Mbowe: Hatutakubali Bunge lililopo litengeneze Katiba Mpya

Mbowe anajua gharama za kupigania katiba mpya. Kwani ni kipi hajafanyiwa na yule kiongozi muovu aliyeko motoni? Ndio itakuwa huyu mama?
Ulienda huko motoni Mkuu?
 
Ni wapumbavu pekee ndio wanaodhani katiba ni hisani
Nani kamiambia Raia wa nchi hii ni chadema tu ? Ata wasio taka katiba na kumpa mama muda wa kujenga uchumi ni watanzania pia, sasa kama mnafikiri mnaweza mvimbia Rais endeleeni ila msije mkaaanza kulialia maana tunawafahamu
 
Dhalimu yoyote akiondoka duniani huko ndio makazi yake. Kwakuwa alikutumia kwenye uovu wake, kufa leo kama hamjakutana huko.
Wewe hautaishi milele yeye amekwenda anasubiria hukumu yake, wewe na mimi tujiandae na yetu pia itakuja, sasa unapoongea kana kwamba wewe una assurance ya kuishi milele inashangaza kidogo.
 
And always failures occures at maximum stress points.
They have no intellectual capacity nor the power of masses behind them. ha ha ha ha ha trying to compensate the lost ground so to remain relevant. He promised to retire 2023, it is too close.
 
Kazi imeanza jana tar 1 Pale Barakuda Nadhani Ujumbe umefika.

leo wanaccm na wasiopenda maendeleo na demokrasia wamelala na viatu
We are not yet there, the factors which ultimately limit democratization are many, including economics, culture, and historical legacies are impacting on the process.
 
Kwani Katiba ya CDM imekamilika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…