara mitaani, mufano saloon,outfit and appararel,organic farming etc etc fursa nyingi.Karibuni.
 
Mbowe anao huo ubavu kwa sababu yupo compromised already, yaani ana bei na mabeberu like ilivyo kwa Mzee wetu JK na ilivyo kwa Mama sasa hivi. Yaani Mbowe ni mtu mbaya sana kuwahi tokea ktk siasa za nchi yetu, ndiyo Maana Dkt Magufuli alimsaga kama kunguni kwa sababu stake aliyonayo ya kifisadi ni mpaka kifo he cannot let it go. Uzuri mifumo inajua kila kitu so usitegemee huyo Mbowe wako to amount to anything zaidi ya kuendelea na hiyo NGO yake. Na ndiyo maana hataki kuachia kumbe ana mikataba na economic hitmen! Uzuri hakuna siri.
Taratibu basi. Una hakika Mbowe akikujia kwa mashauriano mahsusi utakataa hata kumsikiliza?
 
Back
Top Bottom