Tetesi: Mbowe Hotels na Tanzania Daima kupunguza wafanyakazi na mishahara kushushwa

Tetesi: Mbowe Hotels na Tanzania Daima kupunguza wafanyakazi na mishahara kushushwa

Lizaboni

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
33,895
Reaction score
20,392
Wadau, amani iwe kwenu.

Taarifa nilizopata hivi punde ni kwamba, Mmiliki wa Mbowe Hotels na gazeti la Tanzania Daima, Freeman Mbowe anaisoma Namba. Kwamba, hali ya kifedha ya Mbowe kwa sasa ni dhoofu kutokana na sababu mbalimbali.

Mosi, biashara zake nyingi alikuwa anafanya kijanja ujanja. Alikuwa halipi kodi wala pango ya majengo. Kwa sasa anajiona yupo kwenye wakati mgumu hasa kipindi hiki ambacho Rais Magufuli anaweka msisitizo wa kufuata taratibu katika kufanya biashara na kulipa kodi. Inadaiwa kuwq Mbowe anadaiwq mabilioni ya kodi na TRA na mamlaka nyingine hali inayomuweka kwenye hatari ya kufilisiwa.

Pili, madeni kwenye taasisi za fedha. Taarifa zilizopo ni kwamba, Mbowe ni mmoja wa wanasiasa waliotajwq na Rais Magufuli kukopa kiasi kikubwa cha fedha kwenye mabenki na mashirika ya kijamii kama NSSF. Kwamba, Mbowe anadaiwa mabilioni kwenye benki za CRDB, Twiga Bancorp a TIB. Aidha, Mbowe pia anadaiwa kiasi kikubwa cha fedha NSSF na PSPF.

Tatu, kushindwa kwa kesi dhidi ya NHC. Ni ukweli usiopingika kuwa kushindwa kwa kesi hiyo kumemuongezea ugumu wa kufanya Biashara Freeman Mbowe hasa kutokana na kutakiwa kulipa fidia ya gharama za kuendesha kesi hiyo.

kutokana na hali hiyo taarifa zilizopo ni kwamba Mbowe anapanga kupunguza wafanyakazi kwenye makampuni yake yote. Pia taarifa zilizopo ni kwamba mishahara ya watumishi watakaobaki itapunguzwa ili kupunguza gharama za uendeshaji. Hata hivyo, inaelezwa kuwa hatua hizo ni za dharura

Hatari tupu.
 
Baada ya kuona habari ya kupunguza mishahara Kwa wafanyakazi wa serikali kwa 30% ....

Ndio unakuja na propaganda hizi hapo ......

Kwahiyo na serikali ni kweli kuwa inadaiwa pesa na imefirisika haiwezi lipa mishahara Kama zamani?......

Tuanze kwanza na serikali inayokosanya 1.3 trion kushindwa kulipa wafanyakazi na kupunguza mishahara kwa 30%.

Huku kwenye sector binafsi ni sawa inawezekana maana hata bakhiresa alipunguza wafanyakazi kipindi cha nyuma........
 
Tuletee na majina mengine ya wanaodaiwa na mabenki, naona waandishi wa habari wanapokea mipunga wasiwataje.
 
hhahahahahah homa ya akili ikikushika ni mbaya sana aaaa
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Taarifa nilizopata hivi punde ni kwamba, Mmiliki wa Mbowe Hotels na gazeti la Tanzania Daima, Freeman Mbowe anaisoma Namba. Kwamba, hali ya kifedha ya Mbowe kwa sasa ni dhoofu kutokana na sababu mbalimbali.

Mosi, biashara zake nyingi alikuwa anafanya kijanja ujanja. Alikuwa halipi kodi wala pango ya majengo. Kwa sasa anajiona yupo kwenye wakati mgumu hasa kipindi hiki ambacho Rais Magufuli anaweka msisitizo wa kufuata taratibu katika kufanya biashara na kulipa kodi. Inadaiwa kuwq Mbowe anadaiwq mabilioni ya kodi na TRA na mamlaka nyingine hali inayomuweka kwenye hatari ya kufilisiwa.

Pili, madeni kwenye taasisi za fedha. Taarifa zilizopo ni kwamba, Mbowe ni mmoja wa wanasiasa waliotajwq na Rais Magufuli kukopa kiasi kikubwa cha fedha kwenye mabenki na mashirika ya kijamii kama NSSF. Kwamba, Mbowe anadaiwa mabilioni kwenye benki za CRDB, Twiga Bancorp a TIB. Aidha, Mbowe pia anadaiwa kiasi kikubwa cha fedha NSSF na PSPF.

Tatu, kushindwa kwa kesi dhidi ya NHC. Ni ukweli usiopingika kuwa kushindwa kwa kesi hiyo kumemuongezea ugumu wa kufanya Biashara Freeman Mbowe hasa kutokana na kutakiwa kulipa fidia ya gharama za kuendesha kesi hiyo.

Hatari tupu.
Ameshamtaja mbowe kama kuna mwingine anamjua mtu amatje,mbona akitajwa mbowe mnatoa povu?kama anadaiwa si alipe?hata kama mkulu anadaiwa haimfanyi mbowe asilipe,ye alipe deni lake alafu awaache wengine waisome namba!
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Taarifa nilizopata hivi punde ni kwamba, Mmiliki wa Mbowe Hotels na gazeti la Tanzania Daima, Freeman Mbowe anaisoma Namba. Kwamba, hali ya kifedha ya Mbowe kwa sasa ni dhoofu kutokana na sababu mbalimbali.

Mosi, biashara zake nyingi alikuwa anafanya kijanja ujanja. Alikuwa halipi kodi wala pango ya majengo. Kwa sasa anajiona yupo kwenye wakati mgumu hasa kipindi hiki ambacho Rais Magufuli anaweka msisitizo wa kufuata taratibu katika kufanya biashara na kulipa kodi. Inadaiwa kuwq Mbowe anadaiwq mabilioni ya kodi na TRA na mamlaka nyingine hali inayomuweka kwenye hatari ya kufilisiwa.

Pili, madeni kwenye taasisi za fedha. Taarifa zilizopo ni kwamba, Mbowe ni mmoja wa wanasiasa waliotajwq na Rais Magufuli kukopa kiasi kikubwa cha fedha kwenye mabenki na mashirika ya kijamii kama NSSF. Kwamba, Mbowe anadaiwa mabilioni kwenye benki za CRDB, Twiga Bancorp a TIB. Aidha, Mbowe pia anadaiwa kiasi kikubwa cha fedha NSSF na PSPF.

Tatu, kushindwa kwa kesi dhidi ya NHC. Ni ukweli usiopingika kuwa kushindwa kwa kesi hiyo kumemuongezea ugumu wa kufanya Biashara Freeman Mbowe hasa kutokana na kutakiwa kulipa fidia ya gharama za kuendesha kesi hiyo.

Hatari tupu.
Tanzania Daima habari wanatayarisha kwa kuegemea paja,ndio mwandishi aandike,fenicha zote zipo kwa dalali
 
Baada ya kuona habari ya kupunguza mishahara Kwa wafanyakazi wa serikali kwa 30% ....

Ndio unakuja na propaganda hizi hapo ......

Kwahiyo na serikali ni kweli kuwa inadaiwa pesa na imefirisika haiwezi lipa mishahara Kama zamani?......

Tuanze kwanza na serikali inayokosanya 1.3 trion kushindwa kulipa wafanyakazi na kupunguza mishahara kwa 30%.

Huku kwenye sector binafsi ni sawa inawezekana maana hata bakhiresa alipunguza wafanyakazi kipindi cha nyuma........
Hizi si propaganda. Ni uhalisia mtupu. Soon utaona yakitokea
 
Ameshamtaja mbowe kama kuna mwingine anamjua mtu amatje,mbona akitajwa mbowe mnatoa povu?kama anadaiwa si alipe?hata kama mkulu anadaiwa haimfanyi mbowe asilipe,ye alipe deni lake alafu awaache wengine waisome namba!
Mkuu, CHADEMA kwa style hii ya kukumbatia maovu hakika watavurugwa
 
Pamoja na kuitafuna ruzuku ya chama peke yake bado hawalipi mishahara wafanyakazi wake!!??
 
Back
Top Bottom