Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pakwenda anapo - CCM. Na hili litakuwa ni pigo kubwa sana kwa wapenda mabadiliko nchiniHeche kajiunga kundi ambalo silo, Heche bado ana muda mrefu sana wa kufanya siasa, hao wengine washafikia mwisho.kifupi kajichanganya, wenzake wote wana miji ughaibuni - mwenzangu tuko naye hapa hapa Nyamongo tunagawana ugali dagaa pa kwenda hana..
aisee Heche.
Yericko ni machinery na think tank ya Mwenyekiti🐼Muanze na Yericko Nyerere
===
Freeman Mbowe anasema baada ya Uchaguzi kumalizika watawarudia wale wote waliokuwa wanatoa upotoshaji kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii.
Huenda mambo yakawa mabaya zaidi kwa Lemma, Lissu na Heche endapo hawatashinda Uchaguzi huu kwani watalazimika kujiondoa CHADEMA kabla ya kamati kuu ya Mbowe kuwashughulikia.
Kwanini Lema,Lissu na Heche na isiwe Wenje akina Ntobi ambao kauli zao zimamwibua katibu mkuu kutoa ufafanuzi===
Freeman Mbowe anasema baada ya Uchaguzi kumalizika watawarudia wale wote waliokuwa wanatoa upotoshaji kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii.
Huenda mambo yakawa mabaya zaidi kwa Lemma, Lissu na Heche endapo hawatashinda Uchaguzi huu kwani watalazimika kujiondoa CHADEMA kabla ya kamati kuu ya Mbowe kuwashughulikia.
Kwani kuwa na MAONO tofauti ni uadui?!Heche kajiunga kundi ambalo silo, Heche bado ana muda mrefu sana wa kufanya siasa, hao wengine washafikia mwisho.kifupi kajichanganya, wenzake wote wana miji ughaibuni - mwenzangu tuko naye hapa hapa Nyamongo tunagawana ugali dagaa pa kwenda hana..
aisee Heche.
ACT ipo ataenda kufanya siasa hukoHeche kajiunga kundi ambalo silo, Heche bado ana muda mrefu sana wa kufanya siasa, hao wengine washafikia mwisho.kifupi kajichanganya, wenzake wote wana miji ughaibuni - mwenzangu tuko naye hapa hapa Nyamongo tunagawana ugali dagaa pa kwenda hana..
aisee Heche.
Mkuu yaweza kuta unasema ivo lakn ww syo mpga kura wakamat kuu yetu macho tusubr mpaka kielewekeAache vitisho akae pembeni, hana jipya...tumemchoka!
Inauma sana hii Kwakweli===
Freeman Mbowe anasema baada ya Uchaguzi kumalizika watawarudia wale wote waliokuwa wanatoa upotoshaji kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii.
Huenda mambo yakawa mabaya zaidi kwa Lemma, Lissu na Heche endapo hawatashinda Uchaguzi huu kwani watalazimika kujiondoa CHADEMA kabla ya kamati kuu ya Mbowe kuwashughulikia.
Yeye mwenyewe tutampumzisha.===
Freeman Mbowe anasema baada ya Uchaguzi kumalizika watawarudia wale wote waliokuwa wanatoa upotoshaji kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii.
Huenda mambo yakawa mabaya zaidi kwa Lemma, Lissu na Heche endapo hawatashinda Uchaguzi huu kwani watalazimika kujiondoa CHADEMA kabla ya kamati kuu ya Mbowe kuwashughulikia.
Wapigakura kura ongezeni hasiraMkuu yaweza kuta unasema ivo lakn ww syo mpga kura wakamat kuu yetu macho tusubr mpaka kieleweke
Mbowe yeye bado ana muda mrefu sana wa kufanya siasa? Uchawa ni mzigo mzito.Heche kajiunga kundi ambalo silo, Heche bado ana muda mrefu sana wa kufanya siasa, hao wengine washafikia mwisho.kifupi kajichanganya, wenzake wote wana miji ughaibuni - mwenzangu tuko naye hapa hapa Nyamongo tunagawana ugali dagaa pa kwenda hana..
aisee Heche.
Chama ni baba mkwe yeye ni mmoja wa waasisi na mjumbe wq kudumu!Chair anatoa maneno ya vitisho kwakua anauhakika wa kushinda tena kwa namna yeyote ile...🤣
Sasa najiuliza ikiwa itatokea akashindwa yeye, sijui itakuaje...🤔
Mbowe ataondoka madarakani rasmi 2030, CDM itampa baraka zote kama kiongozi mwandamizi wa chama aliyekifanyia chama mambo makubwa.Mbowe yeye bado ana muda mrefu sana wa kufanya siasa? Uchawa ni mzigo mzito.
Chadema sio mali ya mbowe na nyie viroboto vyake.
....FAM bora asiongee...maana anazidi kuharibu.....Yaani ameshindwa kuwashughulikia COVID 19....leo awashughulikie VIGOGO....===
Freeman Mbowe anasema baada ya Uchaguzi kumalizika watawarudia wale wote waliokuwa wanatoa upotoshaji kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii.
Huenda mambo yakawa mabaya zaidi kwa Lemma, Lissu na Heche endapo hawatashinda Uchaguzi huu kwani watalazimika kujiondoa CHADEMA kabla ya kamati kuu ya Mbowe kuwashughulikia.
Kabisa. Bila shaka anamkana Wenje na maneno yake ya upotoshaji.Wapotoshaji wote watimuliwe.