Mbowe: Hatutakubali Bunge lililopo litengeneze Katiba Mpya

Mbowe: Hatutakubali Bunge lililopo litengeneze Katiba Mpya

HAPA KAZI tu ni slogan ya AWAMU YA 5.......

KAZI INAENDELEA ...ni slogan ya AWAMU YA 6......

MBOWE NA CHADEMA YAKE wamebakiwa na MAJUNGU TU....

#KaziInaendelea
Mnahangaikaje na mtu mwenye majungu?..si mlale mwanaume kaunguruma huko chupi zote zimewalowa sheèenz type2
 
Mkuu BAK, uchaguzi ukiruhusiwa kufanyika sehemu yoyote nchini, hata wapiga kura asili mia moja tu (1%) wakijitokeza, CCM watadai uchaguzi huru umefanyika na kujitangazia ushindi, kama ule wa serikali za mitaa na uchafuzi uliofuata wakati wa uchaguzi mkuu.

Lengo liwe kuzuia uchaguzi usiwepo kabisa, watu wasifike kwenye vituo vya kupigia kura kabisa. Hata hao waCCM wasithubutu kwenda huko vituoni.

Ni hivi: CHADEMA na wengine wasiofurahishwa na haya mambo ya CCM hawawezi kukosa watu angalao 50 katika vituo vyote vya kupigia kura nchi nzima.
Hakuna polisi wa kuweza kusimamia kila kituo na kupambana na hao watu 50 wanaosimamia kazi ya kuzuia uchafuzi usitokee. Kama kuna watu wa CCM watakaotaka mapambano kwenye hivyo vituo, basi hiyo itakuwa ni habari tofauti.

Maana yake huo ndio utakuwa mwanzo wa mapambano nchi nzima.

Kama hayo ndiyo wanayoyataka CCM kwa kukaza shingo hivi, basi waambiwe wazi kwamba nchi itachafuka.
Kuandikia huku ukiwa umeficha I'd yako ni rahisi sana shida ipo kwenye kutenda ayupo hata mmoja mwenye ubavu wa kuzuia uchaguzi
 
Hamna lolote nyinyi,eti swala la muda! Kwa MAGU kila mpinzani ALISUJUDU hadi wengine walikimbilia nje
Sasa aliesujudiwa, na kujifanya yeye ndo kila kitu na maulinzi yake ya mabunduki yuko wapi? Washindi ni wananchi kafa kawaacha wananchi
 
Ila wakiwa na ulinzi wa mungu, amani na hofu ya mungu,
Magufuli alikuwa na hofu ya MUNGU,tena kuwazidi hata viongozi wa dini.
Na ndio maana hata VITA vya korona alisisitiza sana watu wamwombe MUNGU,na alikuwa muhudhuriaji mzuri wa KANISANI
 
Mbowe anajua gharama za kupigania katiba mpya. Kwani ni kipi hajafanyiwa na yule kiongozi muovu aliyeko motoni? Ndio itakuwa huyu mama?
Mbowe anajua gharama za kupigania katiba mpya. Kwani ni kipi hajafanyiwa na yule kiongozi muovu aliyeko motoni? Ndio itakuwa huyu mama?
Kama anajua gharama athubutu aone, vipo vingi ambavyo hajafanyiwa akitaka ajue mwambie afanye iko alichokisema
 
Mkuu Kalamu1 natamani hiyo 0 participation ya total voters ingekuwa inawezekana lakini kuna maccm ambao ni lazima katika baadhi ya mikoa watashiriki. Nadhani kuna mikoa michache inaweza kufikia hata 10 ambayo kama kampeni za kuwafahamisha kwanini wasishiriki zitakuwa nzuri basi hiyo 0 participation inaweza kabisa kufikiwa. Na hivyo mikoa hiyo kutokuwa na Wabunge wa kuchaguliwa Bungeni.
Bila kuzuia uchaguzi usifanyike, kwa njia zozote zile, CCM wataendelea tu kuwepo madarakani milele kama wao wanavyodai; labda jeshi waingilie kuondoa uchafu huo!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kwa kauli hii ya Mbowe mama hana option zaidi ya kuwa dikteta.....
otherwise watampelekesha sana hawa....
mama inaonekana ni mpenda haki na utu
lkn naona wanamforce awe dikteta.....
wanasema hakuna mchawi mbaya kama mwanamke....
Kiboko yao alikuwa Mzee wa Chattle huu ujinga ulishasahaulika.
 
Kuandikia huku ukiwa umeficha I'd yako ni rahisi sana shida ipo kwenye kutenda ayupo hata mmoja mwenye ubavu wa kuzuia uchaguzi
Sasa unataka kujua id yangu ili uje unifanye nini, uninyamazishe?

Huo ni mtizamo wako, siyo mtizamo wangu.

Hii ni haki yangu ya kujieleza ninapoona yanayofanyika ndani ya nchi yangu ninayoipenda hayapendezi. Ukitaka kuniua kwa kufanya hivyo, nisipokuwahi wewe, basi nipo radhi nitoe uhai wangu kwa hilo.

Umenielewa? Sitaki tena unihoji lolote.
 
Mbowe ni kiongozi mkubwa sana ila anafeli sehemu ndogo sana mara kwa mara

Kiongozi mkuu hatakiwi kutoa kauli kwa kukurupuka

Kwa mfano, anavyosema "...viongozi wa chadema wajiandae kufanya mikutano ya hadhara..." tafsiri yake ni nini?

Viongozi wake ni wakupokea order tu na kutekeleza bila kuwa na majadiliano?

Ikitokea viongozi kadhaa wakaja na hoja yenye mashiko (mfano kuepuka mikusanyiko kwa sababu ya corona) na hivyo kufifisha "agizo" lake haoni Kama inampunguzia credit yeye Kama top leader?

Halafu Mbowe alitakiwa asome upepo, kuja na matamko Kama haya watu wenye kudadisi sana watakuja na conclusion kuwa kumbe na yeye ni muoga Kama waoga wengine maana enzi za Magufuri hakutoa hivi vitisho, kwanini alishindwa wakati katiba inawaruhusu?

Hata hivyo, asome upepo vizuri wa wananchi maana ni "Kama" wanamuelewa elewa Rais huyu hivyo wanaweza kujikuta wanaandamana viongozi wao tu na boda hoda mtaani
Aliyekwambia Mbowe katoa yakwake tu bila kuwashirikisha viongozi wengine hasa wa upinzani ni nani?

Katiba haitaki mihemko ya kiitikadi za kivyama... Kama alivyojinasibu mtoa mada

Katiba ni chombo cha kudumu, inaweza kutumika kwa kipindi kirefu mf miongo kadhaa had karne wakati huo wajukuu zako ndio wanapitia magumu yaliyozalishwa na mihemko/ushabiki maandazi wa kisiasa mnaoshabikia kutokana na manufaa mnayopata sasa licha ya kuwa ni ya muda mfupi.

Tunapozungumzia KATIBA MPYA tupunguze USHABIKI kama sio kuacha kabisa
 
Unafikiri ndiyo amemaliza zamu yake na hawezi enda tena huko akitaka tena. Hizi ni dalili za kutaka kwenda huko. Nyie mchezeeni tu Mama hamtajua mda, saa wala namna.
Comte hakuwa na akili mgando kama hizi,, labda kama sio Augustine
 
Tatizo la Chadema siyo wanasiasa ni wanaharakati, hawajui kwamba kwenye siasa Kuna hitaji mchakato, majadiliano ya muda mrefu mpaka mnakubaliana na kwenye muafaka siyo lazima upate yote Kuna kupata na mengine kukosa. Wakiendelea na siasa za aina hii watakosa yote hawatapata katiba mpya Wala tume huru ya uchaguzi.
Hapana,mhimili mmoja unazidisha kulazimisha kuchakata as if siyo sheria.
Tofautisha mikutano na katiba
 
Kama wale walivyoshangilia kushambuliwa kwa LISSU.

Wanaobeza hatua hizi:

1. Wasiojielewa.
2. Wanufaika wa katiba iliyopo.

#1 ni wa kuelimisha ila #2 hao hamna haja.


Pole pole tunakwenda. Tutafika tu.
 
Kiboko yao alikuwa Mzee wa Chattle huu ujinga ulishasahaulika.
Ila hata Mama anawaangalia tuu na sisi ni mashahidi tunawaona Chadema wanavyoruka tikitaka na msuli na wakijua hawana pitshot ndani, wakijakupewa jibu sahihi wasianze kulialia.

Ni mabingwa wa kupiga kelele sana baada ya uchaguzi wakahamasisha watu cha ajabu wakakutwa uvunguni mwa vitanda vya balozi mbalimbali si wangeenda front kama wanauhakika na wanachokidai.
 
Back
Top Bottom