Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,294
- 10,970
- Thread starter
- #121
Utakuwa nyumbu mpaka lini?JPM mwenyewe alishakiri kule morogoro kwamba wana CCM walishinda kwa rushwa na hawakuchaguliwa na wananchi. Ghafla aliyeongoza wizi huo bwana Shaka ndio katibu wenu wa uenezi.
Subiri 2025 mtapata majibu yote